Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

Hatimae 2019 RAV 4 imepata muonekano mpya wa kiume

2019-Toyota-RAV4-front-three-quarter-1.jpg


2019-Toyota-RAV4-rear-three-quarter-01-1.jpg
Imetulia...!
 
Mimi najua kinacho kuchanganya ni ile body.. Ulisha wahi kumwona waziri akiendeshwa na prado?

Unajua sababu zipi hadi serikali wakasema hawatumii prado badala yake wataendelea kutumia vx v8?

Kwangu mimi prado hamna gari pale... Siku ukinunua hii gari ndiyo utakuja kuyakumbuka maneno yangu... Prado hamna kitu pale.... Ukienda safari ndefu ile ngoma ikikolea kidogo haichelewi kukuhamisha barabarani... Kuchomoka tairi ni kawaida sana

Serikali: Tutaendelea kununua VX V8 kwa viongozi wa serikali magari mengine hayafai na hayana ubora

Prado ikifika 120 km/hr inapaa, gari ni jepesi sana.
 
Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.

Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.

Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Mkuu, hata Fozzy ya kimama? Au unaongelea Toyota tu?
 
Prado ikifika 120 km/hr inapaa, gari ni jepesi sana.
Duh, sasa mbona mi huwa naona zinatupitaga kwa kasi sana tukiwa highway hasa Iringa Road ama njia ya kuelekea Moshi tena ni zile TX za kuanzia 2012-2017. Mbona huwa zinakuwa mwendo sana na hazidondoki tukaona.

Au unazungumzia Prado za mwaka 1998-2004
 
Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.

Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.

Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
Crown Majesta,2017 acha kbsaaa asee,hata prado silitaki,hii kitu imekaa imekaa imekaaa zaid hata ya benz japo benz ni kitu kingine,
 
Duh, sasa mbona mi huwa naona zinatupitaga kwa kasi sana tukiwa highway hasa Iringa Road ama njia ya kuelekea Moshi tena ni zile TX za kuanzia 2012-2017. Mbona huwa zinakuwa mwendo sana na hazidondoki tukaona.

Au unazungumzia Prado za mwaka 1998-2004
Mkuu una mahaba sana na prado.. Ile body ndiyo inayo wachanganya wacha watu ila hamna kitu kule..

Toyota Prado, 'The Most Dangerous Vehicle' Seen
 
Kwani gari kuwa na sense of bitchness ni lazima ibebe mimba mkuu? Gari jinsi ilivyo tu styling & design inaweza ikakukataa kidume.

Huwezi kumkuta mwanaume rijali mwenye mawe amekalia RAV 4 tena za previous generations 1999-2016 ni aibu sana. Vidume wanasukuma LX 76 series, Prado, Lexus 570 ama Land Cruiser 200 vx v8. Wale ambao hela ipo kidogo wanakaa kwenye V6 yoyote iwe Gx110,Brevis,Mark X ama Crown au Altezza. Hela za kuunga unga ni heri ukae kwenye Kluger mle ufiche aibu au Suzuki Escudo.

Kinyume na hapo lazma uwe kwenye gari ya kimama tu!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom