Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

Huyo mwanafunzi alikutana na Mohammed wapi hadi akamtukana, na je umejuaje alimtukana bila sababu sasa kama Mohammed huyo alikuwa akimtongoza ww unafikiri binti angefanyeje
 
Hivi mlalamikaji anakuwa ni mtume mwenyewe au?
kama sio yeye, nani anasimama badala yake?
Wanakuwa na uhakika kuwa mtume ametukanwa?
 
Ujinga mtupu. Kwa hiyo ndiyo muuane kwa kumpigania Mungu asiyeonekana, asiyeongea Wala kutatua shida zenu? Mungu gani wa aina hiyo?
Acha ujinga wewe kwani umeona comment yangu imeegamia popote soma kwanza uelewe usikurupuke.
Mfyuuuuu!
 
😂😂dini ya mnyaaazi mungu 🙆🙆😂😂🏃🏃🏃
 
Tunajifunza kutoka kwa Yesu:

34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
36 na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Unaendelea kuudhihirisha upumbavu wako. Kwa ufupi wa fikra zako umeshindwa kuelewa hizo aya.
 
Ndio maana uwepo wa Tume ya haki za binadamu kutoka kwa super power United States of America [emoji631] ni muhimu sana.

Dini ni sumu mbaya sana.
 
And how did the Crusaders spread christianity?

Usijidai kuandika kwa kiingereza cha kiswahili hapa.
Sidhani kama jamaa kazungumzia crusaders ,ebu tetea hoja yako na sio kumpa mtu upande ambao hajaonesha kuwepo
 
Back
Top Bottom