Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Hatimaye staa wa muziki wa Injili Tanzania Florance Henry 'Madam Flora' amefunga ndoa na Daudi Kusekwa baada ya kukaa muda mrefu wa upweke kutokana na kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha.


Oya ' Masela ' tuliokaa Chuo Kikuu miaka ile ya 1988 hadi 1992 hasa Mtaa wa KILELENI kule juu Mlimani huyu Daudi Kusekwa siyo yule tuliyekuwa tukimpiga sana ' Makwenzi ' ambaye alikuwa na Dada yake Bonge hivi aitwae Penina? Hii sura sasa naanza kuiangalia naona kama vile niko ' familiar ' nayo. Msaada jamani kwa wale wenzangu na Mie wa Kitaa cha Chuo Kikuu ' kitambo ' kile.
 
una rahisisha mambo, iman ya kikristu haipo ivo mkuu
 
Umeuliza swali la msingi mkuu naamini wakakapokujibu itanisaidia na mm kupata majibu
Hawawezi kunijibu maana ni mafarisayo, wanakarili na si kuelewa, japo wanajifanya kujua, hawajui hata misingi ya Ndoa wanakarili vifungu vichache,
 
Na vp km mwanandoa mmoja atakuwa kuingia kwenye Ndoa na kukiri viapo kiutapeli Yaani hakuwa na Nia ya dhati ya kuishi milele,aliitika ama kuingia ili kutimiza jambo na hii unasemaje
 
Umeongelea adhabu ya tapeli alodanganya hii kila MTU anajua, sasa imefika mahali tapeli kaamua kuvunja Ndoa baada ya kutimiza azma, Vipo juu ya mwenza wake alokuwa na dhati?
Halafu swali langu ni kuhusu ubatili na uhalali wa Ndoa,
Ndoa inasisitiza Nia ya dhati ya kuishi Mpaka mwisho wa Maisha, inasisitiza makubaliano ya hiari yasiyoshawishika Kwa kitu,ndoa na mtu alodanganya viapo ni Ndoa halali?
Na mdanganyifu akileta shida manteso na visa vya makusudi ili waaachane na ikawa hivyo na hii mtasemaje, maana Toka awali palikuwa Hapana udhati na utayari Kwa mmoja,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…