Hatima ya mtumishi aliyefukuzwa kazi kwa utoro kazini akiwa shuleni kwa barua

Hatima ya mtumishi aliyefukuzwa kazi kwa utoro kazini akiwa shuleni kwa barua

Anaweza kuwa nazo, lakini ni forgery pia.

Mimi siamini kama kaonewa kiasi hicho. Kuna mtu namfahamu kabisa, aliondolewa kwa kukosa vyeti vya taaluma. Kisa aliibiwa vyote.

Lakini alipojieleza, aliitwa TAMISEMI na kuhojiwa mlolongo wake wa usomaji toka msingi hadi kidato cha sita na chuo.

Baraza lilithibitisha taarifa zake zinafanana na maelezo yako pamoja na ushahidi wa mazingira alimosoma, alirejeshwa kazini.

Sasa yeye eti kwenda masomoni kwa ruhusa afutiwe kazi!

Kuna mitu kinafichwa hapa.
Uko sahihi! Ndio maana nilimuomba documents za termination ili kujua sababu yake nini? Maana hata Kama ni utoro(abscondment)kisheria ina taratibu za kufuatwa kabla hujamfukuza kazini,hasa kwa mfanyakazi mwenye mkataba wa kudumu.
 
Anaweza kuwa nazo, lakini ni forgery pia.

Mimi siamini kama kaonewa kiasi hicho. Kuna mtu namfahamu kabisa, aliondolewa kwa kukosa vyeti vya taaluma. Kisa aliibiwa vyote.

Lakini alipojieleza, aliitwa TAMISEMI na kuhojiwa mlolongo wake wa usomaji toka msingi hadi kidato cha sita na chuo.

Baraza lilithibitisha taarifa zake zinafanana na maelezo yako pamoja na ushahidi wa mazingira alimosoma, alirejeshwa kazini.

Sasa yeye eti kwenda masomoni kwa ruhusa afutiwe kazi!

Kuna mitu kinafichwa hapa.
🙌
 
Kwenu wanasheria.

Mpwa wangu alikuwa chuo akisoma shahada ya pili!

Kwenye kile kipindi cha giza alitolewa kwenye ajira kwa kisingizio kwamba alikuwa nje ya kituo cha kazi na kwamba muajiri alikuwa hajui alipo.

Amejaribu kufuatilia lakini ngoma ngumu. Japo kuna wadau wanasema anaweza kurudi as long as siyo kosa la kinodhamu.

Naomba ushauri wenu tafadhali
Eti kipindi cha ngiza,kwa hiyo kwa akili yako ndogo hiki ni kipindi cha mwanga ambacho kinaruhusu watu wazembe na watoto kazini!?

Kajipange upya uje na hoja nzuri.
Hufai kuwa mtumishi katika sekta yoyote wewe
 
Amepambana wapi na wapi mpaka ameshindwa kwa kesi dhaifu kama hiyo?

Achukue vielelezo aende mahakamani tuu tena bila wakili na anatakiwa kulipwa hata mshahara alionyimwa kihalali
 
Kwenu wanasheria.

Mpwa wangu alikuwa chuo akisoma shahada ya pili!

Kwenye kile kipindi cha giza alitolewa kwenye ajira kwa kisingizio kwamba alikuwa nje ya kituo cha kazi na kwamba muajiri alikuwa hajui alipo.

Amejaribu kufuatilia lakini ngoma ngumu. Japo kuna wadau wanasema anaweza kurudi as long as siyo kosa la kinodhamu.

Naomba ushauri wenu tafadhali
Kipindi hakikuwa cha giza. Huyo mpwa wako ndiye alikuwa giza. Mwanga na giza havichangamani. Kwasasa kwakua tupo gizani mnaweza kumrudisha sasa huyo mpwa wako.
 
Pole sana mkuu Kinoamiguu kwa tukio lililomkuta ndugu yako. Sijaziona nyaraka alizopewa nduguyo ikiwa ni pamoja na barua ya kufukuzwa na hati ya mashtaka ya kinidhamu, ningeweza kushauri vyema hatua za kufanya.

Umepewa ushauri na Prosperity96 na wengine kuwa nduguyo aende CMA na wengine wamesema aende Mahakamani, lakini kwa jinsi ulivyosema 'enzi za giza' ni kama unaamanisha nduguyo alikuwa mtumishi wa umma.

