Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Wewe ni mharibifu na nia a yako ni ovu.
 
Nyege zinakusumbua
 
Mkuu siyo kweli. Hakuna kazi ngumu kama kutafuta mwanamke wa kuoa hasa siku hizi. Labda kama unatafuta tu mwanamke wa aina yo yote ali mradi tu mwanamke. Na hapo utaishia kupata mafurushi yasiyojitambua; na ambayo yako desperate ali mradi tu yapate ndoa ili kuondoa nuksi na kujionyesha kwa watu.

Lakini kama unatafuta mwanamke wife material mwenye angalau vigezo vichache ulivyojiwekea kwa matarajio ya kuja kuwa na familia bora kwa ajili ya wanao na wakati ujao ulio mwema aisee ni shughuli pevu. Jaribu uone!
 
Comment iwekewe lamination hii [emoji419]
 
Mkuu unanionea tu!
Mtoto tumekuwa nae sisi throughout.

Nimemlea binti yangu mwenyewe, Mama yangu/mke wangu wa sasa wangekuwa na uwezo wakumficha mtoto, wala asingekaa ajue Mama yake ni nani. Alimwacha akiwa mdogo sanaa...

Ni huruma ya Mama yangu tu
This is exactly why huna akili.... After 12 years za kulea mtoto wenyewe kinachokuwasha wewe ni nini?
Kwa mkeo hujisikii vizuri enough?
 
Yaani Jamaa eti anashangaa kwanini wajumbe wanamtupia Mawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ana tabia chafu....
Hana huruma kwa mkewe wala mume wa mzazi mwenzie.
Sababu likitokea la kutoka chances are mkewe yeye hawezi kumuacha, ila mwenzie ataachika.


Binafsi ningekua ni huyo dada, ningempa mume wangu namba yake ili next time aongee na mimi kupitia yeye kama kuna jambo la muhimu.
 
Umalaya unaanziaga ndani. Hamu zote za kimalaya malaya zinakuja kama hisia, unajisikia umalaya malaya unadhani sijui ni real love.

Yaani mtu ushindwe kujisikia upendo kwa mume/mke anayekuombea hapo miaka na miaka ukajisikie upendo kwa mtu mliyeachana miaka 12 iliyopita?

Huko ni kujisikia umalaya na mwisho wake huwa ni majuto ndani yako iwapo mtakutana na mkajikuta mmefanya ngono.
 
Yaani roho yako haiwezi kutulia mpaka ukutane nae, amini nakuambia ukishakutana nae lazima utapasha kiporo na mapenzi yatachanua.............baada ya mambo yote hayo unajua kitafuata nini??
 
Yaani roho yako haiwezi kutulia mpaka ukutane nae, amini nakuambia ukishakutana nae lazima utapasha kiporo na mapenzi yatachanua.............baada ya mambo yote hayo unajua kitafuata nini??
Sio mchezo kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…