Kwa mila zetu za kiafrika haya HayakuwepoHivi nyie vijana wa siku hizi mna subra hiyo. Mnaanza kuonjana hata kabla ya kuwa wachumba. Mbaya zaidi sherehe za siku hizi unakuta wanawake wanaolewa wote wana kuwa na matumbo makubwa kuliko waume zao.
Kwa ujumla jamii imekengeuka na kwa hakika hapa ndipo utakuta mila zetu zilikuwa na nguvu sana kuliko hata mafundisho ya sasa ambayo katika hili yamepoa. Hakuna enforcement dhahiri. Zamani Bikra walikuwa hawatafutwi kwa tochi lakini siku hizi, mmmmh!