Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Huyu bi mkubwa anaonyesha ana asili kama hiyoMagaidi nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bi mkubwa anaonyesha ana asili kama hiyoMagaidi nyie
Akishakufa wewe unapata niniKwann asiuliwe ili iwe fundisho kwa wengine kudhihaki Imani za watu.
Hakuna mwanadamu yeyeto mwenye uwezo wa kutoa uhai wa pasipo indhiini yakeKwa hiyo huyo mungu anayefanya kazi kupitia watu amewaambia mumpiganie?
Yeye hawezi kujipigania mwenyewe mpaka ahitaji usaidizi wenu?
Washagundua dini usanii tuHV kwann Sweden kila mwaka wanachana na kuchoma quruan
Nakunukuu, "TUMEFUATA SHERIA YA KUKUFURU KWENYE BIBLIA"Hayo ya kukopi uansema wewe.
Hiyo inaitwa "mosaic law". Musa alikuwa Mkristo?
Hpo nimeonesha kuwa hata biblia ina kanuni hizo za kuuwa.
Usijifanye mjanjanja kucheza na maneno. Soma ujielewe.
Inasaidia wengine kuogopa kurudia makosa ya kujitakiaAkishakufa wewe unapata nini
Dini ya kushinda wamevaa kanzu na msuli bila vyupi, ili wakitaka kudinyana wanapenua tuHiyo dini yenu ni shida sana, balaa tupu hapa duniani.
Kwa hiyo yeye amewapa Idhini mumpiganie?Hakuna mwanadamu yeyeto mwenye uwezo wa kutoa uhai wa pasipo indhiini yake
Hizi dini nyingine? Hata kujiongeza hamuwezi? Eti Mungu anatetewa na wanadamu! Acha Mungu ajitetee! Christo ni Mungu wa miungu Bwana wa mabwana! Hatetewi na wanadamu!Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Nani anaogopa? Wangekuwa wanaogopa wasingechoma.Inasaidia wengine kuogopa kurudia makosa ya kujitakia
Ukifanya kosa hata sheria za nchi lazima ushughulikiweKwa hiyo yeye amewapa Idhini mumpiganie?
Huyo Alah AMEWAPA IDHINI MUMPIGANIE?
Whatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.
Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Jibu nilichokuuliza.Ukifanya kosa hata sheria za nchi lazima ushughulikiwe
Unaweza ukatupa reference ya haka ka stori kako na sisi tupate ilimMama Wa Yesu akiwa na miaka 13 ,aliolewa na Yoseph,mzee wa miaka 90,kuwa na akili watu wa mashariki ya kati wanakula nyama na maziwa ,wana afya usiwe mjinga wa kuwafananisha na waafrika wanaokula ugali na chumvi.
Sasa hapo wataka kuniambia Mama wa Yesu alijibaka kwa mzee wa miaka 90.Ambapo hakuna muislamu anayemsema vibaya Mama wa Yesu kwa kuolewa na jizee la miaka 90.
Inasaidia wengine kuogopa kurudia makosa ya kujitakia
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Anagalau inapunguzaAdhabu kali sio kuua tu.
Zipo nyingine nyingine ikiwemo kifungo cha maisha n.k.
Na ingekuwa adhabu kali zinasaidia je Magereza Kuna wakati yanakuwa wazi ?!
Anagalau inapunguza