Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Huwa wanatishia kuona upepo ,ukiwa stable wanashangaa sana!Kuna mmoja aliitisha kikao Cha ghafula mbele ya watoto na house girl eti "nakutakia maisha mema baba ..."!!?

Jamaa akasema "kuachana hakuwezi sababisha tetemeko watu wakafa ghafula,halafu sio ishu tumekutana ukubwani sio lazima tuzeeke pamoja,"Mama akanuna na kuhama chumba mwenyewe na jamaa akanyuti Hadi mama aliporudi mwenyewe!
Ahahah
 
Ooh pole sana, inauma mahusiano ya muda mrefu kufa kwa namna mbaya kiasi hiki
Of course sio kitu rahisi, na wala tukisema kuwa amefanya jambo la kishujaa maana yake haumii au haiumi, Sio kweli.
Ilikuwa ni maisha uliyotamani kupata uzee nayo pamoja ila kila siku senema, Hapana!
HATA UZEE WENYEWE HUTAFIKA , aiseeh!

Mimi huwa nina falsafa ngumu sana pengine, kuliko niendelee kuwepo kwenye situation inaniumiza kwa kuwa naipenda, bora niiistop yale maumivu ninayoumia yawe yanaenda yakifade kuliko kubaki kwenye same situation na maumivu ni yale yale na hayatastop.
Ndoa za wakristu ni mpk kifo.
iwapo nitabarikiwa miaka 70 ya kwenye biblia, basi ndo kwanza kuna mingine kama 28 hivi inanisubiri.
So nikae nasubiri kuteseka next last 28 yrs , Hapana aisee!
ACHA TU IVUNJIKE NIANZE MOJA NA ARIFU!
 
Marriage is not a scam madam, mnakutana wawili msiokamilika na kuunda kitu kisicho kamili don't expect a perfect marriage wakati mnakutana wasio wakamilifu.

Ndoa ni nzuri, tena maisha bila ndoa ni magumu yenye sonona kubwa, hasa ukishafika umri fulani wa kuhitaji mtu wa karibu. Marriage is sweet my dear, usiidharau kwa visa vichache vya wadau.
Uchisema upo sahihi Kila mmoja na mda wake haitojalisha atapata mpiga debe ama muuza bar all in all mungu anatoa positive Kwa negative ili zmeki reaction
 
Of course sio kitu rahisi, na wala tukisema kuwa amefanya jambo la kishujaa maana yake haumii au haiumi, Sio kweli.
Ilikuwa ni maisha uliyotamani kupata uzee nayo pamoja ila kila siku senema, Hapana!
HATA UZEE WENYEWE HUTAFIKA , aiseeh!

Mimi huwa nina falsafa ngumu sana pengine, kuliko niendelee kuwepo kwenye situation inaniumiza kwa kuwa naipenda, bora niiistop yale maumivu ninayoumia yawe yanaenda yakifade kuliko kubaki kwenye same situation na maumivu ni yale yale na hayatastop.
Ndoa za wakristu ni mpk kifo.
iwapo nitabarikiwa miaka 70 ya kwenye biblia, basi ndo kwanza kuna mingine kama 28 hivi inanisubiri.
So nikae nasubiri kuteseka next last 28 yrs , Hapana aisee!
ACHA TU IVUNJIKE NIANZE MOJA NA ARIFU!
Amani ni bora sana
 
Hapo naomba unifafanulie kidogo mkuu, maana tumesha saini hukumu, japo baada ya 45 days itakaziwa rasmi. Je una maanisha kuna uwezekano mdai akakata rufaa kupinga matakwa yake mwenyewe? Kwamba alitaka taraka na sasa hataki??
Anaweza kuamua kuahirisha. Kwani unafikiri hizo siku zote zimewekwa kwa ajili ya nini?

Ndani ya hizo siku 45 mnaweza kufanya reconciliation na kutangua torati.

Mke wa rafiki yangu aliomba talaka. Wakiwa katika process za mwisho mke huyohuyo akaamua kuahirisha baada ya kupata ushauri toka jamaa na marafikii. ...
 
Point ya mwisho ni ya muhimu sana . Kila mwanaume anayeanzisha familia lazima kuweka akilini kuwa na mji wa kwako binafsi.

Kiuhalisia Mwanaume ukizaliwa tu ni mwendo wa madeni mpaka unakufa unaacha madeni. Jambo la muhimu tujijali na sisi wenyewe. Hakuna atakayetupigania kwenye ulimwengu huu.

Swali ni, upande wa dini unataka warekebishe sheria zipi maana vitu vingi viko wazi ni uelewa wa sheria zenyewe
Moja kati ya uzi wenye mengi ya kujifunza , tunakushukuru sana mleta mada kwa kutushirikisha.

Kwanza kabisa ni neno la faraja kwako , pole.
Pili neno la pongezi kwako, hongera sana.

Ukisoma maoni ya wengi kwenye uzi huu toka maoni ya kwanza hadi sasa lawama nyingi zinaelekezwa kwa mwanamke na kuonyesha ile maana ya maisha ya pamoja kati ya mwanamke na mwanaume haipo tena.

Ukweli hio maana au ule umuhimi haupo tena na si kwa sababu ya mwanamke pekee hadi sisi wanaume.

Binafsi naamini nature imemfanya mwanaume kuwa kama kiongozi kwenye familia au mahusiano tunayoweza kuyaita ndoa.

Inapotokea hayo mahusiano yanakuwa isivyo kawaida yule aliye kiongozi kuna sehemu ameshindwa kusimama katika nafasi yake.

Si zungumzii mume tu bali hata baba .
Kuna namna imefanywa mwanamke hakupaswa kutoka mikono mwa mwanaume kwa karibu kipindi chake chote, ata toka kwa baba atakuwa kwsa mume.

