Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Ukiwa una Kazi na pesa inaingia unawaona wenzio wasio na Kazi kama wazembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na itazidi kuwa mbaya ,kadiri siku zinavyoenda njia za kujipatia kipato zinapozidi kuwa finyu kwa mwananchi wa kawaida nchi hiiDah hali sio nzuri hiyo ni mbaya sana, ni ongezeko la umasikini kiasi
kwamba mtu anakosa kipato cha kupanga chumba.
Muache ukatili majumbani.Kwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa wakikesha. Kuna haja serikali kuangalia hili swala. Maana mwisho wa siku vijana hawa wamejichukulia sheria na kuhamia hili eneo na wanaweza kuwa mwanzo wa vibaka katika maeneo husika. Wengi wao ni vijana wenye nguvu ya kufanya kazi na kuweza kujipatia kipato. Ni hatari kwa usalama wao pale gari linaweza kufeli break na kuwagonga na husababisha hatari na vifo.
Naomba Mkuu wetu wa Mkoa Uliangalie hili: To: Polisi CC: Mh Chalamila
Mtoa mada upo sahihi. Kazi kubwa wanayofanya ni kufuta futa magari na vitambaa wakati watu wakisubiri taa ziwaruhusu kupitaKwa muda sasa kumekuwa na kundi kubwa la vijana wanaolala barabarani kama makazi yao ya kuishi maeneo ya Barabara ya Sam Nujoma kuingia Sinza Makaburini. Idadi ya vijana hawa imekuwa kubwa na wanakuwa wamelala mpaka hata saa mbili asubuhi bila kuamka kuonyesha kwamba usiku mzima wamekuwa wakikesha. Kuna haja serikali kuangalia hili swala. Maana mwisho wa siku vijana hawa wamejichukulia sheria na kuhamia hili eneo na wanaweza kuwa mwanzo wa vibaka katika maeneo husika. Wengi wao ni vijana wenye nguvu ya kufanya kazi na kuweza kujipatia kipato. Ni hatari kwa usalama wao pale gari linaweza kufeli break na kuwagonga na husababisha hatari na vifo.
Naomba Mkuu wetu wa Mkoa Uliangalie hili: To: Polisi CC: Mh Chalamila
dah huwa nawaonea huruma hawa jamaa, pale uhuru shure ya wasichana hutandikwa viboko na maafande wakichelewa kuamka halooo[emoji1787][emoji1787]Kina idadi kubwa ya vijana wanalala stendi, kwenye corridor za maduka, kwenye fremu, kwenye daladala zilizopaki, kwenye makanisa, kwenye misikito, kwenye mastoo n.k
Ni sawa kukamatwa wote. Je, umewahi fikiri ni kina nani wanaolala? Je, ni mateja wala unga, walala hoi au vibaka, au maskini akina kabwela au ni timamu waliotelekezwa makwao au kufukuzwa kwa kukandamizwa haki zao?Hili ni bomu!! Hao watageuka kuwa wanakaba watu na wezi! Tunaomba wakamatwe wote! Sio sawa watu kulala mabarabarani
Wengi tu bado wanalala barabarani kule KariakooSiyo kosa kulala barabarani.
Nenda Kariako utaona watu wengi wanalala barabarani.
Au labda siku hizi wameacha.
Wengi wanao lala nje ni foreigner hasa kutoka Burundi na Congo!!Wabongo si hua wanasema hamna tatizo la homelessness Tanzania ? , Sasa na hao wanalala kwenye mitaro ,macaravat ,madaraja na vibaraza vya fremu na nyumba za watu tuwaiteje ?
Ndiyo ujue Mungu ni mwaminifu, huwapa watu wake ulinzi, usingizi mzuri. Kuna watu wapo kwenye majumba ya kifahari wanavitanda vya thamani kubwa, ulinzi nje mkali. Lakini nakuhakikishia unaweza kuta hawapati usingizi mzuri kama wanaopata hao vijana wanaolala nje barabarani. Mungu huyu wa ajabu sana.Mtu analala katikati ya Barabara mpaka saa mbili na nusu. Jua kali linawaka kabisa na mtu yuko usingizini je angekuwa nyumbani tena kwenye AC angeamka saa ngapi.
Mpuuzi weweWengi wanao lala nje ni foreigner hasa kutoka Burundi na Congo!!
Kama unabisha nenda kawaambie wahesabu kuanzia moja mpaka nne ndiyo utajua kama mimi ni mpuuzi au wwe ndiyo mpuuzi!!??Mpuuzi wewe