Hajataka tu kuwa na mambo mengi na kuwa na mlolongo mrefu wa kesi.Pole sana aisee,kuna kitu kimenifumbua macho kwa sisi wenye ndoa, ila kwa sheria zetu naona kama wanawake wanapendelewa sana kama ni ivyo, nitamshauri mwanangu mkubwa wa kiume ambae ni barehe,azae tu nje kuoa aje kuoa baadae sana wakati kishajipata kimaisha, hawa viumbe ni hatari na wanadekezwa sana kumbe kwenye vyombo vya haki.
yaani mahakama inasajesti mgawanyo wa 50% kwa 50% wakati hata katika uislam haipo ivyo!!!?
Kubishana kunapoteza mudaUngebisha bisha kidogo kuonesha unaumia 😅😅
😂 ningenoa panga mbele yaoMuda mfupi ujao, jiandae Ndugu zake na viongozi wa Dini kuanza kukubembeleza.
Kuna ndezi flani uzi uliopita lilisema sheria itampa asilimia 10 kisa watoto watabaki na mama alafu mwanamke achukue 90. Nililiuliza hao watoto kuna mali yoyote walichangia kuitafuta likabaki linamanga manga tuNilichojifunzs hizi Mahakama Kuna upungufu sana kwenye Sheria maana Mwanaume unapewa majukumu ya kusomesha watoto na bado Mali unapata mgawo mdogo. Ndoa ni kwa ajili ya kuwatajirisha wanawake na kuwarudisha nyuma kiuchumi wanaume. Sasa umejifunza naamini hutafanya Tena mistake hizo.
Kesi ni jaka moyo mkuu,nilikuwa na kesi mahakama ya kisutu ilikaa miaka minne hadi kwisha, ukitaka kusafiri nje ya mkoa hadi kibali sijui,ukiumwa uwe na cheti cha hospital ya serikali kuthibitisha ukwenda mahakamani sababu ya ugonjwa,nk nk,Hajataka tu kuwa na mambo mengi na kuwa na mlolongo mrefu wa kesi.
huwa wanapima kina cha maji kwa kidole wakidhani kwamba hatuwezi kuishi bila waoNimekumbuka kuna kamoja kalianza kunijaribu jaribu.
Ety kama umenichoka niache. Nikasema haya.
Akaanza kutoa kamasi
Huu uzi wanawake mmechangia wachache sana, aishi ushauri wako.Hongera kwa kutua mzigo na pia pole!!! Naelewa Kuna hali flani moyoni maana kuivunja ndoa na kuwa mbali na familia sio jambo dogo.,...
Muhimu usirudi nyuma tena,,,, baada ya muda mfupi huyo mwanamke atarudi na silaha yake ya watoto anaujua udhaifu wako ni hapo. maana wewe unaonekana ni wale wanaume flani hivi very humble yaani halafu mstaarabu sana..... Siku za mbeleni usije ukaingia kwenye mitego yake ..
Usijikute una haraka ya kuingia kwenye mahusiano ya kudumu maana unaweza jikuta unaoga mapema sana hiyo itakuharibia kila kitu!!!! Kwa sasa piga hit n' run.
Nikutakie mwanzo mpya wa maisha yenye mafanikio,,, kumbuka furaha ni yako sasa furahia chochote ulichonacho.
Byeee.
Ungeweka hapa tukajifunza hicho alichochelewa kufanyaPole sana, kuna kitu ulichelewa kufanya ulipoanza kuona chengachenga; lakini kwa sababu mmeachana wote mkiwa wazima, jipe moyo kwa kusema mali zinatafutwa.
Dsm pekee ni ndoa 300 zinavunjika kwa mweziADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani
Ahsante sana mkuu, nashkuruHongera kwa kutua mzigo na pia pole!!! Naelewa Kuna hali flani moyoni maana kuivunja ndoa na kuwa mbali na familia sio jambo dogo.,...
