Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Dah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Dah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu jiandae tu lkn jua tu ukipelekwa hosp. Lazima wakupige bomba na hio VW TOUREGA mkuu.
 
Kwenye Kluger ndo sikai kabisa, ni afadhali niendeshe Kirikuu.Una kuta mtoto wa kiume amejaa kwenye Ist,sehemu zake za siri zimejikunyata utadhani mtoto wa Dar katupwa sehemu za baridi Mufindi.Mtoto wa kiume unanenepeana kwenye Nadia,Noah,Passo,na vigari vingine vya aina hiyo kisa?!!! Eti ulaji wa mafuta ni mdogo kwenye misele... Mtoto wa kiume unaendesha gari linalo kunywa mafuta kwa kutumia kijiko cha chai?
Siwezi kuendesha gari linalo sababisha tumbo linapakatwa na mapaja,kwani ndo chanzo cha nguvu za kiume(uume na mapumb...muda wote yanapikwa kwa joto) kupungua.
Mkuu wengine ndio ndoto zetu hizo leo nimepitia beforwad site nimekuta gari inauzwa dola 21 nafikilia gharama zake tu pale bandalini
 
kika hitaji humfaa muhitaji kuna wenzio hiyo bmw wanaona ni uchafu kwao wanatumia choper na unapo ongelea toyota kuwa ya kimaskin fafanua toyota gani maana kuna toyota ni ghali zaid ya bmw
Unaongelea bmw 3 series au ipi hapo maana zipo kibao tu hapo zina bei ya chini kuliko brevis/altezza/Progress//mark x etc
 
Nazikubali sana
tapatalk_1500483453625.jpeg
 
Jamani, unavyoo ongea kuwa ponda wanaume wenzio utafkiri una bugati au ferari!! Gari gari bwana ilimradi unafika kule utakapo kwenda!! Na chamsingi kila mmoja anapato lake usiwalazimeshe wooote wawe na miprado!
Ni kweli mkuu,ndoo maana nimesema ni afadhali niendeshe kirikuu.
Na ni mara nyingi naendesha kirikuu,uingizaji wa gia(manual) unanichangamsha mwili wangu.
 
Mkuu wengine ndio ndoto zetu hizo leo nimepitia beforwad site nimekuta gari inauzwa dola 21 nafikilia gharama zake tu pale bandalini
Mkuu Mungu aendelee kuwa nawe. Wengine tulianza na corolla tena imenunuliwa kwa mtu dash board imepasuka vibaya mno.Niliipeleka kwa fundi sofa akaipiga leather...
Safari ni hatua
 
Dah nachoka kabisa Rav 4 gari ya kike, kruger nayo..haki ya mungu 80% wanaendesha gari za kike maana humu barabaran gani tunazoziona zimejazana ni RAV 4, passo, ist, Raum, spacio, premio, allion..ukiwa na pesa ya uhakika ndio utakuwa na nafasi ya kuchagua gari ya kike au ya kiume ila sisi wenye vipato vya laki 7 hatuna option..Rav 4 ya 2008 yenyewe inakwenda hadi 30 milion sasa hiyo ya 2019 wangapi wataiweza bora wabaki huko huko kwenye gari zenye Vagina
Hihihihi endesheni tu toyota papuchi hizo
 
Ni kweli, naona SUV nyingi zinazotoka sasa hivi zitafanana, Rav 4 hybrid, Harrier Hybrid, Subaru foresta 2019, na nyingine kibao, naona kwa sasa huo mwonekano umekuwa na mvuto sana kwenye SUV ndo maana watengenezaji wameanza kujikita huko.
Zinae shepu nzuri lakini, sio sawa na mitoleo ya nyuma. So far facelifted zote za toyota zinarudisha mvuto wa gari
 
Dah, sasa niambieni kama VW TOUREG yangu ni ya kike au ya kiume ili nijue. Isije ikawa ya kiume kumbe kila nikiikalia nakuwa nimekalia dudu, nimepakatwa ila mi sijui. Nikishuka nakuwa nimeloa najua jasho kumbe shahawa...!!! Kama ni ya kike poa tu, kukalia papuchi sio mbaya. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
VW Touareg hio gari ni Bolo mzee baba. Hapo unakatikia kipisi ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom