Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Mimi nilichopenda pale kwenye kiapo hawajasema " hadi kifo kitutenganishe" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila bora kaolewa tu, kukaa bila mwenza maishani ni adhabu kwa kweli
 

Yes huyu ni Daudi kusekwa junor,, yaani baba yake ndio ulisoma naye
 
Yes huyu ni Daudi kusekwa junor,, yaani baba yake ndio ulisoma naye

Acha ' Bangi ' basi Mkuu sawa? Maelezo yangu ya awali yamejitosheleza kabisa unless unataka tu kujiingiza mwenyewe katika ' frame ' nikuwashe vizuri.
 
Bibi harusi bayaaaaa,kwanza limelaaniwa kuliko waimba kwaya woote wanaoimba kwa minajili ya kupigs mkwanja km kawaida yao
 
pumzika kwa amani mzee kulola. afadhali ulitangulia mbele ya haki. fedheha hii ungeiweka wapi? na huyo bwana arusi ana wazazi? au alizaliwa na mwanasesere? ni aibu
 
Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.
Is this a Luck Sky Eclat ?.

Nadhani kulivaa si tatizo.Pia kutolivaa siyo fedheha.Jambo la msingi ni kuielewa mantiki ya vazi hilo.Baada ya hapo unakuwa umeuishi uhalisia na siyo ku-fake reality.

By the way,All The best Miss Flora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…