Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Ushafikiria kumla kisa TU uliwahi kupita naye na mkazaa naye mtoto, basi unahisi una haki ya kumuomba game na hatokukatalia.
Na hisia umezileta baada ya kukujibu kistaarabu, sisi wanaume kurogwa na kufa kupo karibu mnoooooooo, mwenzako anaweza kuwa amekutunza kwa sababu anajua udhaifu wa mwanaume ni kumpa K au ukimnyima K akili yake umeivuruga.
Huyo ni mke wa mtu na zaidi ulimzalisha na hukumuoa hujui amekutunzia kisasi gani?
Na hisia umezileta baada ya kukujibu kistaarabu, sisi wanaume kurogwa na kufa kupo karibu mnoooooooo, mwenzako anaweza kuwa amekutunza kwa sababu anajua udhaifu wa mwanaume ni kumpa K au ukimnyima K akili yake umeivuruga.
Huyo ni mke wa mtu na zaidi ulimzalisha na hukumuoa hujui amekutunzia kisasi gani?