Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Hapa ungekuwa unaweka aya za Quran ningeona uislam ni dini ya haki ila nimekuja kugundua ni kikundi cha wahuni tu. Mtafute nyoka mkanyage halafu ulete rejesho.
Poleni kwa kuhangaika
1. Kumtetea Alah
2. Kumtetea Muhamad
3. Kuswali kwa kutumia lugha moja, hapa kama haujui kiarabu huwezi kuswali. Na wengi hawajui ndiyo maana wanakimbilia kwenye Biblia. Namshukuru Mungu wangu, yeye hujitetea mwenyewe na pia natumia lugha yoyote ninayoijua kwasababu anafahamu lugha zote duniani
Wewe ndio hujielewi,wapi Biblia imeandikwa ni kitabu cha watu wa dini ya kikristo tu.
 
Quran 16:125

"Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora.
Hakika Mola wako ndiye Anayemjua zaidi aliyeipotea Njia Yake, na Yeye Ndiye Anayewajua zaidi walioongoka”
 
And how did the Crusaders spread christianity?

Usijidai kuandika kwa kiingereza cha kiswahili hapa.
Kwanza kabisa Crusaders saizi hawapo, ila waislamu kumwaga damu za watu bado wanafanya.

Crusaders hawakuwa kwa ajili ya kuspread imani ya kikristo, bali kupigania maeneo yanayodaiwa kuwa yalikuwa matakatifu (kwamujibu wa imani ya Kikristo) yaliyokuwa yametekwa na uislamu.
Maeneo kama Jerusalem n. K

Kwa mujibu wa bwana Scars aliyetoa hoja hapo, ameleta madai kuwa "watu husema uislamu unaenezwa kwa njia ya upanga"

Habari ya crusaders kuspread christianity iwe kweli ama uongo haibatilishi kuwa Uislam unasambazwa kwa kumwaga damu za watu na upanga.

Unaelewa hilo!?
 
Amezitoa wapi huyo Allah!?

Kwani Allah yupo!?

Allah anahali mbaya sana,
Anawaagiza watu wamnusuru pale alipo ana hali mbaya sana

Quran 47:7
Yesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;
Matthew 26:39-46
 
Huna hoja.
Mimi hoja yangu ni hiyo hapo juu.

Wewe ndiyo umekuja na idea ya maneno "Huna hoja"

Hivyo wewe huna hoja.

Unaweza kujibu hiyo uloniquote awali kwa kupangua madai yangu kuhusu mwalimu wenu wa sayansi ambae was Illiterate!?
 
Wewe ndio hujielewi,wapi Biblia imeandikwa ni kitabu cha watu wa dini ya kikristo tu.
Biblia haina hati miliki, mtu yoyote anamiliki ndiyo maana kesi kama za kwenu hazipo. Yesu amepewa maneno mabaya lakin hautasikia kuna mtu anakufanyia jambo baya kisa hicho.
Nyie ndiyo hamjielewi mnahangaika na huyo Allah wenu
Lugha yenyewe moja, bado mtaifute mtu wa kumuua. Kazi mnayo
 
Sio vizuri kudhihaki dini ya watu wengine iwe ukristo au uislamu ni dhambi.Iwe kuchoma biblia au Quran zote hizi ni dhambi.Tumeitwa kuwa wakarimu kwa kuwa watu wote wameumbwa na Mwenyezi Mungu na wote watarudi kwake
Waislamu hawajawahi,wala hawajaamrishwa kuchoma vitabu vya dini nyingine.Lakini wajinga wanachoma Qur'an na wapo wajinga wanaofurahi.Ni ujinga kuchoma kitabu,wakati vipo vitabu kama hivyo mamilioni,na vingine vinachapishwa kila siku.
 
Mimi hoja yangu ni hiyo hapo juu.

Wewe ndiyo umekuja na idea ya maneno "Huna hoja"

Hivyo wewe huna hoja.

Unaweza kujibu hiyo uloniquote awali kwa kupangua madai yangu kuhusu mwalimu wenu wa sayansi ambae was Illiterate!?
Hao wanasayansi wa mwanzo kina 1.Aristotle 2.Galileo Galilei walifundishwa na nani?Tumia akili.
 
Yesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;
Matthew 26:39-46
Lazima ajipiganie mwenyewe, alikufa, akazikwa, akafufuka na akapaa. Na sasa yupo mbiguni
Sasa mgekuwa nyie mgeandamana, mngechoma nyumba na kuua watu. Sisi tunaabudu Mungu mwenye nguvu
 
Waislamu hawajawahi,wala hawajaamrishwa kuchoma vitabu vya dini nyingine.Lakini wajinga wanachoma Qur'an na wapo wajinga wanaofurahi.Ni ujinga kuchoma kitabu,wakati vipo vitabu kama hivyo mamilioni,na vingine vinachapishwa kila siku.
Ukiona mpaka wanachoma ujue dini imejaa utapeli. Uoe binti wa miaka 12 halafu wakuache salama? Bila kuwa na vitisho Quran zote zingechomwa moto uarabuni.
 
Yesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;
Matthew 26:39-46
Yesu, Mohammad, sijui juju wamajuj, na habari za Miungu zote hizo ni uhuni mtupu.

Ndomaana umeleta habari za yesu wa kule upande wa pili ukihisi unataka kunikomoa.
Bahati mbaya umenikosa.

Mola mlezi ambae ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Angekuwepo wala hata msingekuwa mnataka kijana huyo auliwe,
Angekuwepo kweli wala hata kusingekuwa na mifarakano ya dini zenu hizo kupondeana.

Wewe maisha yako yote umewekeza na unabidiii katika kuamini kuliko kujua.

Shame on you

_20230722_204701.JPG
 
Isa na Musa wanatukanwa kila kukicha kwa nini hatuoni watukanaji wa hawa mitume wakiadhibiwa?
Quran ni copy na paste ya Biblia. Kama unabisha
Msome Yesu na Issa ndiyo utajua hawa watu ni tofauti ila japo watu wa Issa wanalazimisha lakini ukija kwenye maandiko utajua walichokiandika hawajui
 
Lazima ajipiganie mwenyewe, alikufa, akazikwa, akafufuka na akapaa. Na sasa yupo mbiguni
Sasa mgekuwa nyie mgeandamana, mngechoma nyumba na kuua watu. Sisi tunaabudu Mungu mwenye nguvu
Huko ndio kujipigania,kukamatwa,kudhihakiwa,kuvalishwa nepi,kugongwa misumiri na kuuliwa na wahalifu wawili pamoja naye.
Wataka maandamano gani,ambayo mpaka leo aliyefanya auwawe, Yuda Eskariote anaitwa msaliti.Kwa nini mpaka leo anaitwa msaliti,hajasamehewa.
 
Back
Top Bottom