Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Mkuu jiandae tu lkn jua tu ukipelekwa hosp. Lazima wakupige bomba na hio VW TOUREGA mkuu.Dah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu wengine ndio ndoto zetu hizo leo nimepitia beforwad site nimekuta gari inauzwa dola 21 nafikilia gharama zake tu pale bandaliniKwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Unaongelea bmw 3 series au ipi hapo maana zipo kibao tu hapo zina bei ya chini kuliko brevis/altezza/Progress//mark x etckika hitaji humfaa muhitaji kuna wenzio hiyo bmw wanaona ni uchafu kwao wanatumia choper na unapo ongelea toyota kuwa ya kimaskin fafanua toyota gani maana kuna toyota ni ghali zaid ya bmw
Ni kweli mkuu,ndoo maana nimesema ni afadhali niendeshe kirikuu.Jamani, unavyoo ongea kuwa ponda wanaume wenzio utafkiri una bugati au ferari!! Gari gari bwana ilimradi unafika kule utakapo kwenda!! Na chamsingi kila mmoja anapato lake usiwalazimeshe wooote wawe na miprado!
Mkuu Mungu aendelee kuwa nawe. Wengine tulianza na corolla tena imenunuliwa kwa mtu dash board imepasuka vibaya mno.Niliipeleka kwa fundi sofa akaipiga leather...Mkuu wengine ndio ndoto zetu hizo leo nimepitia beforwad site nimekuta gari inauzwa dola 21 nafikilia gharama zake tu pale bandalini
Hihihihi endesheni tu toyota papuchi hizoDah nachoka kabisa Rav 4 gari ya kike, kruger nayo..haki ya mungu 80% wanaendesha gari za kike maana humu barabaran gani tunazoziona zimejazana ni RAV 4, passo, ist, Raum, spacio, premio, allion..ukiwa na pesa ya uhakika ndio utakuwa na nafasi ya kuchagua gari ya kike au ya kiume ila sisi wenye vipato vya laki 7 hatuna option..Rav 4 ya 2008 yenyewe inakwenda hadi 30 milion sasa hiyo ya 2019 wangapi wataiweza bora wabaki huko huko kwenye gari zenye Vagina
Nunua vanguard iko kiume, achana na hiloNazikubali sana View attachment 737682
***** jichanganye kwa FOB uje ujute mkuu.Mkuu wengine ndio ndoto zetu hizo leo nimepitia beforwad site nimekuta gari inauzwa dola 21 nafikilia gharama zake tu pale bandalini
..na usawa huu wa Anko Magu, haya!Ndiyo nzuri sasa hizo...
Siyo unaweka mafuta kwa kijiko. [emoji23] [emoji13] [emoji1]
Zinae shepu nzuri lakini, sio sawa na mitoleo ya nyuma. So far facelifted zote za toyota zinarudisha mvuto wa gariNi kweli, naona SUV nyingi zinazotoka sasa hivi zitafanana, Rav 4 hybrid, Harrier Hybrid, Subaru foresta 2019, na nyingine kibao, naona kwa sasa huo mwonekano umekuwa na mvuto sana kwenye SUV ndo maana watengenezaji wameanza kujikita huko.
VW Touareg hio gari ni Bolo mzee baba. Hapo unakatikia kipisi ha ha ha haDah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sasa vanguard asilimia kubwa wanaendesha wamamaNunua vanguard iko kiume, achana na hilo
Mimi nakomaa na Land Rover 109 series 3 v8 langu.Sihofii njia yoyote kukatiza.Watu kama sie wakina mzee baba, bado tunaona ya kike tuu! Gari fupi zote na soft za wadada tu.
Zile za zamani zenye vidirisha vya kuingizia hewa vya kufungua na kufunga chini ya windscreen.Chuma kinaingizaga vumbi ndani hatariii hata kama vioo vyote vimefungwa ukiwa off road ,afu huwezi ona vumbi limetokea wapi hahah.
Hata mm nimemshangaaSijakuelewa, inamaana anayesukuma Alteza ana hela kuliko wa Kluger?