Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Kwa sheria ya ndoa ya Tanzania, mali za wanandoa zipo katika makundi mawili
1. Mali zilizopatikana kabla ya ndoa (hizi huwa hazigawanywi ndoa ikivunjika)
2. Mali zilizopatikana wakati wa ndoa (hizi hugawanjwa iwapo ndoa itavunjika)

N.B
1. Mali zilizopatikana kabla ya ndoa zinaweza kugawanywa iwapo ziliendelezwa wakati wa ndoa na magawanyo utatokana na kiasi cha uchangiaji mf mmoja wa wanandoa alikuwa na nyumba kabla ya ndoa ila baada ya ndoa nyumba ikafanyiwa marekebisho ama kwenye kiwanja husika wakaongeza nyumba nyingine. Hapo mgawanyo ni lazima.

2. Mali zilizopatikana wakati wa ndoa zinagawanywa kutokana na mchango wa kila mmoja iwapo ushahidi utakuwa wazi. Ushahidi wa wazi usipopatikana ndio inaingia hiyo 50%-50%
 
Wanaume mkishamzalisha mtu tena mtoto zaidi ya 1 huwa mna vitabia vyenu ambavyo mnaviendekeza mkijua wanawake hawana pa kwenda.
💩💩💩 sasa singo maza wewe utaenda wapi tumbo limejaa visu vya leba, kinena kimekomaa kwa kunyoa 💩 utaenda wapi kwapa nyeusi kwasababu ya kuficha chenchi za kununulia vitu sokoni 💩 unataka tu kujifariji useless...
 
💩💩💩 sasa singo maza wewe utaenda wapi tumbo limejaa visu vya leba, kinena kimekomaa kwa kunyoa 💩 utaenda wapi kwapa nyeusi kwasababu ya kuficha chenchi za kununulia vitu sokoni 💩 unataka tu kujifariji useless...
Khaaa! Watu mna maneno🤣🙌
 
Marriage is not a scam madam, mnakutana wawili msiokamilika na kuunda kitu kisicho kamili don't expect a perfect marriage wakati mnakutana wasio wakamilifu.

Ndoa ni nzuri, tena maisha bila ndoa ni magumu yenye sonona kubwa, hasa ukishafika umri fulani wa kuhitaji mtu wa karibu. Marriage is sweet my dear, usiidharau kwa visa vichache vya wadau.
I was there sweetheart let me say again I was there don't tell me about the sweetness of the marrage SCAM
 
Nilichogundua wewe ni mwanaume.
Mimi binafsi sipendi mambo ya kesi na kuvutana.
Ukinizingua nakuachia kila kitu napita hivi.
Amani ni bora kuliko mali na mapenzi fake
Mimi ni mwanamke na nilifanya hiki hiki alichofanya huyu.
Yani kama alikuwa anasimulia session ya talaka ilivyoenda kwangu.
Kila neno kila nukta!
Mali tunapata na kupoteza kila siku.
wacha iende
 
Uncle wangu aligawana mali na wife wake baada ya takaka, Wife akachukua nyumba na gari Escudo.

Kwa kuwa hiyo nyumba wife aliyopewa ilikuwa kwenye fence moja na nyumba nyingine aliyobaki nayo mume, wife akamuuzia mume ile nyumba ya mgao wake.

Wife akaenda kuishi na hawara wake ambaye mume aliwafumania kwenye banda la kuku.

Baada ya mwaka tuu wife kamaliza ile pesa ya kuuza nyumba, akauza ile gari, baada ya pesa kuisha hawara akamfukuza, sasa hivi wife anauza mitumba mnadani kachoka hatare. Mume yeye alioa mke mwingine na wamezaa watoto 2.
ephen_ usikariri, sio kila mwanaume ni mchepukaji
 
Hakukua na mkopo wowote, ila kipindi cha mwanzo nilikua na hasira sana, nikataka ku forge document ionekane nyumba ilichukuliwa mkopo, ila nikakaa na muona nitakua namdhurumu, acha tu nikubali mimi kupoteza
Mtalaka wangu amhakamani alileta hati ya shamba aliyonunua na mamake, akasema nyumba ni ya familia.
ilhali nilijenga ile nyumba kwa 80%
Hakuamini ambavyo niliridhia kuwa hatukuwa na mali yoyote zote ni za familia alikozaliwa.

Unaanza tu moja, mradi una uhai, afya, amani na matumaini kuwa kila kitu ni mipango ya Mungu and you did your best kufanya hiyo siku isifikie.
Mi nilijuliza maswali nikapata majibu kuwa kuliko kuendelea kuburuzana na habari za changu chake changu.
MI NILIACHA KILA KITU nikaondoka na moyo wangu.
Sijawahi kujutia ule uamuzi

SO USIOGOPE, u will be fine.
TULIZA KICHWA, USIPAMBANE NAE! USIJIELEZE SANA! USITAKE WATU WAKUONE HUNA MAKOSA, ANAYEONA UNA MAKOSA FRESH TU!
Focus kwenye mambo yako binafsi, taafrifa nyingine ATAWAPA YEYE!
 
Mimi ni mwanamke na nilifanya hiki hiki alichofanya huyu.
Yani kama alikuwa anasimulia session ya talaka ilivyoenda kwangu.
Kila neno kila nukta!
Mali tunapata na kupoteza kila siku.
wacha iende
Ooh pole sana, inauma mahusiano ya muda mrefu kufa kwa namna mbaya kiasi hiki
 
Back
Top Bottom