Kwa mila zetu za kiafrika haya HayakuwepoHivi nyie vijana wa siku hizi mna subra hiyo. Mnaanza kuonjana hata kabla ya kuwa wachumba. Mbaya zaidi sherehe za siku hizi unakuta wanawake wanaolewa wote wana kuwa na matumbo makubwa kuliko waume zao.
Kwa ujumla jamii imekengeuka na kwa hakika hapa ndipo utakuta mila zetu zilikuwa na nguvu sana kuliko hata mafundisho ya sasa ambayo katika hili yamepoa. Hakuna enforcement dhahiri. Zamani Bikra walikuwa hawatafutwi kwa tochi lakini siku hizi, mmmmh!
Huwa ukila wali ukitafuna jiwe huwa unamwaga wali wote???Kweli nimeamini urokole ni usanii tupu.
Mtu akikuita Mlokole amekudhalilisha sana..Siyo kweli! Mfano mmoja mbovu hauwezi kuwa kielelezo cha jamii kubwa sana ya walokole/wakristo wa kweli!
Aseeeh
Aseeeh, Mbona questions mark nyingi hivyo 5 zote?Hiii huwa ndo, Kibwagizo chako?????
Mila na desturi za kisukuma zinaruhusu alichofanya Flora.wanafanyaje, nitawajua wapi!
Atazaaaa, akisha maliza atanwacha mme wake. Na atajitahidi amzalie japo watoto wawili ili awe huru kuolewa tena.Sasa akatulie kwenye ndoa atutaki kusikia akilia lia tena mara [emoji125] anaonewa, sijui mwanaume anamnyanyasa, sijui mwanaume anataka wasichana wengineo.
Na yule dogo Lazima atataka kupata watoto angalau wawili, sasa sijui Flora Mbasha atakuwa tayari
Yule dogo ndio maana ata katika harusi ana amani akiwaza vitu kama ivyo anakuwa ana amani, na ukijumlisha ndugu tayari washampaka mineno yetu ya kiafrika basi hata katika katika harusi ndio maana kama kapigwa sindano ya ganzi,
Kubaka! amembaka mtoto, if this is the case, then mila hiyo imepitwa na wakati, sawa na kukeketaMila na desturi za kisukuma zinaruhusu alichofanya Flora.
Umasikini, unamwaga wanapika tena!Huwa ukila wali ukitafuna jiwe huwa unamwaga wali wote???
Hahaaa [emoji23][emoji23]flora kapata ki ben10
Kuonyesha Msisitizo wa swaliAseeeh, Mbona questions mark nyingi hivyo 5 zote?
Aseeeh, ni kivumishi kiunganishi na pia kihisishi. Arusha neno aiseeh linatumika saana. Siwezi kuzungumzia mazungumzo yasiyo rasmi hata sekunde 40 bila kutaja aseeeh.Kuonyesha Msisitizo wa swali
Wanawake wote wanatamani kupata waume wanaojali na kuwaheshimu"Nilikuwa natamani kupata mume ambaye atanijali na kuniheshimu
Vipi rais wa french? Daud Kusekwa ndo kachumbia siyo FloraKubaka! amembaka mtoto, if this is the case, then mila hiyo imepitwa na wakati, sawa na kukeketa