Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

ndenga

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,824
Reaction score
1,427
Kwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa wakikesha. Kuna haja serikali kuangalia hili swala. Maana mwisho wa siku vijana hawa wamejichukulia sheria na kuhamia hili eneo na wanaweza kuwa mwanzo wa vibaka katika maeneo husika. Wengi wao ni vijana wenye nguvu ya kufanya kazi na kuweza kujipatia kipato. Ni hatari kwa usalama wao pale gari linaweza kufeli break na kuwagonga na husababisha hatari na vifo.
Naomba Mkuu wetu wa Mkoa Uliangalie hili: To: Polisi CC: Mh Chalamila
 
Kwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa wakikesha. Kuna haja serikali kuangalia hili swala. Maana mwisho wa siku vijana hawa wamejichukulia sheria na kuhamia hili eneo na wanaweza kuwa mwanzo wa vibaka katika maeneo husika. Wengi wao ni vijana wenye nguvu ya kufanya kazi na kuweza kujipatia kipato. Ni hatari kwa usalama wao pale gari linaweza kufeli break na kuwagonga na husababisha hatari na vifo.
Naomba Mkuu wetu wa Mkoa Uliangalie hili: To: Polisi CC: Mh Chalamila
Katikati ya miji kuna shida kubwa kwani wengi hulala katikati ya misingi ya barabara..


Serikali ipo bize kuhakikisha Mbowe anashinda chadema huku ikipuuza hali za watu wake
 
Siyo kosa kulala barabarani.
Nenda Kariako utaona watu wengi wanalala barabarani.
Au labda siku hizi wameacha.
Bado kwangu naona ni kosa na hatari kubwa sana kulala sehemu isiyostahili hasa katikati ya barabara kubwa kama Sam Nujoma. Hapa siku gari ikiacha njia italeta hatari kubwa sana., Hata hivyo hii ikiendelea kuachwa idadi itaongezeka kiasi kwamba itashindikana kuidhibiti kama zilivyo biashara huria za kupanga barabarani...
 
Bado kwangu naona ni kosa na hatari kubwa sana kulala sehemu isiyostahili hasa katikati ya barabara kubwa kama Sam Nujoma. Hapa siku gari ikiacha njia italeta hatari kubwa sana., Hata hivyo hii ikiendelea kuachwa idadi itaongezeka kiasi kwamba itashindikana kuidhibiti kama zilivyo biashara huria za kupanga barabarani...
Noma sana!
 
Kwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa wakikesha. Kuna haja serikali kuangalia hili swala. Maana mwisho wa siku vijana hawa wamejichukulia sheria na kuhamia hili eneo na wanaweza kuwa mwanzo wa vibaka katika maeneo husika. Wengi wao ni vijana wenye nguvu ya kufanya kazi na kuweza kujipatia kipato. Ni hatari kwa usalama wao pale gari linaweza kufeli break na kuwagonga na husababisha hatari na vifo.
Naomba Mkuu wetu wa Mkoa Uliangalie hili: To: Polisi CC: Mh Chalamila
Homeless hao , income inequality ni tatizo sugu mno , wachache wanatanua 90percent wana suffer
 
Wabongo si hua wanasema hamna tatizo la homelessness Tanzania ? , Sasa na hao wanalala kwenye mitaro ,macaravat ,madaraja na vibaraza vya fremu na nyumba za watu tuwaiteje ?
Hii ishu ikianza kuwa kubwa wataipa jina tu.

Mimi mara ya kwanza nilidhani ni wahuni tu, machokoraa, machizi, wavuta bangi, au walevi. Kumbe ni watu wenye akili zao timamu usiku analala kwenye makorido na asubuhi wanaoga wanavaa nguo wanaenda kwenye mishemishe jioni wanalala kwenye korido za mafremu, misikitini n.k


Huo ndio mzunguko wa maisha yao.
 
Tayari lipo. Na tusipojipanga vyema tutakuja kuwa kama India. Mtindo wa kuwa na matajiri wachache na maskini wa kupindukia wanaoishi kwa kuomba omba na kulala barabarani
Hii changamoto inakuja mdogo mdogo. Kuja kufika 2030 sijui hali itakuwaje
 
Back
Top Bottom