Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hujielewi,wapi Biblia imeandikwa ni kitabu cha watu wa dini ya kikristo tu.Hapa ungekuwa unaweka aya za Quran ningeona uislam ni dini ya haki ila nimekuja kugundua ni kikundi cha wahuni tu. Mtafute nyoka mkanyage halafu ulete rejesho.
Poleni kwa kuhangaika
1. Kumtetea Alah
2. Kumtetea Muhamad
3. Kuswali kwa kutumia lugha moja, hapa kama haujui kiarabu huwezi kuswali. Na wengi hawajui ndiyo maana wanakimbilia kwenye Biblia. Namshukuru Mungu wangu, yeye hujitetea mwenyewe na pia natumia lugha yoyote ninayoijua kwasababu anafahamu lugha zote duniani
Huna hoja.Mohammed was illiterate person,
Then huyo Mungu hayupo.
Asiyejua kusoma na kuandika ni mwalimu wa Sayansi kwa baadhi ya wanadamu wa karne ya 21.
Ajabu sana hii
Kwanza kabisa Crusaders saizi hawapo, ila waislamu kumwaga damu za watu bado wanafanya.And how did the Crusaders spread christianity?
Usijidai kuandika kwa kiingereza cha kiswahili hapa.
Yesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;Amezitoa wapi huyo Allah!?
Kwani Allah yupo!?
Allah anahali mbaya sana,
Anawaagiza watu wamnusuru pale alipo ana hali mbaya sana
Quran 47:7
Mimi hoja yangu ni hiyo hapo juu.Huna hoja.
Biblia haina hati miliki, mtu yoyote anamiliki ndiyo maana kesi kama za kwenu hazipo. Yesu amepewa maneno mabaya lakin hautasikia kuna mtu anakufanyia jambo baya kisa hicho.Wewe ndio hujielewi,wapi Biblia imeandikwa ni kitabu cha watu wa dini ya kikristo tu.
Waislamu hawajawahi,wala hawajaamrishwa kuchoma vitabu vya dini nyingine.Lakini wajinga wanachoma Qur'an na wapo wajinga wanaofurahi.Ni ujinga kuchoma kitabu,wakati vipo vitabu kama hivyo mamilioni,na vingine vinachapishwa kila siku.Sio vizuri kudhihaki dini ya watu wengine iwe ukristo au uislamu ni dhambi.Iwe kuchoma biblia au Quran zote hizi ni dhambi.Tumeitwa kuwa wakarimu kwa kuwa watu wote wameumbwa na Mwenyezi Mungu na wote watarudi kwake
Hao wanasayansi wa mwanzo kina 1.Aristotle 2.Galileo Galilei walifundishwa na nani?Tumia akili.Mimi hoja yangu ni hiyo hapo juu.
Wewe ndiyo umekuja na idea ya maneno "Huna hoja"
Hivyo wewe huna hoja.
Unaweza kujibu hiyo uloniquote awali kwa kupangua madai yangu kuhusu mwalimu wenu wa sayansi ambae was Illiterate!?
Lazima ajipiganie mwenyewe, alikufa, akazikwa, akafufuka na akapaa. Na sasa yupo mbiguniYesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;
Matthew 26:39-46
Isa na Musa wanatukanwa kila kukicha kwa nini hatuoni watukanaji wa hawa mitume wakiadhibiwa?We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Ukiona mpaka wanachoma ujue dini imejaa utapeli. Uoe binti wa miaka 12 halafu wakuache salama? Bila kuwa na vitisho Quran zote zingechomwa moto uarabuni.Waislamu hawajawahi,wala hawajaamrishwa kuchoma vitabu vya dini nyingine.Lakini wajinga wanachoma Qur'an na wapo wajinga wanaofurahi.Ni ujinga kuchoma kitabu,wakati vipo vitabu kama hivyo mamilioni,na vingine vinachapishwa kila siku.
we demu chenga sana, itakuwa una bwana mtalibanHuyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Yesu, Mohammad, sijui juju wamajuj, na habari za Miungu zote hizo ni uhuni mtupu.Yesu alimuomba Mungu ,amuepushe kikombe cha umauti,na akauliwa hivyo hivyo;
Matthew 26:39-46
Crisaders waliibuka baada ya uislam.Kabla ya uislam hakukuwahi kuwa na crusade niulize kwa nini?And how did the Crusaders spread christianity?
Usijidai kuandika kwa kiingereza cha kiswahili hapa.
Quran ni copy na paste ya Biblia. Kama unabishaIsa na Musa wanatukanwa kila kukicha kwa nini hatuoni watukanaji wa hawa mitume wakiadhibiwa?
Dini gani hii inashabikia mtu akifa? Kwani wewe FaizaFoxy huyo binti wa watu akiuawa, wewe binafsi utafaidikaje?Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Wapumbavu sana nyie watuWe are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Huko ndio kujipigania,kukamatwa,kudhihakiwa,kuvalishwa nepi,kugongwa misumiri na kuuliwa na wahalifu wawili pamoja naye.Lazima ajipiganie mwenyewe, alikufa, akazikwa, akafufuka na akapaa. Na sasa yupo mbiguni
Sasa mgekuwa nyie mgeandamana, mngechoma nyumba na kuua watu. Sisi tunaabudu Mungu mwenye nguvu