Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Ukiwmua kufànya umalàya wewe fanya, usitafute sàbabu eti mbona wànaume wànafanya.
Ni maamuzi yako usitafute uhalali wa kuws malaya kisà mwanaume nae ni malaya.
Ila aangalie asikamatwe aanze kusema mbona ye anafanyaga.Wanawake wakichepuka wanaelemewa na mtu wa nje hawawezagi kubalance.Shauri yake
 
sema hapo kwenye mgao wa mali baada ya pendekezo la 50/50% toka kwa hakimu na wife kuomba 60% ungemwambia hakimu nampa 70%

ajue kabisa hutaki mazoea hata siku za mbele asilete huruma
 

Pole sana sana ndugu yangu kwa ndoa yako kufikia hapo ilipofikia.Shetani amefanikiwa kufanya uharibifu mkubwa kwa taasis yenu.Tazama sana watoto wako wasije wakaathirika negarively kwenye maisha yao na jambo hili.Hao hawana hatia,endelea kuwafuatilia kuhakikisha wanapata matunzo sahihi
 
Hii dunia ukiwa mtu wa kushangaa utajikuta unapoteza muda mwingi sana maana kila siku wajinga wanazaliwa ona situation kama hii.

Vitu vya ajabu kabisa,in short hapa walikutana pipa na mfuniko yaani wote akili hawana.
 
Aliyekiukwa haki, ndiye amekubali yaishe.
hamna kesi hapo,
 
Mimi ni mwanamke na nilifanya hiki hiki alichofanya huyu.
Yani kama alikuwa anasimulia session ya talaka ilivyoenda kwangu.
Kila neno kila nukta!
Mali tunapata na kupoteza kila siku.
wacha iende
Sema man wako alizingua, yan yeye ndio alikupeleka baraza la kata? Why? Kwann akalie lie huko ?yan mwanaume akakushtaki mwanamke??
 
Mkuu, ahsante sana. Mwanzoni nilivurugwa sana na hisia mchanganyiko. Hasira, huzuni, chuki, kuonewa. Nilikua nahsi kupasula kichwa bas kuna time niko ndani peke yangu na shout makelele kama chizi. Kwakwel kwa jinsi Mungu amenihurumia sijaemda milembe kipindi hiki, bas sijui tena.

Kama ulivyosema, nikawa nataman kujieleza kwa kila mtu anayetufahamu, kuonyesha namna gani yf hajanitendea haki. Kila mara nataman kuongea hisia za kuonyesha jinsi nimeonewa na huyu mama watoto tulietoka nae mbali, yeye wala hana habari ame relaaaaax.

Nikaona yote hayatanisaidia.
Nikaamua kukaa kimyaaa.

Hata janaa baada ya hukumu, sijampigia mshkaji wangu yeyote kumueleza chochote. Na mwishoni mwezi huu am planning nipotee kabisa isijulikane nilipo, nikaanze upya everything. Only circle ambayo niko nayo in biznes labda ndio tutakua in touch
 
Pole sana mkuu.
Hakika nafahamu haikuwa malengo yako ila kwakuwa mzigo mzito umeutua hilo ndo kubwa na ni jambo la kumshukuru Mungu yakuwa umelimaliza salama.

Nakumbuka niliwahi nunua mali yangu mwenyewe ili kupisha shetani kama aloathiri ndoa yako
 
Nimekuelewa, ila kwel 45 days why nying namna hii??
 
Sema man wako alizingua, yan yeye ndio alikupeleka baraza la kata? Why? Kwann akalie lie huko ?yan mwanaume akakushtaki mwanamke??
Dunia ina mambo wewe hii.
Tulitengana, sasa akaanza kuishi na mtu.
Akarudi kuwa turudiane , nikampa masharti aondoe aliyekuwa anaishi naye.
Akasema kamuondoa, only tu kujua alitaka iwe double life as mi nilishaanzisha mji mwingine.
Nikawaka, akaniwekea mkwara wa shauri la mahakama, akijua nitarudi nyuma as si unajua tena wanawake wengi wa kitanzania na ndoa!
Mi nikakanyagia wese, wakamshauri asiendelee nikafuatwa nishuke niombe msamaha ili asinitaliki, nikawambia nyie we banaa hii ngoma iende ikienda!
nikasubiriwa nishuke, nikaaawambia lets meet mahakamani
Akapeleka shauri mahakamani ni mashtaka ya kubambika, akijua nitaona aibu tuyasuluhishe.
Nikamwambia we twende tu unachotaka na mi ndo nataka!
Mashtaka yote nikayakari,(mind you ni uongo)
Madai yote anayotaka kuhusu mali, watoto na talaka nikayaridhia.
Akajua nitasanda ndani ya siku 45, zikaisha
siku ya hukumu nikaenda na nikapokea hukumu.
nikatoka zangu pale Temeke, nikapita kula nikatafuta sehemu nikaliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nkarudi nyumbani, nikaomba likizo!
Nkajiruhusu kuumia, nikalia mno ila sio kuwa najutia bali hasira ya kuonewa
Mwisho nikakubali , na maisha yanaendelea!

With no regrets,
af sio kitu sijui cha miaka 5, ilikuwa na miaka 16.
 
Nimekuelewa, ila kwel 45 days why nying namna hii??
relaaax! you need these 45 days ukiwa kwenye utulivu wa hali ya juu sana!
Wana akili kufanya hizi siku 45.
Hata akienda kutaka mchakato usitoshwe, KOMAA na msimamo!
Umia kivyako na wala asikupitishe kwenye guilty trip.
Hicho hicho anachotaka na wewe taka hicho hicho!
Utaena kuponea mbele, nimesoma kesi yako, yani yeye ndo mkosaji na kisha anakuletea mahakama!
ASEEE WE KANYAGIA WESE! hapo hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…