Hati ya kukamatwa kwa Rais Vladimir Putin: Je, utaratibu upoje?

Hati ya kukamatwa kwa Rais Vladimir Putin: Je, utaratibu upoje?

Urusi sio Mwanachama Ivo haimuhusu .

Wamagharibi wameonyesha kwamba, Vikwazo vyao vyooote havijaweza kuiyumbisha Urusi, Sasa wameanza kutosha Tisha.

Rais wa Urusi hawez kanyaga Nchi ambazo anazitambua kama Maadui, kwahiyo Hawatampata Ng'oooo.




Unajua Russia society is build on pride and nationalism Kwa hivo, na Kiufundi, Wamagharibi wamemuongezea Putin, Approval rating kwani Sasa Warusi watamuona Putin kama Physical Metaphor wao wa kulinda Russia identities!!.



Tuwaunge mkono Warusi, waifungue Dunia, wauonyooshe Ukatoliki.
Namuunga mkono Putin, mfumo wa USHETANI wamagharibi wanaoupigia chapuo urudishwe nyuma.
 
Hakuna wa kuthubutu hata yule kiherehere wa Amerika hawezi na uthubutu 😂
Atakamatwa na magenerali wake ndani ya Russia ambao ni power mongers kama solution ya kumaliza vita na kuikoa urusi dhidi ya mdororo wa uchumi

Hiyo hati ina maana kubwa kuwa jumuiya ya kimataifa inayemtambua kama mhalifu wa kivita Urusi ni huyo Kinara Putin tu sio magenerali wa Jeshi

Hiyo itaaatua magenerali kumdaka na kumkabidhi The Hague
 
Hakuna wa kuthubutu hata yule kiherehere wa Amerika hawezi na uthubutu [emoji23]
Putin akitinga USA ananyakea ingawa nawjua hawezi enda.Siku alienda ujue Kuna makubaliane bilateral wamefany ambayo yatahusu mpango ya amani
 
Unamaanisha nini mkuu?
Neno propaganda limekuwa likitumika hata pasipositaili kutumika.
ICC imetoa agizo la kukamatwa Putin. Katika muktadha wa habari hiyo hiyo neno "propaganda" linaingiaje?
Kwamba ni propaganda kuwa ICC haijtoa agizo ilo ama ni propaganda katika framework ipi?.

Wasomi wa Jf na gugo mnatuchanganya sana, bhana.
 
View attachment 2556122
Baada ya kutolewa kwa Hati ya kukamatwa kwa rais wa Urusi Vladimir Putin watu wengi wamekuwa na shahuku ya kujua hati hii itafanyaje kazi? Na je raisi huyu anawezaje kukamatwa huku akiwa madarakani tena nchi yake (Urusi) pamoja na nchi aliyotuhumiwa kuifanyia uharifu (Ukraine) zikiwa sio wanachama wa ICC?

Tuanze na swala la uanachama, ICC ni mahakama ya kimataifa inayoshughulikia makosa ya kivita(War crime), uharifu dhidi ya binadamu( Crime against humanity), Mauaji ya Kimbali (Genocide) na Uvamizi (Act of Agression) Mahakama hii ilianzishwa Julai 1, 2002 huku ikiwa na wanachama 60 kufuatia Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (Rome Statute) wa mwaka 1998. Baadhi ya mataifa ambayo hayakukubali kuwa wanachama wa Mahakama hii ni Marekani, China, Iran, Israel, Qatar, na Libya.

View attachment 2556125

Urusi ilisaini mkataba wa ‘Rome statute’ lakini haikuwahi kuthibitisha ‘ratify’ ili kuwa mwanachama halali hadi mwaka 2016 ilipojitoa rasmi kwenye mkataba huo. Kwa upande wa Ukraine haikuwahi kuwa mwanachama. Hapo unaweza kujiuliza imekuwaje ICC iingilie kati mgogoro kati ya mataifa ambayo sio wanachama wake? Ipo hivi kwenye mkataba wa kuanziswa kwa Mahakama hii ya Kimataifa Kifungu cha 87(5) kinaelezea ushirikiano kwa mataifa yasiyo wanachama wa ICC. Kifungu hicho Kinabainisha kwamba Mahakama ‘’inaweza kualika Nchi yoyote isiyohusika na Mkataba huu kutoa msaada chini ya Sehemu hii kwa misingi ya mpangilio wa dharura au kwa makubaliano na Nchi hiyo au misingi yoyote inayofaa. Hivyo Ukraine pamoja na kutokuwa mwanachama imetumia nafasi hiyo kutoa ushahidi dhidi ya Putin kuhusu makosa ya kivita na uhamishaji haramu wa binadamu (hasa watoto).

Swali la mihimu ni je Putin atakamatwa baada ya hati ya kukamatwa kwake kutolewa na ICC?

