Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pleaseeeee! How, do you know!? From just a Pic!?Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Mimi siyo Daktari ila nimekutana na wanawake wengi wa 45 years wana vichanga au wako maternityView attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Kuna kupigwa na kupostiwa,ngoja tusubiriHii picha ni ya juzi aliipost ROMA mkatoriki X
Huyo mwanaume kibokoMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Anazaa vizuri kabisaaView attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
47 mtu aliyezaliwa '79? Kweli mkuu? Hata 46 ado haijatimia....ana 47 (born 15 June 1979), inawezekana amefanya In vitro fertilisation (IVF)
Error ya +/-1 ni acceptable , is the difference significant?, na ukweli unabaki kuwa pregnancy beyond 40 ni risk, kwa ambao tayari wana watoto it not recommended....47 mtu aliyezaliwa '79? Kweli mkuu? Hata 46 ado haijatimia...
Mwenyezi Mungu ambariki sana.
...ila kwake ambaye ameishi bila mtoto na huenda alitamani kuwa nae ni sawa kabisa kuzaa.Error ya +/-1 ni acceptable , is the difference significant?, na ukweli unabaki kuwa pregnancy beyond 40 ni risk, kwa ambao tayari wana watoto it not recommended....
Wivu tu janaume zima.Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wente miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Nilichoona kikubwa Kwa 20yrs ni akili ya maisha plus discipline hakuna hao waliopitia makorongo mengi afadhali wanajitambua,wengine hata usafi wa miili yao changamoto hao 20sWanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wente miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance