Hatima ya mtumishi aliyefukuzwa kazi kwa utoro kazini akiwa shuleni kwa barua

Hatima ya mtumishi aliyefukuzwa kazi kwa utoro kazini akiwa shuleni kwa barua

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Kwenu wanasheria.

Mpwa wangu alikuwa chuo akisoma shahada ya pili!

Kwenye kile kipindi cha giza alitolewa kwenye ajira kwa kisingizio kwamba alikuwa nje ya kituo cha kazi na kwamba muajiri alikuwa hajui alipo.

Amejaribu kufuatilia lakini ngoma ngumu. Japo kuna wadau wanasema anaweza kurudi as long as siyo kosa la kinodhamu.

Naomba ushauri wenu tafadhali
 
Tukiwaaambia Mnamtukana humu JPM ni kundi ambalo mlizoea kula vya bure mnabisha. Ona sasa kumbe hata wewe ulishughulikiwa.

Kwakuwa uliona Masters ni bora sana nenda kaajiriwe sekta binafsi. Kufundisha shule ya msingi masters ya nini au ni mbinu ya kutegea kazi na kulipwa mshahara wa bure.

Fikra za JPM zidumu kwa kutuondolea watumishi wazembe wa aina hii.
 
Poleni,

1: Uthibitisho wa barua yake kwenda kwa mwajiri akiomba ruhusa ya kwenda kusoma anao?

2: Barua rasmi ya mwajiri kumruhusu kwenda kusoma anayo?

3: Alitimiza utaratibu kwa kadri barua ilivyomuelekeza?
 
pia alikuwa ana Mkataba wa ajira wa namna gani (wa kudumu au muda maalumu)? Na barua ya kufukuzwa kazi anayo?sababu za kuachishwa kazi iliandikwa ni ipi?

Kama ni abcondment/utoro basi kuna njia ya kutoka hapo kwa kufungua kesi CMA ila kesi itakuwa nje ya muda vinginevyo awe ameachishwa kazi siku hizi za usoni
 
Sio kosa la kinidhamu? 😂😂😂😂 Kwahiyo ni kosa gani kua mtoro kazini. Muda mwingine msilaumu maamuzi aliofanya jiwe alikua anajua watu wanavyoichezea nchi watu kibao waliaga na hawakufukuzwa kazi tatizo wasio aga wana ajenda zao kwenye kipato ila kalikoroga acha alinywe wanaomwambia atarudi wanamdanganya wanamcheka akiondoka
 
pia alikuwa ana Mkataba wa ajira wa namna gani (wa kudumu au muda maalumu)?na barua ya kufukuzwa kazi anayo?sababu za kuachishwa kazi iliandikwa ni ipi?kama ni abcondment/utoro basi kuna njia ya kutoka hapo kwa kufungua kesi CMA ila kesi itakuwa nje ya muda vinginevyo awe ameachishwa kazi siku hizi za usoni
Aliachishwa 2020 mkuu
 
Aliachishwa 2020 mkuu
Sababu ya kuachishwa ilikuwa ni nini?na je alishawahi kuchallange maamuzi ya mwajiri wake kokote?au anasababu za mashiko ili kuomba kufungua kesi nje ya muda CMA?na yuko wapi?kama uko serious karibu tufanye kazi Boss maana kutype hapa kidogo inakuwa changamoto
 
Sababu ya kuachishwa ilikuwa ni nini?na je alishawahi kuchallange maamuzi ya mwajiri wake kokote?au anasababu za mashiko ili kuomba kufungua kesi nje ya muda CMA?na yuko wapi?kama uko serious karibu tufanye kazi Boss maana kutype hapa kidogo inakuwa changamoto
Nipo serious napatikana dar kama inawezekana twende kazi muu. Wewe unapatikana hapa mjini??
 
Barua zote zipo na it was got sponsored studies
Anaweza kuwa nazo, lakini ni forgery pia.

Mimi siamini kama kaonewa kiasi hicho. Kuna mtu namfahamu kabisa, aliondolewa kwa kukosa vyeti vya taaluma. Kisa aliibiwa vyote.

Lakini alipojieleza, aliitwa TAMISEMI na kuhojiwa mlolongo wake wa usomaji toka msingi hadi kidato cha sita na chuo.

Baraza lilithibitisha taarifa zake zinafanana na maelezo yako pamoja na ushahidi wa mazingira alimosoma, alirejeshwa kazini.

Sasa yeye eti kwenda masomoni kwa ruhusa afutiwe kazi!

Kuna mitu kinafichwa hapa.
 
Sababu ya kuachishwa ilikuwa ni nini?na je alishawahi kuchallange maamuzi ya mwajiri wake kokote?au anasababu za mashiko ili kuomba kufungua kesi nje ya muda CMA?na yuko wapi?kama uko serious karibu tufanye kazi Boss maana kutype hapa kidogo inakuwa changamoto
Huko CMA mbona Huwa Ina mda wa kukata rufaa ndoani ya miezi mitatu Sasa ka hakufanya hivo si imekula kwake, labda umsaidie mlango wa nyuma
 
Barua zote zipo na it was got sponsored studies
Kama hivi vyote vipo na ni genuine na ana ile ua kumwachisha kazi, wakati huo sababu iliyoelezewa na kutokuwepo kazini kwa kipindi husika.

Pia, umeganya juhusi za mawasiliano na mwajiri bila mafanikio kutatua hili basi ni suala la kuhusisha mwanasheeia ma kufungua shauri CMA kama mdau alivyoshauri hapo juu. Hakikisha tu reference zako ni sahihi kabisa. Kama hapo juu.
 
Back
Top Bottom