Kama nipo sawa kuwa alikua mtumishi wa umma basi asithubutu kwenda CMA au Mahakamani maana ataangukia pua asubuhi tu kwa ma-PO kutoka kwa mawakili wa serikali. Kuanzia tarehe 28.03.2022 CMA ilipigwa marufuku kusikiliza migogoro inayohusu watumishi wa umma.

Nipo Dar, nitafute tushauriane njia ya kupita.
 
Huko CMA mbona Huwa Ina mda wa kukata rufaa ndoani ya miezi mitatu Sasa ka hakufanya hivo si imekula kwake, labda umsaidie mlango wa nyuma
Kama alikuwa mtumishi wa umma, bila ya kujali yupo ndani ya muda au la, hawezi kwenda CMA maana haina mamlaka ya kusikiliza kesi za watumishi wa umma. Someni hapa na msisahau kupiga kura.
 
Kwenu wanasheria.

Mpwa wangu alikuwa chuo akisoma shahada ya pili!

Kwenye kile kipindi cha giza alitolewa kwenye ajira kwa kisingizio kwamba alikuwa nje ya kituo cha kazi na kwamba muajiri alikuwa hajui alipo.

Amejaribu kufuatilia lakini ngoma ngumu. Japo kuna wadau wanasema anaweza kurudi as long as siyo kosa la kinodhamu.

Naomba ushauri wenu tafadhali
Kabla ya kufika kuomba ushauri, tuambie, aliomba ruhusa ya kwenda kusoma?
 
Pole sana mkuu Kinoamiguu kwa tukio lililomkuta ndugu yako. Sijaziona nyaraka alizopewa nduguyo ikiwa ni pamoja na barua ya kufukuzwa na hati ya mashtaka ya kinidhamu, ningeweza kushauri vyema hatua za kufanya.

Umepewa ushauri na Prosperity96 na wengine kuwa nduguyo aende CMA na wengine wamesema aende Mahakamani, lakini kwa jinsi ulivyosema 'enzi za giza' ni kama unaamanisha nduguyo alikuwa mtumishi wa umma.

Kama nipo sawa kuwa alikua mtumishi wa umma basi asithubutu kwenda CMA au Mahakamani maana ataangukia pua asubuhi tu kwa ma-PO kutoka kwa mawakili wa serikali. Kuanzia tarehe 28.03.2022 CMA ilipigwa marufuku kusikiliza migogoro inayohusu watumishi wa umma.

Nipo Dar, nitafute tushauriane njia ya kupita.
Uko sahihi kabisa!Lakini kuna kesi zingine zinazomhusisha mfanyakazi wa serikali zinaenda CMA moja kwa moja kama Breach of Contract,tort,retrenchment cases,na unfair labour practises ambazo hazitokani na matokeo ya disciplinary committee(misconducts)ila termination zote ambazo zimetokana na misconduct lazima utaratibu uliosema ufuatwe.
 
Uko sahihi kabisa!Lakini kuna kesi zingine zinazomhusisha mfanyakazi wa serikali zinaenda CMA moja kwa moja kama Breach of Contract,tort,retrenchment cases,na unfair labour practises ambazo hazitokani na matokeo ya disciplinary committee(misconducts)ila termination zote ambazo zimetokana na misconduct lazima utaratibu uliosema ufuatwe.
Hiyo ni nadharia na ndio msimamo sahihi lakini hukumu ya CAT ilikataa hizo tafsiri na ikasema all disputes na discplinary matters zinazohusisha mtumishi wa umma haziwezi kusikilizwa CMA.

All disputes maana yake, ni hata ile migogoro isiyotokana na maamuzi ya discplinary authority nayo imezuiwa. CAT imeelekeza migogoro hiyo kusikilizwa Tume ya Utumishi wa umma (PSC) ambayo kisheria nayo haina mamlaka.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-05-19-14-46-35-192_com.miui.gallery.jpg
    Screenshot_2023-05-19-14-46-35-192_com.miui.gallery.jpg
    56 KB · Views: 12
Eti kipindi cha ngiza,kwa hiyo kwa akili yako ndogo hiki ni kipindi cha mwanga ambacho kinaruhusu watu wazembe na watoto kazini!?

Kajipange upya uje na hoja nzuri.
Hufai kuwa mtumishi katika sekta yoyote wewe
Hapo ndipo alipokosea, hiyo Sheria haikutungwa kipindi hicho, Sheria ipo kitambo na wapo Watumishi wamekutwa na adhabu kupitia Sheria hiyo kabla na baada ya kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom