Hapo naomba unifafanulie kidogo mkuu, maana tumesha saini hukumu, japo baada ya 45 days itakaziwa rasmi. Je una maanisha kuna uwezekano mdai akakata rufaa kupinga matakwa yake mwenyewe? Kwamba alitaka taraka na sasa hataki??
NAKAZIA,WALE WALIKUWA NA LENGO LINGINE KABISA USIKUBALI MSAMAHA.KUNA JAMBO KUBWA WALILIPANGA WALITAKA KUKUFANYA KAMA HUNA NDUGU WALA WAZAZI WAKUTAWALE NA KUKUNYONYA.AU NI WACHAWI?
Moja kati ya uzi wenye mengi ya kujifunza , tunakushukuru sana mleta mada kwa kutushirikisha.
Kwanza kabisa ni neno la faraja kwako , pole.
Pili neno la pongezi kwako, hongera sana.
Ukisoma maoni ya wengi kwenye uzi huu toka maoni ya kwanza hadi sasa lawama nyingi zinaelekezwa kwa mwanamke na kuonyesha ile maana ya maisha ya pamoja kati ya mwanamke na mwanaume haipo tena.
Ukweli hio maana au ule umuhimi haupo tena na si kwa sababu ya mwanamke pekee hadi sisi wanaume.
Binafsi naamini nature imemfanya mwanaume kuwa kama kiongozi kwenye familia au mahusiano tunayoweza kuyaita ndoa.
Inapotokea hayo mahusiano yanakuwa isivyo kawaida yule aliye kiongozi kuna sehemu ameshindwa kusimama katika nafasi yake.
Si zungumzii mume tu bali hata baba .
Kuna namna imefanywa mwanamke hakupaswa kutoka mikono mwa mwanaume kwa karibu kipindi chake chote, ata toka kwa baba atakuwa kwsa mume.
Sasa mwanamke anapo kosea sambamba na kumlaumu lakini tujiulize nasi kama waanaaume tumeweza kusimama katika nafasi yetu.
Maoni ya wengi kwenye uzi huu yamekubaliana na kauli iliyopo sasa ya kukataa ndoa, wengi walio toa maoni haikosi robo walio kwenye ndoa,
Na kama kuna yoyote aliye kwenye familia ama ndoa ambaye yupo na watoto, nadhani wanafahamu fika mtoto atakavyo kuwa mwaathika wa kwanza endapo kutakuwa na mgogoro .
Kuwa hio inapofika wakati wa mgogoro kama sababu hazikidhi haja heri kuvumilia kwa ajili ya nusura ya watoto...
Nadhani pia kuwepo na namna sauti ya mwanaume ipaaazwe serikali na watunga sera na watu wa dini waone namna ya kubadilisaha hizo sheria zinazo husu mambo ya ndoa na mahusiano.
Maisha ya mwanaume ni magumu sana , tokea siku ile anaitwa mwanaume ni mtu asie hitajika na dunia, anaye kandamizwa kwa kila namna na ambaye hatakiwi kuonewa huruma hadi siku ile atakapo rudi kwenye ardhi.
Embu watusaidie hao watu maana dunia imetuelemea mno, embu wafanye tu inavyo wezekana mwanaume nae asikilizwe.
Pia wanaume wenzangu kwenye kuijenga familia na ustawi wake , tufikirie kuwa na mji wa pili usiohusiana kabisa na familia,hii inaweza kusaidi inapotokea hali kama hii, au huko uzeeni watoto na mama yao watakavyo kosa umuhimu wako uwe na sehemu ya kwenda kuvutia faraja.
Mkuu umedadavua kwa undani haswa,naona bora iibuke chuki kubwa baina ya wanawake na wanaume.Mimi nilikimbia nyumba kitambo sana na bado maisha ya wanangu yalivurugwa sana.Hata nilipotoa matumizi hayakwenda ipasavyo.KUTAKUWA NA CHUKI KUBWA SIKU ZA USONI.
Hongera kwa kutua mzigo na pia pole!!! Naelewa Kuna hali flani moyoni maana kuivunja ndoa na kuwa mbali na familia sio jambo dogo.,...
Muhimu usirudi nyuma tena,,,, baada ya muda mfupi huyo mwanamke atarudi na silaha yake ya watoto anaujua udhaifu wako ni hapo. maana wewe unaonekana ni wale wanaume flani hivi very humble yaani halafu mstaarabu sana..... Siku za mbeleni usije ukaingia kwenye mitego yake ..
Usijikute una haraka ya kuingia kwenye mahusiano ya kudumu maana unaweza jikuta unaoga mapema sana hiyo itakuharibia kila kitu!!!! Kwa sasa piga hit n' run.
Nikutakie mwanzo mpya wa maisha yenye mafanikio,,, kumbuka furaha ni yako sasa furahia chochote ulichonacho.
Byeee.
Ila kaka hongera kwa maamuz magumu, sema uwe nae mbali sana.. Ataanza kukuchokonoa.
1 sisi wanaume ni kama wajeda popote kambi. Ko endelea na upambanaji kama kawaida, uchumi utalevel up, kumbuka nyuma ulianza polepole kujitafta.
2 toa hyo shem kichwan ucjutie kwa lolote, mshukuru M-ngu. yaelekeze hayo maumivu alokupa kweny upambanaji hku ukimwomba M-ngu. utaona baraka zinavomiminika.
N.K yf wako hataacha kukufatilia kua makin MKUU, na mim ndo nilikua mme mwenza kwako, sahiv tu nampga teke la punda namwacha baada ya kumwona ni mjinga hana msimamo anafata maneno ya kuambiwa(JOKE)
Sasa hapo pamoja na kwamba yeye kadai talaka lakini nakuhakikishia hatalala usingizi, ile hali ya mawazo uliyokuwa nayo wewe ndio itamrudia yeye, hapo atakuwa anajiuliza huyu mbona kakubali fasta hivi talaka itakuwa ana mwanamke mwingine tayari. Hiyo pain itamla kweli kweli
Na sasa ataanza kuwa ana adabu kwako hata akikusemesha atakusemesha kwa heshima sababu ameona unaweza kuamua. Soon ataregret na kuanza kujipendekeza tena kwako but move on sasa hata akikupigia simu usipokee mwambie atume text tu ila kama kuna dharura ya watoto ndio upokee
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Uncle wangu aligawana mali na wife wake baada ya takaka, Wife akachukua nyumba na gari Escudo.
Kwa kuwa hiyo nyumba wife aliyopewa ilikuwa kwenye fence moja na nyumba nyingine aliyobaki nayo mume, wife akamuuzia mume ile nyumba ya mgao wake.
Wife akaenda kuishi na hawara wake ambaye mume aliwafumania kwenye banda la kuku.
Baada ya mwaka tuu wife kamaliza ile pesa ya kuuza nyumba, akauza ile gari, baada ya pesa kuisha hawara akamfukuza, sasa hivi wife anauza mitumba mnadani kachoka hatare. Mume yeye alioa mke mwingine na wamezaa watoto 2.
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Ukishakua na akili za utu uzima utakuja kuyaelewa haya, kwasasa wewe mdogo angu bado sanaaa, una safar ndefu mnoo kwenye maisha hasa ya mahusiano na zaidi ndoa. Be watchful na kimbia haraka uachane na hii mitazamo toxic ya kijinga ambayo naona ushaanza kuwa nayo. Nimekuonya kama kaka yako, zingatia
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Ukishakua na akili za utu uzima utakuja kuyaelewa haya, kwasasa wewe mdogo angu bado sanaaa, una safar ndefu mnoo kwenye maisha hasa ya mahusiano na zaidi ndoa. Be watchful na kimbia haraka uachane na hii mitazamo toxic ya kijinga ambayo naona ushaanza kuwa nayo. Nimekuonya kama kaka yako, zingatia
Hatuchangii sana kwasababu wanaume huwa ni chanzo cha wanawake kuteseka kwenye ndoa.
Mnachepuka sana halafu mnaomba misamaha tunawasamehe lakini vinyongo tunaweka moyoni tunaogopa kukimbia ndoa kwa sababu kadhaa.
Siku hizo sababu kadhaa tukizipatia ufumbuzi tunakimbia ndoani, mnabaki kutusema hamjaona kosa lenu huku mnasahau makosa ya zamani ambayo sisi huwa tunarundika moyoni.
Naamini Fanton Mahal kuna sehemu alizembea na wajanja wakatumia huo mwanya kuruka na mkewe.
Wanawake wenye miaka 23, 24 na 25 wanapenda kutumia sana hiyo kauli ya mke akikosea, mwanaume ndiye aliyezembea. Bila shaka na wewe upo humo humo. Ipo siku utatambua tu umuhimu wako kwenye kuilinda familia ila ukiendelea na hiyo mitazamo, familia itakushinda.
Wanawake wenye miaka 23, 24 na 25 wanapenda kutumia sana hiyo kauli ya mke akikosea, mwanaume ndiye aliyezembea. Bila shaka na wewe upo humo humo. Ipo siku utatambua tu umuhimu wako kwenye kuilinda familia ila ukiendelea na hiyo mitazamo, familia itakushinda.
mkuu ndo tatzo lenu wanawake kutunza visas mda mlefu.. hebu toka nje ya box hayo madhaif ya wanawake yanayo wafanya waharibu ndoa, uyaangalie na uende tofauti nao.
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana. Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya...
www.jamiiforums.com
"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.
Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.
Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"
Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto
Akauliza "unasemaje?"
Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"
Akauliza "umekubaliana na haya yote?"
Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"
Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.
Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.
Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.
Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.
1. Talaka.
Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.
2. Mgawanyo wa mali.
Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.
3. Matunzo ya watoto
Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.
4. Kuishi na watoto.
Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.
Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.
Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"
Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"
Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.
Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.
Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.
PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.
Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.
Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.
Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!
Ikaisha hivyo.
Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.
ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani
mkuu ndo tatzo lenu wanawake kutunza visas mda mlefu.. hebu toka nje ya box hayo madhaif ya wanawake yanayo wafanya waharibu ndoa, uyaangalie na uende tofauti nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.