Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Pole sana aisee,kuna kitu kimenifumbua macho kwa sisi wenye ndoa, ila kwa sheria zetu naona kama wanawake wanapendelewa sana kama ni ivyo, nitamshauri mwanangu mkubwa wa kiume ambae ni barehe,azae tu nje kuoa aje kuoa baadae sana wakati kishajipata kimaisha, hawa viumbe ni hatari na wanadekezwa sana kumbe kwenye vyombo vya haki.


yaani mahakama inasajesti mgawanyo wa 50% kwa 50% wakati hata katika uislam haipo ivyo!!!?
Hajataka tu kuwa na mambo mengi na kuwa na mlolongo mrefu wa kesi.
 
Nakupongeza sana kwa ujasiri ndugu, kuna mambo hapa duniani sio ya kupambania kabisa, as long as wewe ndo ulitafuta mali, utapata nyingine.Wanawake sijui wana-ushetani gani tu - ubinafsi mwingi sana- yaani mtu unawatoto unang'ang'ania talaka - si ukichaa huu kabisa.
Hongera mwamba Mungu akutangulie katika maisha mapya.
 
Nilichojifunzs hizi Mahakama Kuna upungufu sana kwenye Sheria maana Mwanaume unapewa majukumu ya kusomesha watoto na bado Mali unapata mgawo mdogo. Ndoa ni kwa ajili ya kuwatajirisha wanawake na kuwarudisha nyuma kiuchumi wanaume. Sasa umejifunza naamini hutafanya Tena mistake hizo.
Kuna ndezi flani uzi uliopita lilisema sheria itampa asilimia 10 kisa watoto watabaki na mama alafu mwanamke achukue 90. Nililiuliza hao watoto kuna mali yoyote walichangia kuitafuta likabaki linamanga manga tu
 
Hajataka tu kuwa na mambo mengi na kuwa na mlolongo mrefu wa kesi.
Kesi ni jaka moyo mkuu,nilikuwa na kesi mahakama ya kisutu ilikaa miaka minne hadi kwisha, ukitaka kusafiri nje ya mkoa hadi kibali sijui,ukiumwa uwe na cheti cha hospital ya serikali kuthibitisha ukwenda mahakamani sababu ya ugonjwa,nk nk,

bora jamaa amehamua tu liishe kwa haraka awe huru.
 
Hongera kwa kutua mzigo na pia pole!!! Naelewa Kuna hali flani moyoni maana kuivunja ndoa na kuwa mbali na familia sio jambo dogo.,...
Muhimu usirudi nyuma tena,,,, baada ya muda mfupi huyo mwanamke atarudi na silaha yake ya watoto anaujua udhaifu wako ni hapo. maana wewe unaonekana ni wale wanaume flani hivi very humble yaani halafu mstaarabu sana..... Siku za mbeleni usije ukaingia kwenye mitego yake ..
Usijikute una haraka ya kuingia kwenye mahusiano ya kudumu maana unaweza jikuta unaoga mapema sana hiyo itakuharibia kila kitu!!!! Kwa sasa piga hit n' run.
Nikutakie mwanzo mpya wa maisha yenye mafanikio,,, kumbuka furaha ni yako sasa furahia chochote ulichonacho.
Byeee.
Huu uzi wanawake mmechangia wachache sana, aishi ushauri wako.
 
Hongera kwa kutua mzigo na pia pole!!! Naelewa Kuna hali flani moyoni maana kuivunja ndoa na kuwa mbali na familia sio jambo dogo.,...
Muhimu usirudi nyuma tena,,,, baada ya muda mfupi huyo mwanamke atarudi na silaha yake ya watoto anaujua udhaifu wako ni hapo. maana wewe unaonekana ni wale wanaume flani hivi very humble yaani halafu mstaarabu sana..... Siku za mbeleni usije ukaingia kwenye mitego yake ..
Usijikute una haraka ya kuingia kwenye mahusiano ya kudumu maana unaweza jikuta unaoga mapema sana hiyo itakuharibia kila kitu!!!! Kwa sasa piga hit n' run.
Nikutakie mwanzo mpya wa maisha yenye mafanikio,,, kumbuka furaha ni yako sasa furahia chochote ulichonacho.
Byeee.
Ahsante sana mkuu, nashkuru
 
Mjomba angu alikimbiwa na mke aliyezaa nae watoto watatu, mke akadai talaka kisa kupigwa kwa kutoa mimba ya mwanaume mwingine.

