bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,169
Mang'aa ndo ninHuyo chalii ajiandae kuswekewa mke.
Huyo Flora ni manga'aa!
Duuu...mkuu punguza ukali wa manenoMbona Flora amekuwa mbaya hivyo?
Mungu anisamehe ila amekuwa kama Maiti usoni.
heeh kumbe kanisa la gwajay halipo rocky cityKwani Gwajima kanisa lake liko Mwanza? Ebu watuambie amefungia kwenye kanisa gani.
Harua haina makombo!Huyu mtot wa kiume hana kinyaa!
Dogo kazaliwa 93 flora 84Flora kamzidi miaka mingap huyo dogo
Wewe acha kumdanganya na kuudanganya umma. Hiki ni kituko. Ni kinyume na dini yake. Kitendo hiki kipashwa kukemewa kwa ukali sana. Kwa ufupi FLORA kwa sasa ana wanaume wawili na hii inaitwa UKAHABA.Kila LA kheri Flora. Maisha ni yako ma maisha ni wewe. Huwezi kuishi maisha ya wengine maana utakuwa mtumwa wa wengine hadi kufa. Umefanya uamuzi sahihi, songa mbele na endelea kumtukuza Mungu maana kila jambo lina maana yake. Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu.
Usiruhusu mtu yeyote awaye kuhoji juu ya maisha yako. It's you and only you.
Biblia imetoa kifungu gani cha utaratibu wa kufungisha ndoa?.Hebu ntajie kifungu.Sasa jiulize kwanini Huyo Mchungaji akakubali kufungisha hiyo ndoa, kama si Ungumbaru?
Makanisa ya kilokole yasiyokuwa na codes of Conducts, Rules & Regulations, Acts za muda mrefu za Ndoa, Ubatizo, Kipaimara na Sakramenti zingine ambazo hazifanyiwi ammendment kwa maamuzi ya mtu mmoja ni tatizo.
Sasa Mchungaji anakurupuuka na kufanya maamuzi mwenyewe kinyume na Biblia inavyotaka kisa tu kaahidiwa laki 5 na Madam flora. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Njaa mbaya sana.
Duuu!!! Dogo nae ana moyo kweliDogo kazaliwa 93 flora 84
Naingia wasiwasi na wanao muimbia mungu.jinsia ke.Aaaaah wokovu ni kazi tukio hili la Flora kuolewa mara ya pili huwa linanifanya niwaze sana msiniulize kwann ni story ndefu...
Walokole wengi mambo yao ni ya chini chiniNaingia wasiwasi na wanao muimbia mungu.jinsia ke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona bwana harusi kama katekwa? Na ajiandae, Ikiisha honeymoon madam anaanza matamasha na mzee wa kuamsha dude
Duuui,hivi flora ana mkwanja eeDogo miaka 26 na flora miaka 38
umetudanganya liveKutumia ubini wa mume kumeshapitwa na wakati,hayo waliyaweza mama zetu ambao walikuwa wakiolewa ndo basi tena,hata afiwe na mumewe anabaki kulea wanae tu hawazi kuolewa tena.
Sasa ndo nini jana Flora Mbasha leo Flora Kusweka,waache hizi mambo,watumie majina ya baba zao tu