Hati ya kukamatwa kwa Rais Vladimir Putin: Je, utaratibu upoje?

China anaenda freshi tu
 
Akikamatwa Dmitry atatuma kombora la nuclear kwa nchi iliyomkata, ana roho ngumu kuliko Putin
Nashangaa hawa jamaa wanaohisi kwamba Putin watamfanyia upuuzi kirahisi rahisi tu.
 
Sasa nimeelewa MWAMBA humaanisha nini kwa kundi fulani la hapa kwetu.

Kumbe wakisema MWAMBA wanamaanisha MUUAJI. Putin ameondoa maelfu ya roho za watu wasio na hatia. Huo ndiyo umwamba ambao shetani na watu wake wanausifia.
Putin anaunganisha dunia kwa sasa, we endelea kugawa mataco kama mabosi zako NATO wanavyowahimiza.
 
Mmemshindwa kwenye uwanja wa vita mmeamua mtafute mahakama ya mchongo mumsakizie kesi?
NATO wapumbavu sana wanataka ushindi wa Mezani na ambao Putin hatakaa akubali kuwapa.
 
Nadhani huko the Hague mngeanza kuishitakia CCM maana kuna kundi flani hawaikubali wala nn
 
Hivi wewe unawaza Kwa kiungo gani? anyway JF inatoa Uhuru Kwa kujieleza Kwa kila mtu.
Wewe ndo Bure kabisa,Arrest Warrant hutolewa na competent court yenye jurisdiction Kwa nchi Husika,nambie ICC legal basis ya ICC kutoa hiyo Arrest Warrant ni ipi wakati Urusi haja-ratify mkataba uliounda ICC as per requirement of Public International Law,zaidi ya kuwa ceremonial?otherwise,umeamua kutumia your freedom of expression kushabikia mashoga wa nchi za magharibi
 
CC: 5523
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…