Tunapaswa kujua kwamba ICC haina nguvu ya dora kama jeshi na Polisi hivyo hutumia wanachama wake kukamata waarifu na kuwapeleka mbele ya Mahakama (Baada ya Hati ya kukamatwa kwa muharifu kutolewa kama mtu huyo ni raia wa nchi isiyo mwanachama wa ICC atasubiliwa hadi atakapo toka nje ya nchi yake na kutembelea nchi mwanachama wa ICC Inchi hiyo iliyotembelewa ndiyo inaweza kumkamata ingawa swala hili sio la lazoma kwa nchi husika)

View attachment 2556126

Raisi wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir alitolewa hati kama hii mwaka 2009 wakati akiwa bado madarakani na alitembelea nchi kadhaa wanachama wa ICC bila kukamatwa licha ya ICC katika Mkataba wake kutotambua ‘Immunity’ kwa viongozi wa nchi. Swala la kukamatwa kwa Raisi wa nchi flani tena akiwa ziarani katika nchi nyingine ni gumu kutokana na makubaliano mengi ya kidiplomasia kabla ya Ziara ya kiongozi wa nchi katika nchi nyingine hivyo swala la Putin kukamatwa ni ndoto ambayo ni ngumu sana kutimia tena pengine haitotimia.
Vipi kuhusu majemedari wema wanaotofautiana na Putini ndani ya Urusi, unafkiri hawatakuwa na namna na kutoa mashirikiano kukamatwa ama kumpeleka Putin mbele ya ICC?

Unafkiria anayofanya putin yanawafurahisha wote urusi? ni suala muda lakini madam Warrant imetoka na namna ya kumkamata tayari ipo kwenye malengo sasa wacha jamaa aishi na khofu kwanza
 
Urusi sio Mwanachama Ivo haimuhusu .

Wamagharibi wameonyesha kwamba, Vikwazo vyao vyooote havijaweza kuiyumbisha Urusi, Sasa wameanza kutosha Tisha.

Rais wa Urusi hawez kanyaga Nchi ambazo anazitambua kama Maadui, kwahiyo Hawatampata Ng'oooo.




Unajua Russia society is build on pride and nationalism Kwa hivo, na Kiufundi, Wamagharibi wamemuongezea Putin, Approval rating kwani Sasa Warusi watamuona Putin kama Physical Metaphor wao wa kulinda Russia identities!!.



Tuwaunge mkono Warusi, waifungue Dunia, wauonyooshe Ukatoliki.
Sasa ni rais gani huyo asiye na uhuru kukanyaga baadhi ya nchi
 
Atakamatwa na magenerali wake ndani ya Russia ambao ni power mongers kama solution ya kumaliza vita na kuikoa urusi dhidi ya mdororo wa uchumi

Hiyo hati ina maana kubwa kuwa jumuiya ya kimataifa inayemtambua kama mhalifu wa kivita Urusi ni huyo Kinara Putin tu sio magenerali wa Jeshi

Hiyo itaaatua moyo magenerali kumdaka na kumkabidhi The Hague
hizo ndoto za mchana
 
Ulitaka akamatwe kwa makosa gani?
Taja kosa moja ambalo lingepelekea kukamatwa
Hajafanya kosa lolote ila akamatwe tu kama ambavyo PUT IN hajafanya kosa lolote ila wanataka kumkamata

Ingawaje hawawezi wakamkamate kwanza AL BASHIR
 
Putin akitinga USA ananyakea ingawa nawjua hawezi enda.Siku alienda ujue Kuna makubaliane bilateral wamefany ambayo yatahusu mpango ya amani
Sasa mipango yaamani ya nn c watie nae halaf wanaivunja akiwa anashuka pale eyapoti
 
Wameandaa mtego aondolewe na wenzake afu wamkabidhi ICC
hakuna kitu hapo,kwanza ICC warusi wanaiona takataka tu na haina impact yoyote.Hii inadhihirishwa na kitendo cha zaidi ya mwaka mmoja uliopita March 4,2022 mahakama hiyo kui-amuru Urusi isitiishe vita(ICC Issues Ukraine Invasion HALTING ORDER),uamuzi ambao ulifanywa na majaji 13 wakiongozwa na Mmarekani Judge Joan Donoghue,lakini Urusi iliendelea na vita na uamuzi huo hauna effect yoyote wala Urusi kwa kuidharau hata hakutuma Advocates kuitetea nchi yao kwani haitambui hata mahakama yenyewe
 
Mwambie BIDEN aende KOREA KASKAZINI au IRAN
Wa Iran na North Korea wenyewe wamechoka na nchi zao aende kufanya nini tunazungumzia nchi zenye ushawishi duniani nchi za Ulaya na US., hata wewe ukifungiwa usiende uganda unahisi italeta athari gani, naongelea nchi zenye ushawishi kiuchumi ulimwenguni putin hatakakanyaga atafia Kremlin
 
View attachment 2556122
Baada ya kutolewa kwa Hati ya kukamatwa kwa rais wa Urusi Vladimir Putin watu wengi wamekuwa na shahuku ya kujua hati hii itafanyaje kazi? Na je raisi huyu anawezaje kukamatwa huku akiwa madarakani tena nchi yake (Urusi) pamoja na nchi aliyotuhumiwa kuifanyia uharifu (Ukraine) zikiwa sio wanachama wa ICC?

