Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.

Hahaha mkuu maneno yako yanatesa,lol
 
Na hii ikivunjika tena, basi tutajua kuwa Flora ndiye mwenye matatizo... Kwa sasa tunamtakia kila la kheri...
 
Nilisikia mashabiki wawil wa madam frola wataenda bure kuungana nae kwenye Harusi yake hiv humu yupo ata mmoja
IMG-20170430-WA0010.jpeg
IMG-20170430-WA0011.jpeg
 
Ni aibu kwake biblia imesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe,

lakini pia mtume paulo kashauri ingekuwa bora kama ingewezekana kuishi bila koa au kuolewa Bali kumutumikia Mungu.

Sasa kama ndoa imesumbua kwa nini asingeamua kukaa peke yake na kumutumika Mungu?
Sasa jiulize kwanini Huyo Mchungaji akakubali kufungisha hiyo ndoa, kama si Ungumbaru?

Makanisa ya kilokole yasiyokuwa na codes of Conducts, Rules & Regulations, Acts za muda mrefu za Ndoa, Ubatizo, Kipaimara na Sakramenti zingine ambazo hazifanyiwi ammendment kwa maamuzi ya mtu mmoja ni tatizo.

Sasa Mchungaji anakurupuuka na kufanya maamuzi mwenyewe kinyume na Biblia inavyotaka kisa tu kaahidiwa laki 5 na Madam flora. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Njaa mbaya sana.
 
Piga ngozi dogo mpaka iwe nyekundu tena simamia kucha kabsaa kula ugali maharage jion na maji Lita moja kula mzigo mpaka aseme pooo akimbie mwenyewe halafu unaleta vile visichana vyako unakula maisha na upepo Safi
 
Back
Top Bottom