Kija mabula
New Member
- Jul 22, 2023
- 1
- 1
Habarini za humu wapendwa. Dkt. Naomba kuuliza siku ya kumpata mtoto wa kike ni siku ipi? Naomba msaadaWewe huelewi hata ulisemalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini za humu wapendwa. Dkt. Naomba kuuliza siku ya kumpata mtoto wa kike ni siku ipi? Naomba msaadaWewe huelewi hata ulisemalo.
Mungu na mitume wa kweli hawawezi kuheshimiwa kwa shuruti na sheria. Kizuri chajiuza na kibaya chajitembezaMwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mauritania amekamatwa kwa kuandika karatasi ya mtihani akimtusi Mtume Muhammad katika mitihani ya mwezi uliopita...
Mwehu kama Fox wa JF, likija swala la dini akili anaweka mfukoni anabaki na matope kichwaniWhatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.
Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Sheria zao zinavyosemaHebu jibu hili swali:
Huyo kijana anatakiwa auliwe kwa sababu ya kumkashifu mtume? Anatakiwa Auliwe au asiuliwe?
Fake News.Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mauritania amekamatwa kwa kuandika karatasi ya mtihani akimtusi Mtume Muhammad katika mitihani ya mwezi uliopita.
Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa mamlaka za kidini zilidai hukumu ya kifo ikiwa msichana huyo ambaye hajatajwa jina lake atapatikana na hatia ya kukufuru.
Mauritania imeimarisha sheria za kukufuru, zinazoelekeza adhabu ya kifo kwa Waislamu ambao "wanamdhihaki au kumtukana Mungu au Mtume, hata wakitubu".
Hapo awali watu waliweza kuepuka hukumu ya kifo ikiwa walionesha majuto. Chombo cha habari cha Pan-Arab al-Quds al-Araby kiliripoti Jumatano kwamba mwanafunzi huyo anatoka katika mji wa kaskazini-magharibi wa Atar na anatoka katika kabila la Haratin, ambao ni vizazi vya watumwa wenye asili ya kusini mwa jangwa la Sahara.
Source BBC
NB vijana wameshajua kuwa hakuna cha dini ya haki wala mabikra 72 ni nadharia tu, FaizaFoxy, Kikwajuni One na wafuasi wenzenu povu ruksa
Fake newsHuyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Fake newsUnahamasisha kuuana !!! Huo ni ujinga unatakiwa upewe ban.
Fake newsMagaidi nyie
Fake newsDini ni utumwa wa ajabu sana. Watu wanauana kwa kumpigania Mungu asiyejulikana Wala kuongea. Kazi kweli
Fake newsKwanini msimwache aliyetukwana adeal nae??
Fake newsKWA HIYO HUYO ALLAH WENU HANA NGUVU YA KUMUADHIBU MWENYEWE?
Fake newsDini ya haki inahamashana kuuana.
Fake newsVijana waiopata elim dunia hawataki stori za mito ya pombe
Fake newsAlah ambaye mtume wake ametukanwa mbona sasa yuko kimya hajamwadhibu huyo kijana? Na Alah hatafanya chochote labda wafuasi wake mumsaidie.
Mtamsaidia Alah kumuua huyo kijana?
"Bwana ni mtu wa vita"This is why people say Islam spread by the sword
"Bwana ni mtu wa vita"Hiyo dini yenu ni shida sana, balaa tupu hapa duniani.
Wanamfuata Yesu kwa vitendo,ili wapate uzima wa mileleMwenyezi mungu wenu ndie anawatuma muue? kazi ipo, hamjui kusamehe!.
Ndiyo ujue ni dini ya hovyo sana. Kinachowalinda ni hiyo kuua, kufanya vuruga n.k ila hakuna kitu kabisa hapo.Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Yesu anasemaMUNGU ANATETEWA?
MUNGU GANI ANAKUBALI KUTETEWA NA WAZINZI NA WENYE DHAMBI???
HOVYOO WEWE