Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Pleaseeeee! How, do you know!? From just a Pic!?
Hicho kinaweza, kikawa kitambi tu, wanawake siku hz wanavitambi sana tu
 
Huyo mwanaume kiboko
 
Error ya +/-1 ni acceptable , is the difference significant?, na ukweli unabaki kuwa pregnancy beyond 40 ni risk, kwa ambao tayari wana watoto it not recommended....
...ila kwake ambaye ameishi bila mtoto na huenda alitamani kuwa nae ni sawa kabisa kuzaa.
..kwa sababu ulijua mwaka wake wa kuzaliwa, ndio maana imebidi niandike kuwa she's not even 46.
 
Wivu tu janaume zima.
 
Nilichoona kikubwa Kwa 20yrs ni akili ya maisha plus discipline hakuna hao waliopitia makorongo mengi afadhali wanajitambua,wengine hata usafi wa miili yao changamoto hao 20s
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…