Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.

Hahaha mkuu maneno yako yanatesa,lol
 
Na hii ikivunjika tena, basi tutajua kuwa Flora ndiye mwenye matatizo... Kwa sasa tunamtakia kila la kheri...
 
Nilisikia mashabiki wawil wa madam frola wataenda bure kuungana nae kwenye Harusi yake hiv humu yupo ata mmoja
 
Sasa jiulize kwanini Huyo Mchungaji akakubali kufungisha hiyo ndoa, kama si Ungumbaru?

Makanisa ya kilokole yasiyokuwa na codes of Conducts, Rules & Regulations, Acts za muda mrefu za Ndoa, Ubatizo, Kipaimara na Sakramenti zingine ambazo hazifanyiwi ammendment kwa maamuzi ya mtu mmoja ni tatizo.

Sasa Mchungaji anakurupuuka na kufanya maamuzi mwenyewe kinyume na Biblia inavyotaka kisa tu kaahidiwa laki 5 na Madam flora. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Njaa mbaya sana.
 
Piga ngozi dogo mpaka iwe nyekundu tena simamia kucha kabsaa kula ugali maharage jion na maji Lita moja kula mzigo mpaka aseme pooo akimbie mwenyewe halafu unaleta vile visichana vyako unakula maisha na upepo Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…