ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Nani aliyatunga?Hata ya Sabaya ni ya kipuuzi na ya kutunga...kuimba ni kupokezana😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyatunga?Hata ya Sabaya ni ya kipuuzi na ya kutunga...kuimba ni kupokezana😁😁😁😁
Kwa hiyo unashauri nini?mnavyoendelea kusubiri, ndoo inazidi kujaa kule segerea.
Ah, wapi.Mamlaka hii nayo natoka kwa Mungu eti!?!!
Ngoja Kibatala aje amuweke mtu kati. Natamani ingekuwa Lissu halafu Sirro awe shahidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utamu wa kesi ushahidi.
wamesema ijumaa ijayo commital, muda si mrefu kesi itaanza kusikilizwa high court. uzuri ni kwamba majaji, na sio mahakimu, ndio watasikiliza hiyo kesi. kwa hiyo hukumu itatoka ya haki.Na nyie acheni kelele basi,
HEBU pelekeni haraka huo ushahidi na hivyo vielelezo mlivyonavyo mkawasaidie mapolisi wenu ambao bado wanahanjahanja na kuendelea kuvunja maofisi ya CHADEMA na vituko vingine, ili kutafuta cha kuokoteza.
BavichaNani aliyatunga?
Hapo ndo ccm mnapofeliAngefanikiwa tungesema POLICE au TISS awajui kazi. Sasa tunalalamika, kwakudhibikiti mauaji au janga lolote lile. POLICE wanaonea, ST wanaonea. Tusubiri Mahakama na ushaidi. Mbano ya Sebaya tunasubiri.
Kwa bahati nzuri mimi sio CCM wala chama chochote kile. Nina penda watu. Na sio chama.Hapo ndo ccm mnapofeli
Mbowe alimua Chacha Wangwe.Vipi kuhusu kuua Viongozi?