Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Dini ni utumwa wa ajabu sana. Watu wanauana kwa kumpigania Mungu asiyejulikana Wala kuongea. Kazi kweli
Ni afadhari uamini kuwa Mungu yupo halafu ukienda usimkute kuliko kuamini kuwa hayupo halafu ukienda umkute, ndugu kuna watu wanafikishwa chemba kwanza kupewa vifuti na mateke ya mbavu kisa kuamini hayupo na wakamkuta Famchezo?!
 
Huyo salama yake awe ni mwehu tu.

Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
[emoji1787][emoji1787] Wewe ni mpumbavu sana.
Ivi huyo mnaemtetea sindio amewapa albadiri?
Ama mkiisoma haifanyi kazi?

Kwanini hamuwasomei albadir hao mnaosema wanakufuru.
Yani mnatumia nguvu kubwa kuumiza watu kwasababu ya huyo aliewapa albadir ambayo hamuiamin?

Hoples!.
 
[emoji1787][emoji1787] Wewe ni mpumbavu sana.
Ivi huyo mnaemtetea sindio amewapa albadiri?
Ama mkiisoma haifanyi kazi?

Kwanini hamuwasomei albadir hao mnaosema wanakufuru.
Yani mnatumia nguvu kubwa kuumiza watu kwasababu ya huyo aliewapa albadir ambayo hamuiamin?

Hoples!.
Wewe ukimtukana au kumkeli Mtume wetuyeyote, tukikushika elewa kuwa kichwa chako halali yetu, labda uwe ni mwendawazimu tu ndiyo salama yako.

Sheria ya kukufuru haikuanzia kwenye Qur'an kaisome Biblia yako, nani aliifuta sheria hiyo?

Kumbuka hilo.
 
Whatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.


Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Sasa madaktari si wanaweza kuhongwa na kudanganyatu kuwa ni mwehu wakati ana akili timamu! Kwanini msimuulize alah utimamu wa akili wa huyo mtu ili awaambie usahihi?
Mnategemeaje ushahidi wa kidaktari kutoa hukumu ya kiroho?
 
Wewe ukimtukana au kumkeli Mtume wetuyeyote, tukikushika elewa kuwa kichwa chako halali yetu, labda uwe ni mwendawazimu tu ndiyo salama yako.

Sheria ya kukufuru haikuanzia kwenye Qur'an kaisome Biblia yako, nani aliifuta sheria hiyo?

Kumbuka hilo.
Yesu alifika na kuitangua Torati.Unabishana na Yesu wewe?
 
Huyo salama yake awe ni mwehu tu.

Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.



Duuh [emoji2297][emoji2357]

Aisee?!

Kwanini mnapenda visasi nyie?

Kwanini msiache Mwenyezi Mungu mwenyewe amhukumu kwa adhabu kwa kumsamehe?

Kwanini msiache Mungu wenu ajitetee mwenyewe?

Anayetakiwa kumpigania mwenzie ni nani kati ya Mungu na mwanadamu?

Kinapiganiwa kinyonge,

Chenye nguvu hujipigania chenyewe na kushinda.

Mnashangaza Ulimwengu mjue! [emoji848][emoji848]
 
We hapo huna dhambi hadi uhukumu mwingine



Wengine kama huyo Madamu huwa ni wachawi kabisa [emoji108]
Wamekuwa wakiua watu,
Wakiharibu maisha ya watu kwa namna mbalimbali,
Wakiroga watu waumwe magonjwa mbalimbali,
Wafitini,
Wakivunja ndoa za watu,
Makazini kuroga wenzao,
N.k.

Lakini wanajifanya Eti ni wepesi wa kuhukumu wenzao kwa mambo ambayo Mwenyezi Mungu mwenyewe anawashangaa! [emoji848][emoji848]

Kwendeni zenu huko! [emoji57]
 
Kwann asiuliwe ili iwe fundisho kwa wengine kudhihaki Imani za watu.



Kwanini mnapenda kuua ua nyie?

Mbona si watu wa rehema na msamaha?

Mbona Mungu amejaa rehema nyingi kwetu Wanadamu?

Dunia yenyewe sasa inatoka kwenye adhabu ya kuua Sababu wameona haisaidii.

Ni lini Magereza yaliwahi kufungwa kwa kukosa wakosaji?

Saingine adhabu haisaidii ni afadhali kumfunga gerezani au kusamehe .
 
Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mauritania amekamatwa kwa kuandika karatasi ya mtihani akimtusi Mtume Muhammad katika mitihani ya mwezi uliopita.

Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa mamlaka za kidini zilidai hukumu ya kifo ikiwa msichana huyo ambaye hajatajwa jina lake atapatikana na hatia ya kukufuru.

Mauritania imeimarisha sheria za kukufuru, zinazoelekeza adhabu ya kifo kwa Waislamu ambao "wanamdhihaki au kumtukana Mungu au Mtume, hata wakitubu".

Hapo awali watu waliweza kuepuka hukumu ya kifo ikiwa walionesha majuto. Chombo cha habari cha Pan-Arab al-Quds al-Araby kiliripoti Jumatano kwamba mwanafunzi huyo anatoka katika mji wa kaskazini-magharibi wa Atar na anatoka katika kabila la Haratin, ambao ni vizazi vya watumwa wenye asili ya kusini mwa jangwa la Sahara.
Source BBC

NB vijana wameshajua kuwa hakuna cha dini ya haki wala mabikra 72 ni nadharia tu, FaizaFoxy, Kikwajuni One na wafuasi wenzenu povu ruksa
Hii imani ya mtume imewafanya waafrika baadhi wamekuwa kama wasengerema, yaani wamekosa kabisa rationale kwenye decision making.
 
Back
Top Bottom