Muhimu usirudi nyuma tena,,,, baada ya muda mfupi huyo mwanamke atarudi na silaha yake ya watoto anaujua udhaifu wako ni hapo. maana wewe unaonekana ni wale wanaume flani hivi very humble yaani halafu mstaarabu sana..... Siku za mbeleni usije ukaingia kwenye mitego yake ..
Usijikute una haraka ya kuingia kwenye mahusiano ya kudumu maana unaweza jikuta unaoga mapema sana hiyo itakuharibia kila kitu!!!! Kwa sasa piga hit n' run.
Nikutakie mwanzo mpya wa maisha yenye mafanikio,,, kumbuka furaha ni yako sasa furahia chochote ulichonacho.
Byeee.
Na kuna mazingira huwa inakua mpaka 70% 30% mkuu..inategemeana na mazingira vinginevyo mnatakiwa muanze ku establisha proof kwann upewe au usipewe % unayotaka endapo hujaridhikaPole sana aisee,kuna kitu kimenifumbua macho kwa sisi wenye ndoa, ila kwa sheria zetu naona kama wanawake wanapendelewa sana kama ni ivyo, nitamshauri mwanangu mkubwa wa kiume ambae ni barehe,azae tu nje kuoa aje kuoa baadae sana wakati kishajipata kimaisha, hawa viumbe ni hatari na wanadekezwa sana kumbe kwenye vyombo vya haki.
yaani mahakama inasajesti mgawanyo wa 50% kwa 50% wakati hata katika uislam haipo ivyo!!!?
Daah..sijui kwann huwa wanakua wepesi kushauriwa namna hii.Jamaa Yangu Mmoja na yeye yalimkuta haya, same scenario, Unaambiwa Mwanamke alilia balaaa hakuamini ndio ndoa imevunjika. Jamaa anasema baada ya hapo akampa lift kumrudisha kwao, kufika maeneo ya External Jamaa gari yake ikagongwa but walikua safe.
Hadi Leo unaambiwa mwanamke analalamika kuwa hajui SABABU gani ilimpelekea kumshurutisha Jamaa Hadi ndoa ikavunjika. Jamaa ameoa na ana watoto na maisha yakaendelea.
Na Hilo ndilo lililomuuma sana mkeo amegundua kwamba humpendi kama kinyesi.Nafikiri alijua nitakuja na zile hoja za "bado nampenda mke wangu, siko tayari kutoa talaka".
Daaahhh pole sana mkuu. Pole sanaaSafi sana. Pia ungechukua ushauri wa jamaa yako yule ingependeza.
Mimi pia yalikuta halafu ndugu wa mke wanamsapoti kishenzi.
Mara ya kwanza akaenda nikarudisha. Mara ya pili ameenda nimepiga kimya.
Mjinga amebeba na watoto wote 4. Sema sababu watoto ni wakubwa najikuna ada TU mengine atajua mwenyewe.
Nilikunywa pombe nusu nife alivyoondoka mara ya pili, nikaanguka nikapasua uchogo halafu Niko mwenyewe. Uzuri niliangukia kibarazani ila sababu ya mtungi sikujua niliangukaje. Ile siku ya sensa ile 2022.
Ninaishi na wapangaji pia so mdada mmoja akanispoti ndio kupiga kelele maana nilizima zaidi ya lisaa na madamu yamejaa kama ng'ombe amechinjwa.
Nimepelekwa KCMC bado nimezima, majirani ndugu wote walijua ndio natangulia hivyo. Kuingizwa kwnye MRI scanner pale fuvu halijapasuka.
Vipimo vingine, spine na kila kitu fresh.
Pigwa nyuzi nne pale sijui 5 sikumbuki.
Sasa hivi toka 2022 am free as a Wandering Jew .
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Halafu wakizeeka Sasa from 60 kuendelea wengi sana wanajutia maamuzi waliyoyafanya from 28 hapo kundelea. Unavunjaje ndoa kwa maneno ya majirani😂🤣🤣😂🤣🤣🙌🙌
View attachment 3234799