Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Mwacheni dogo akale nyama laini bwana.. Hapo Flora inaonekana kakolea kwelikweli! Ngoja na mimi nikazane kwa Tina! Haya mambo ya kula mafichoni hayafai. Haya Tina emb mtafutie yule mzee scandal umuache kihalali tule vyetu hadharani na shela nitakuvisha habadani
 
Hv hyo bw kusekwa ataambulia watoto wangapi hapo,mwenzake anao wawili sasa hivi na umri ndo vle umeenda.nawaza tu jamani
 
Imeandikwa; Msihukumu Msije Mkahukumiwa Ninyi (Mathayo 7 : 1), Lakini hili la Flora Kusekwa, Mungu nisamehe tu...!

Sisikilizi tena nyimbo zake.
 
Dada ni jasiri huyu....haya bhana, ila hapo kwenye Kusekwa tutaandika tu kwa penseli.
 
Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
But if the unbelieving depart, let him depart. A brother or a sister is not under bondage in such cases: but God hath called us to peace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…