WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Huyo mwanafunzi alikutana na Mohammed wapi hadi akamtukana, na je umejuaje alimtukana bila sababu sasa kama Mohammed huyo alikuwa akimtongoza ww unafikiri binti angefanyeje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wewe kwani umeona comment yangu imeegamia popote soma kwanza uelewe usikurupuke.Ujinga mtupu. Kwa hiyo ndiyo muuane kwa kumpigania Mungu asiyeonekana, asiyeongea Wala kutatua shida zenu? Mungu gani wa aina hiyo?
Unaendelea kuudhihirisha upumbavu wako. Kwa ufupi wa fikra zako umeshindwa kuelewa hizo aya.Tunajifunza kutoka kwa Yesu:
34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
36 na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
😂😂dini ya mnyaaazi mungu 🙆🙆😂😂🏃🏃🏃
haya sema wewe uliyezielewa, umezisoma kwa lugha ipi?Unaendelea kuudhihirisha upumbavu wako. Kwa ufupi wa fikra zako umeshindwa kuelewa hizo aya.
Imani ya mungu sio utumwaDini ni utumwa wa ajabu sana. Watu wanauana kwa kumpigania Mungu asiyejulikana Wala kuongea. Kazi kweli
Mungu wako hana nguv mpk umpiganie?We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Kadhihaki dini kamdhihaki mtu? mohamed ni dini?Kwann asiuliwe ili iwe fundisho kwa wengine kudhihaki Imani za watu.
kama wewe unaona hivyo mimi nani nikubishie?Mungu wako hana nguv mpk umpiganie?
Sheria ipKukiuka sheria kwa kujitakia hasara kwako
Dini za kipuuzi sana,mimi nilishajiamlia Kula tungi tuDini ni utumwa wa ajabu sana. Watu wanauana kwa kumpigania Mungu asiyejulikana Wala kuongea. Kazi kweli
Sheria inasemaj na dogo kakosea nini?Mimi sipo huko.
Kila nchi na sheria zake
Akili zako fupi sana , kosa lake ni lipi?Whatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.
Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Muhammad, Jesus ni hati miliki wa dini fulaniKadhihaki dini kamdhihaki mtu? mohamed ni dini?
Sheria zao na Sio zetuSheria inasemaj na dogo kakosea nini?
Kwann mtume asimuue ?Hebu jibu hili swali:
Huyo kijana anatakiwa auliwe kwa sababu ya kumkashifu mtume? Anatakiwa Auliwe au asiuliwe?
Sidhani kama jamaa kazungumzia crusaders ,ebu tetea hoja yako na sio kumpa mtu upande ambao hajaonesha kuwepoAnd how did the Crusaders spread christianity?
Usijidai kuandika kwa kiingereza cha kiswahili hapa.