Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Yesu alipindua meza na viti hekaluni,wafikiri alipindua mikono mitupu.Matthew 21:12-22
Ndiyo shida ya waarabu weusi. Hapa ungeweka maandiko kwenye Quran yanayosema kwann huyo mtu auwe ila umekuja kushambulia Biblia Takatifu.
Inaonesha ni jinsi gani unaijua Biblia kuliko Quran na matokeo yake watu wanaona uislam ni utapeli tu. Wanaamua kuichoma moto kwasababu haina maana yoyote
 
Hujui kama wapo wanaoksnyaga nge,na hawaumii.
Hapa ungekuwa unaweka aya za Quran ningeona uislam ni dini ya haki ila nimekuja kugundua ni kikundi cha wahuni tu. Mtafute nyoka mkanyage halafu ulete rejesho.
Poleni kwa kuhangaika
1. Kumtetea Alah
2. Kumtetea Muhamad
3. Kuswali kwa kutumia lugha moja, hapa kama haujui kiarabu huwezi kuswali. Na wengi hawajui ndiyo maana wanakimbilia kwenye Biblia. Namshukuru Mungu wangu, yeye hujitetea mwenyewe na pia natumia lugha yoyote ninayoijua kwasababu anafahamu lugha zote duniani
 
We hapo huna dhambi hadi uhukumu mwingine
Dhambi ya kumkashifu Allah (S.W) na mtume wake (S.A.W) kwa muislamu yeyote ni dhambi mbaya na ni ngumu kuitenda kwa mtu aliye na akili timamu.
 
Dhambi ya kumkashifu Allah (S.W) na mtume wake (S.A.W) kwa muislamu yeyote ni dhambi mbaya na ni ngumu kuitenda kwa mtu aliye na akili timamu.
Kama ni mbaya kwanini mtume asimhukumu yeye mpaka mumuhukum wanadamu ambao na nyie sio wakamilifu
 
We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Mohammed was illiterate person,
Then huyo Mungu hayupo.

Asiyejua kusoma na kuandika ni mwalimu wa Sayansi kwa baadhi ya wanadamu wa karne ya 21.
Ajabu sana hii
 
KWA HIYO HUYO ALLAH WENU HANA NGUVU YA KUMUADHIBU MWENYEWE?
Amezitoa wapi huyo Allah!?

Kwani Allah yupo!?

Allah anahali mbaya sana,
Anawaagiza watu wamnusuru pale alipo ana hali mbaya sana

Quran 47:7
 
Dini ya haki inahamashana kuuana.
_20230722_202802.JPG
 
Sheria ni Sheria mkuu ikiwekwa ni sharti uifuate ama ikuadhibu
 
Ndiyo shida ya waarabu weusi. Hapa ungeweka maandiko kwenye Quran yanayosema kwann huyo mtu auwe ila umekuja kushambulia Biblia Takatifu.
Inaonesha ni jinsi gani unaijua Biblia kuliko Quran na matokeo yake watu wanaona uislam ni utapeli tu. Wanaamua kuichoma moto kwasababu haina maana yoyote
Wewe unayechoma vitabu ndio tapeli,Utachomaje vitabu mamilioni,na vinaendelea kuchapishwa,kama sio ni ujinga ni nini.Ukichoma kumi,wakati huo huo kuna mamilioni vimechapishwa,bado kuna mamilioni viko kwenye mzunguko.Huwezi kukuta muislamu na ujinga wa kuchoma vitabu vya dini nyingine.
 
Very Good.

Verse inasema BWANA ni mtu wa vita... Yeye ndio wa vita, sio sisi wanadamu.
so yeye atapigana mwenyewe kwa sababu anajiweza.

Sio kama Alah anayewategemea ninyi mumpiganie kwa sababu nyie kina Kikwajuni ndio wa vita.
Soma andiko vizuri,Bwana ni MTU wa vita.Neno Mtu ndio binadamu.Hamjui maandiko.
 
Back
Top Bottom