Mpaka mwaka jana mjomba angu alikua anatuma watu kwa mkewe kuomba msamaha warudiane ila mke akakataa wakati makosa ni yake.

Sasa hivi ana mimba na mwanaume kamkataa kumbe ni mume wa mtu.

Mjomba angu amepata mwanamke mwingine wanatarajia kufunga ndoa mwezi wa 6 mwaka huu.
 
Pole sana aisee,kuna kitu kimenifumbua macho kwa sisi wenye ndoa, ila kwa sheria zetu naona kama wanawake wanapendelewa sana kama ni ivyo, nitamshauri mwanangu mkubwa wa kiume ambae ni barehe,azae tu nje kuoa aje kuoa baadae sana wakati kishajipata kimaisha, hawa viumbe ni hatari na wanadekezwa sana kumbe kwenye vyombo vya haki.


yaani mahakama inasajesti mgawanyo wa 50% kwa 50% wakati hata katika uislam haipo ivyo!!!?
Na kuna mazingira huwa inakua mpaka 70% 30% mkuu..inategemeana na mazingira vinginevyo mnatakiwa muanze ku establisha proof kwann upewe au usipewe % unayotaka endapo hujaridhika
 
Jamaa Yangu Mmoja na yeye yalimkuta haya, same scenario, Unaambiwa Mwanamke alilia balaaa hakuamini ndio ndoa imevunjika. Jamaa anasema baada ya hapo akampa lift kumrudisha kwao, kufika maeneo ya External Jamaa gari yake ikagongwa but walikua safe.

Hadi Leo unaambiwa mwanamke analalamika kuwa hajui SABABU gani ilimpelekea kumshurutisha Jamaa Hadi ndoa ikavunjika. Jamaa ameoa na ana watoto na maisha yakaendelea.
Daah..sijui kwann huwa wanakua wepesi kushauriwa namna hii.
Ila anyway, huyu mwenzangu natumaini yeye alishajipanga
 
Safi sana. Pia ungechukua ushauri wa jamaa yako yule ingependeza.
Mimi pia yalikuta halafu ndugu wa mke wanamsapoti kishenzi.
Mara ya kwanza akaenda nikarudisha. Mara ya pili ameenda nimepiga kimya.
Mjinga amebeba na watoto wote 4. Sema sababu watoto ni wakubwa najikuna ada TU mengine atajua mwenyewe.
Nilikunywa pombe nusu nife alivyoondoka mara ya pili, nikaanguka nikapasua uchogo halafu Niko mwenyewe. Uzuri niliangukia kibarazani ila sababu ya mtungi sikujua niliangukaje. Ile siku ya sensa ile 2022.
Ninaishi na wapangaji pia so mdada mmoja akanispoti ndio kupiga kelele maana nilizima zaidi ya lisaa na madamu yamejaa kama ng'ombe amechinjwa.
Nimepelekwa KCMC bado nimezima, majirani ndugu wote walijua ndio natangulia hivyo. Kuingizwa kwnye MRI scanner pale fuvu halijapasuka.
Vipimo vingine, spine na kila kitu fresh.
Pigwa nyuzi nne pale sijui 5 sikumbuki.
Sasa hivi toka 2022 am free as a Wandering Jew .
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Halafu wakizeeka Sasa from 60 kuendelea wengi sana wanajutia maamuzi waliyoyafanya from 28 hapo kundelea. Unavunjaje ndoa kwa maneno ya majirani😂🤣🤣😂🤣🤣🙌🙌
View attachment 3234799
Daaahhh pole sana mkuu. Pole sanaa
 
Back
Top Bottom