Mimi najua kinacho kuchanganya ni ile body.. Ulisha wahi kumwona waziri akiendeshwa na prado?Wewe ungebakia kwenye siasa tu mkuu huku sio size yako.
Shikamoo....!Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.
Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.
Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
[emoji23] [emoji23] poapoa mzee babaHahahah wewe jamaa kausha basi.
Gari ya milion 18-22 anasema ya hela ya kuunga sasa wa Passo, demio au swift za milion 8 watakua kundi lipi..still kibongo bongo kluger ni gari ya class ya juu kiasi ukilinganisha na nyingi tunazoziona barabarani, maana kuna class ya chin kabisa ya hivi wanaviita vibaby walker price yake ni milion 7-hadi 9 , inayofuata ndio hizi Premio au allion kuanzia 11 mpaka 15.Hahahahahahaha
Nimeshangaa eti kama una hela za kuunga ndio ununue kluger watu mnadharau magari yetu jamani.
Matajiri wa JF
Rav 4 haijawahi kuwa gari ya kiume. Gari kama Land Cruiser Mkonga, Land Rover Defender, Jeep Wrangler, Nissan Patrol na gari zinazofanana na hizo ndio unaweza kuziita gari za kiumeNazitambua vyema mzee, huoni mikunjo hio
Chuma kinaingizaga vumbi ndani hatariii hata kama vioo vyote vimefungwa ukiwa off road ,afu huwezi ona vumbi limetokea wapi hahah.
Hii ndio gari ya kiume sasa
Acha tu mkuu,siku zote mtu akimiliki gari yake hata kama iwe passo huwa namuheshimuGari ya milion 18-22 anasema ya hela ya kuunga sasa wa Passo, demio au swift za milion 8 watakua kundi lipi..still kibongo bongo kluger ni gari ya class ya juu kiasi ukilinganisha na nyingi tunazoziona barabarani, maana kuna class ya chin kabisa ya hivi wanaviita vibaby walker price yake ni milion 7-hadi 9 , inayofuata ndio hizi Premio au allion kuanzia 11 mpaka 15.
Hio gari kuna watakayoinunua soon wala hawatasubiria mpaka ikazagae beforward mwaka 2029 . Utashangaa tu iko kwenye page ya hotrides tz.Naona wametambaa sawa na hyundai sante fe...
Ila bongo nyoso sasa hv tunatamba na rav 4 za 2006.
Ni kweli Kluger gari ya class kidogo compared na hutwo tu babe walkers ila comfortability yake haiwezi fikia some classy V6's. Unataka kuniambia Kluger ni comfortable kuliko Toyota Crown ,Brevis ama Mark X kwa sababu umenunua 22m?Gari ya milion 18-22 anasema ya hela ya kuunga sasa wa Passo, demio au swift za milion 8 watakua kundi lipi..still kibongo bongo kluger ni gari ya class ya juu kiasi ukilinganisha na nyingi tunazoziona barabarani, maana kuna class ya chin kabisa ya hivi wanaviita vibaby walker price yake ni milion 7-hadi 9 , inayofuata ndio hizi Premio au allion kuanzia 11 mpaka 15.