Sasa mwanamke anapo kosea sambamba na kumlaumu lakini tujiulize nasi kama waanaaume tumeweza kusimama katika nafasi yetu.



Maoni ya wengi kwenye uzi huu yamekubaliana na kauli iliyopo sasa ya kukataa ndoa, wengi walio toa maoni haikosi robo walio kwenye ndoa,

Na kama kuna yoyote aliye kwenye familia ama ndoa ambaye yupo na watoto, nadhani wanafahamu fika mtoto atakavyo kuwa mwaathika wa kwanza endapo kutakuwa na mgogoro .

Kuwa hio inapofika wakati wa mgogoro kama sababu hazikidhi haja heri kuvumilia kwa ajili ya nusura ya watoto...


Nadhani pia kuwepo na namna sauti ya mwanaume ipaaazwe serikali na watunga sera na watu wa dini waone namna ya kubadilisaha hizo sheria zinazo husu mambo ya ndoa na mahusiano.

Maisha ya mwanaume ni magumu sana , tokea siku ile anaitwa mwanaume ni mtu asie hitajika na dunia, anaye kandamizwa kwa kila namna na ambaye hatakiwi kuonewa huruma hadi siku ile atakapo rudi kwenye ardhi.

Embu watusaidie hao watu maana dunia imetuelemea mno, embu wafanye tu inavyo wezekana mwanaume nae asikilizwe.


Pia wanaume wenzangu kwenye kuijenga familia na ustawi wake , tufikirie kuwa na mji wa pili usiohusiana kabisa na familia,hii inaweza kusaidi inapotokea hali kama hii, au huko uzeeni watoto na mama yao watakavyo kosa umuhimu wako uwe na sehemu ya kwenda kuvutia faraja.
 
Sasa kama yeye ndio kafungua kesi, kadai madai yake na mimi nimempa, shifa iko wapi?
Kama kakubali hukumu na tumesaini kisha akakata rufaa juu ya maamuzi ambayo kimsingi yeye ndio kashinda, huoni hapo yeye ndio anajisumbua? Maana chochote kile mimi nitampa hata akitaka 100% ya mgao wa mali, nitampa tu.
So jiandae kupoteza. Kwa upande wa watoto pia jiandae nako jipange.
Akitaka asisumbuane nae , amwachie kila kitu!
Kwani nini bana, mali ni nini over the inner peace.
AKAANZE UPYA! af rahisi kuliko maelezo, mwaka wa 3 tuu na sijawahi kujuta na sitajuta.

Kuhusu watoto wala asigombee mtoto, amwache huyo mama aamue, yani hakuna kitu kizuri kama kujifanya umeshindwa ! WEWE UNAJUA ULICHOSHINDA.

AMPE USHINDI anaotaka!
akikubaliana na hii hali atakuwa angalau safe side
 
So jiandae kupoteza. Kwa upande wa watoto pia jiandae nako jipange.

akikubaliana na hii hali atakuwa angalau safe side
Watoto hawezi kupoteza yeye ndiye baba.
ATULIE TU KWA MUDA KILA KITU KITAKAA SAWA. Unajua baada ya talaka kila mtu anataka kuwa mwamba, sasa mwenye nguvu mpishe.
Unajikalie pembeni, kimya, huna maelezo, huna beef na mtu, hudai kitu, hutaki kitu!
Weeeeee , vinageukaga vibayaaa!
 
Pole sana kaka, kila nifikili kuhusu swala la watoto huwa nakosa nguvu, sijui kwanini ila itakuwa ngumu kuishi mbali na watoto wangu. Ndoa za sasa Mungu aturehemu tu. Binafsi nitaoa tu kikombe hiki hakiwezi kuniepuka.
 
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.

Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.

Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.

Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Umekuja mtetezi
 
Watoto hawezi kupoteza yeye ndiye baba.
ATULIE TU KWA MUDA KILA KITU KITAKAA SAWA. Unajua baada ya talaka kila mtu anataka kuwa mwamba, sasa mwenye nguvu mpishe.
Unajikalie pembeni, kimya, huna maelezo, huna beef na mtu, hudai kitu, hutaki kitu!
Weeeeee , vinageukaga vibayaaa!
Unaongea kwa uzoefu snowhite 😂
 
Watoto hawezi kupoteza yeye ndiye baba.
ATULIE TU KWA MUDA KILA KITU KITAKAA SAWA. Unajua baada ya talaka kila mtu anataka kuwa mwamba, sasa mwenye nguvu mpishe.
Unajikalie pembeni, kimya, huna maelezo, huna beef na mtu, hudai kitu, hutaki kitu!
Weeeeee , vinageukaga vibayaaa!
Watoto kweli hawezi kupoteza physically, ila emotionally. Ajitahidi pindi akutnapo nao awachie kitu cha kukumbukwa (sio lazima tangible things
 
Unaongea kwa uzoefu snowhite 😂
ah kabisa.
Hii thread leo nina uzoefu wa binafsi kabisa.
nimepita hapo mwaka juzi, so najua hii.
Ni kipindi kinavuruga sana, inampasa utulivu wa hali ya juu!
Talaka haina mwamba bana, unakaa chini unanyoosha miguu unakunywa maji zako lita tano tano kwa mfululizo mana kuna likitu unalisikia linaunguza hapa kwenye koo!
Alooh!
EHEHEHEHHEHEE watu waache kuchezea maisha ya wengine kwa starehe zao aiseee!
Na ukiona mtu yuko radhi apoteze kila kitu wewe upate na ilhali unajua kabisa mkosaji na anayesababisha hiyo ndoa ivunjike ni nani, hata kwa watu ukijikosha na kujisafisha Huwa vinalipwa kwa kiasi kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom