Hati ya kukamatwa kwa Rais Vladimir Putin: Je, utaratibu upoje?

uhaLifu sio uhaRifu
 
Urusi sio Mwanachama Ivo haimuhusu .

Wamagharibi wameonyesha kwamba, Vikwazo vyao vyooote havijaweza kuiyumbisha Urusi, Sasa wameanza kutosha Tisha.

Rais wa Urusi hawez kanyaga Nchi ambazo anazitambua kama Maadui, kwahiyo Hawatampata Ng'oooo.




Unajua Russia society is build on pride and nationalism Kwa hivo, na Kiufundi, Wamagharibi wamemuongezea Putin, Approval rating kwani Sasa Warusi watamuona Putin kama Physical Metaphor wao wa kulinda Russia identities!!.



Tuwaunge mkono Warusi, waifungue Dunia, wauonyooshe Ukatoliki.
 
Hii nayo ni fursa, tunamuomba mama amualike aje kuitembelea Tanzania, nilivyosikia tu nikaenda kununua wavu wa kuvulia samaki papa.
 
ICC, UN wote ni wahuni wa magharib! Yaan wanatoa hukumu na vikwazo kwaajil ya interest zao!
 
Hakuna zaidi wataendelea kufanya juhudi za kumhujumu mwamba Putin,ila manyanyaso anayo wapa,pamoja na kuwadhalilisha.Walipo wanaficha sura zao.(Mabeberu wa Marekani na ulaya [emoji848])
Sasa nimeelewa MWAMBA humaanisha nini kwa kundi fulani la hapa kwetu.

Kumbe wakisema MWAMBA wanamaanisha MUUAJI. Putin ameondoa maelfu ya roho za watu wasio na hatia. Huo ndiyo umwamba ambao shetani na watu wake wanausifia.
 
Hapo wajanja wameshapiga mahesabu 20yrs mbele...kwani nani kakwambia watu wa Russia hawapendi nafasi ya Putin? Chezea madaraka wewe, kama Putin mwenyewe anaongeza miaka ya kukaa madarakani kukicha na kuwapoteza washindani wake.

Suala la kutangazwa ni moja na suala la kukamatwq nako ni jambo lingine, la kwanza likishatimia ya pili inafuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…