joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
404
opr.news
Wakenya wamekua wakitoa maoni yao katika mitandao ya kijamii kuonyesha wasiwasi wao juu ya usalama wa shirika lao huku wengine wakiapa kutosafiri tena na KQ badala yake kuomba ATCL waanzishe " route"ya Nairobi ili waanze kutumia huduma bora toka katika ndege za kisasa kabisa za Airbus 200- 300.