Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

.
Halafu Kuna watu wanakaza misuli ya shingo eti kanisa ni takatifu. Ati ndoa ni kwa mume mmoja tu hadi kifo kiwatenganishe. Sasa Mbasha kafa? waliofunga hii ndoa ni kanisa, serikali au danguro? Watoa povu njooni hapa kutetea utakatifu wa kanisa.
Punguza ukali wa maneno unapoongea mambo matakatifu,
 
Piga ngozi dogo mpaka iwe nyekundu tena simamia kucha kabsaa kula ugali maharage jion na maji Lita moja kula mzigo mpaka aseme pooo akimbie mwenyewe halafu unaleta vile visichana vyako unakula maisha na upepo Safi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadekii
 
Watu ni mbumbumbu Sana, wanakarili mambo yanayowavutia wao, wanadhani zinaa Mpaka mtu afumaniwe,
Hawasomi maandiko na kuyatafakari Bali wanaambiwa na kukarilishwa vifungu,zinaa Siyo Mpaka ukamatwe, Halafu watu wajiulize kusudi la Ndoa NI nn, watu wameenda altaleni kitapeli, bila kufuata misingi na lengo la Ndoa wanafunga harusi Lkn wanaziita Ndoa,
MTU anaingia kwenye Ndoa Kwa lengo LA muda na Bado watu wanaita Ndoa,
Kuna ubatili mwingi Sana kwenye hizi tunazodhani ni Ndoa zenye baraka za Mungu,km misingi ya Ndoa haipo ama haikuwepo ni ubatili,
Hivi ni kweli MUNGU anatoa adhabu hata Kwa asiyemkosaji, Yaani mtu anaeachwa na tapeli?
 
Somo pana sana. Asante kwa ulivyonielewa maana hili ni somo refu. Sawa na mtu akikuambia Neno na maneno. Tofauti yake sio katika Umoja na uwingi bali katika bible ni vitu viwili tofauti. Na kila moja lina nguvu tofauti.
 
Watu wanapaswa jiuliza Ndoa ilipoteza misingi yake patakuwa na Faida gani, Ndoa ilopoteza misingi ni chukizo Kwa Mungu maana hata kumtumikia Mungu haiwezekani, kifupi mnakuwa jehanum ndogo,halafu watu wanaongelea ya upende mmoja hasa kuhusu alomkosea mwenza na hawaelezei juu ya alokimbiwa, vifungu wanavyotoa ni vya anae acha, hawaongelei hatma ya anaeachwa,
 
Gauni la Bibi harusi aka shela kuwa jeupe maana yake Bi harusi ni bikra yaan hajaliwa papuch ( mchungaji aliyefungisha ndoa hii unalijua hili?)
 
One sided marriage... sijui wazaz wa huyo dogo wanajisikije..?
Hadi kufikia kumruhusu kufunga ndoa that actually means they are happy for their brave son to jump into marriage na huyo mshangazi.

Halafu mbona raia mnaponda sana wakati kitu cha kawaida sana hiki, na cha kushangaza vijana wengi tu ikiwemo nyie mnaponda hizi ndio dates mlionazo mjini hapa.

Wanaochukuliwa na sugermumies na huu ukata ndio wameongezeka hatari, ila kinachowatofautisha na huyu kijana ni kwamba yeye kaamua kuwa muwazi wakati huo nyie ni wanafiki(nadhani hapa unanielewa)
 
Vzr Kiby, bila shaka mistari hii imesapoti maandishi yangu!
 
Huyu mvulana aliyeoa kalazimishwa? Mbona ukimwangalia katikati ya macho yake Kama anastukastuka vile, Kama kuna nafsi inamsuta hivi.....
 
Gauni la Bibi harusi aka shela kuwa jeupe maana yake Bi harusi ni bikra yaan hajaliwa papuch ( mchungaji aliyefungisha ndoa hii unalijua hili?)
Hivi nyie vijana wa siku hizi mna subra hiyo. Mnaanza kuonjana hata kabla ya kuwa wachumba. Mbaya zaidi sherehe za siku hizi unakuta wanawake wanaolewa wote wana kuwa na matumbo makubwa kuliko waume zao.
Kwa ujumla jamii imekengeuka na kwa hakika hapa ndipo utakuta mila zetu zilikuwa na nguvu sana kuliko hata mafundisho ya sasa ambayo katika hili yamepoa. Hakuna enforcement dhahiri. Zamani Bikra walikuwa hawatafutwi kwa tochi lakini siku hizi, mmmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…