Tuanze na swala la uanachama, ICC ni mahakama ya kimataifa inayoshughulikia makosa ya kivita(War crime), uharifu dhidi ya binadamu( Crime against humanity), Mauaji ya Kimbali (Genocide) na Uvamizi (Act of Agression) Mahakama hii ilianzishwa Julai 1, 2002 huku ikiwa na wanachama 60 kufuatia Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (Rome Statute) wa mwaka 1998. Baadhi ya mataifa ambayo hayakukubali kuwa wanachama wa Mahakama hii ni Marekani, China, Iran, Israel, Qatar, na Libya.

View attachment 2556125

Urusi ilisaini mkataba wa ‘Rome statute’ lakini haikuwahi kuthibitisha ‘ratify’ ili kuwa mwanachama halali hadi mwaka 2016 ilipojitoa rasmi kwenye mkataba huo. Kwa upande wa Ukraine haikuwahi kuwa mwanachama. Hapo unaweza kujiuliza imekuwaje ICC iingilie kati mgogoro kati ya mataifa ambayo sio wanachama wake? Ipo hivi kwenye mkataba wa kuanziswa kwa Mahakama hii ya Kimataifa Kifungu cha 87(5) kinaelezea ushirikiano kwa mataifa yasiyo wanachama wa ICC. Kifungu hicho Kinabainisha kwamba Mahakama ‘’inaweza kualika Nchi yoyote isiyohusika na Mkataba huu kutoa msaada chini ya Sehemu hii kwa misingi ya mpangilio wa dharura au kwa makubaliano na Nchi hiyo au misingi yoyote inayofaa. Hivyo Ukraine pamoja na kutokuwa mwanachama imetumia nafasi hiyo kutoa ushahidi dhidi ya Putin kuhusu makosa ya kivita na uhamishaji haramu wa binadamu (hasa watoto).

Swali la mihimu ni je Putin atakamatwa baada ya hati ya kukamatwa kwake kutolewa na ICC?

Tunapaswa kujua kwamba ICC haina nguvu ya dora kama jeshi na Polisi hivyo hutumia wanachama wake kukamata waarifu na kuwapeleka mbele ya Mahakama (Baada ya Hati ya kukamatwa kwa muharifu kutolewa kama mtu huyo ni raia wa nchi isiyo mwanachama wa ICC atasubiliwa hadi atakapo toka nje ya nchi yake na kutembelea nchi mwanachama wa ICC Inchi hiyo iliyotembelewa ndiyo inaweza kumkamata ingawa swala hili sio la lazoma kwa nchi husika)

View attachment 2556126

Raisi wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir alitolewa hati kama hii mwaka 2009 wakati akiwa bado madarakani na alitembelea nchi kadhaa wanachama wa ICC bila kukamatwa licha ya ICC katika Mkataba wake kutotambua ‘Immunity’ kwa viongozi wa nchi. Swala la kukamatwa kwa Raisi wa nchi flani tena akiwa ziarani katika nchi nyingine ni gumu kutokana na makubaliano mengi ya kidiplomasia kabla ya Ziara ya kiongozi wa nchi katika nchi nyingine hivyo swala la Putin kukamatwa ni ndoto ambayo ni ngumu sana kutimia tena pengine haitotimia.
Hawa jamaa wa West wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Sheria yoyote ina jurisdictiin, yaani maeneo inayoweza kutekelezwa. Urusi siyo signatory wa ICC , sasa sana sana wamemfanyua Putin dharau.

Kama ICC wana ubavu si wanajua Putin alijo huko Moscow?
Waende tu kumkamata.
 
Vipi kuhusu majemedari wema wanaotofautiana na Putini ndani ya Urusi, unafkiri hawatakuwa na namna na kutoa mashirikiano kukamatwa ama kumpeleka Putin mbele ya ICC?

Unafkiria anayofanya putin yanawafurahisha wote urusi? ni suala muda lakini madam Warrant imetoka na namna ya kumkamata tayari ipo kwenye malengo sasa wacha jamaa aishi na khofu kwanza
Kwenye vita maaskari na magenerali ndio hufa sio viongozi na familia zao

Sasa magenerali wakiona wamechoka vita huwa mara ingine hawajui waimalize vipi

Huhitaji msaada wa ushauri toka nje ya jeshi kujua wafanyaje.Hao magenerali wa Urusi walikuwa kwenye mkwamo wa maamuzi

Sasa mahakama.ya uhalifu wa kivita imewatonya jinsi ya kumaliza vita kuwa mleteni Putin ndiye mhalifu mkuu wa kivita kati ya Russia na Ukraine sio nyie

Mkimleta huyo mhalifu vita inaisha


Sasa hapo wameachiwa wao waamue waendelee kupigana Ukraine usiku na mchana wakilala maporini kwenye maisha magumu kwa kutii amri. Za Mhalifu wa kivita Putin mhalifu wa kimataifa anayetakiwa mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague au wamkamate wamkabidhi The Hague Askari warudi kwao kula bata na Urusi iwe na amani na kuondoka kwenye mdororo wa uchumi?

Jibu rahisi watachagua kukamata Putin na kumkabidhi The Hague
 
Back
Top Bottom