bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,169
Huyu dada muuji ana roho ngumu kugawa kama pipi..wakristo hatunaga ndoa 2 hii ni fake.
Na huyu boy kafuata mpunga au kafanywa zoba kwa kulishwa limbwata anaenda kuoa kikongwe mwenye watoto wakati chura wa kumwaga hadi maji ya chumvi wengine wanakosa maji.
Boy haoni kinyaa kwa kuoa scraper??
Na huyu boy kafuata mpunga au kafanywa zoba kwa kulishwa limbwata anaenda kuoa kikongwe mwenye watoto wakati chura wa kumwaga hadi maji ya chumvi wengine wanakosa maji.
Boy haoni kinyaa kwa kuoa scraper??