Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Bora yeye kuliko wengine wanatengana na kila mtu anazini kivyake halafu kwenye harusi za watoto wao uwaona wanakuja et wazazi,unafiki mtupu.
 
Hivi mchungaji aliyefungisha alikuwa hajui kuwa flora ni mke wa mtu au ndo alishikishwa mtonyo wa maana.....Tutasema ni mchungaji kumbe ni maigizo tu......
Makanisa ya Gwajima hayo
 
Haina makombo boss.
Fikra zako tu.
Hata hapo unapopita wewe wenzio kibao wanapita hapo hapo.
You can not say for sure, lakini huyu amezaa umati wote unaona, ushahidi usio na mashaka!
 
Kaka Mbasha usihofu jikazee kiume.
Wanawake hawaaminiki .
 

Ujumbe wako ni mzuri.Hata hivyo,haujafika vizuri kwa sababu unapotaka kukataa kwa kutumia neno "hana" wewe umetumia "ana" na bado "hata" kuna sehemu umesema "ata".Ni kosa la kawaida sana lakini kubwa kwenye lugha adhimu ya Kiswahili.Samahani kama nitakuwa nimekukwaza,sina nia mbaya.
 
Dini ni moja tu na mitume wote walikuwa kitu kimoja ila tatizo ni sie wenyewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…