Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Wakuu heshma kwenu.
Habari za jioni.

Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.

Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
  • nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
  • leo hii mahakamani, hakimu alikua mwanamke.
Hakika wanawake wametaradadi everywhere, tukiendelea kwa mwendo huu, wanaume twafaaa
😁😁😁😁😁.

Anyway,.

Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.

Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"

Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto

Akauliza "unasemaje?"

Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"

Akauliza "umekubaliana na haya yote?"

Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"

Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.

Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.

Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.

Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.

1. Talaka.

Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.

2. Mgawanyo wa mali.

Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.

3. Matunzo ya watoto

Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.

4. Kuishi na watoto.

Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.

Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.

Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"

Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"

Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.

Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.

Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.

PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.

Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.

Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.

Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!

Ikaisha hivyo.

Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.

ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani

SHUKRANI WAKUU.
Usiku mwema
Kwanza nikupe pole kwa yote. Pili kama ni mechi ndio kwanzaaaa imeanza. Sikutishi bali uhalisia utauona baada ya hizo siku 45. I wish ningejua tangu awali una moango wa talaka. Ninvekushauri vingine. Muziki upo kwenye mali na watoto.

Kiufupi mkeo wa zamani ndani ya siku hizo 45 anaenda kukusanya ushauri wa kila aina na vumbi litatimka upya. Mahakama bila kesi hakuna mishahara kwa mahakimu na watendaji wengine pamoja na mawakili, hivyo sio wa kucheka nao. Yani ni bora mngetengana na kila mmoja kuishi kivyake. Pengine ingefika siku mkapata ufunuo. Nakupa pole tena. Bado hujachomoka
 
Wakuu heshma kwenu.
Habari za jioni.

Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.

Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
  • nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
  • leo hii mahakamani, hakimu alikua mwanamke.
Hakika wanawake wametaradadi everywhere, tukiendelea kwa mwendo huu, wanaume twafaaa
😁😁😁😁😁.

Anyway,.

Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.

Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"

Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto

Akauliza "unasemaje?"

Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"

Akauliza "umekubaliana na haya yote?"

Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"

Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.

Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.

Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.

Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.

1. Talaka.

Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.

2. Mgawanyo wa mali.

Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.

3. Matunzo ya watoto

Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.

4. Kuishi na watoto.

Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.

Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.

Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"

Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"

Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.

Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.

Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.

PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.

Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.

Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.

Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!

Ikaisha hivyo.

Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.

ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani

SHUKRANI WAKUU.
Usiku mwema
I DID THE SAME. hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiivyo hivyo na iliisha chap kwa haraka! Mi sikutaka hata mali, sikutaka hata matunzo ya mtoto(mmoja ndo yuko under 18) . Nilisema tu naomba full custody, oh atanizuia kuona mwanangu, nikamwambia hakimu yeye ndiye Baba, anapohitaji kuona mwanae atoe taarifa asinivamie nyumbani kwangu, nilishahama kwenye nyumba tuliyokuwa tunaishi, nikamuona anafuta jasho, mara aaombe udhuru aende toilet, alifuta jasho, alitamani kuniongelesha , alitaka sijui kufanyaje. Mi nilinyooka na maamuzi na sijawahi jutia the process na hukumu iliyotoka.

Kuna watu wanaamini talaka ni kifo, aiseeeh sio kweli.
Mtu anakuhamishia msala wakati yeye ndo ana kila makosa anakutishia talaka, we bana ileteeee! Mambo yawe mafupi.
Kudos mkuu, karibu uraiani tupambane na hukumu za walimwengu za yule kaachika yule ni mtalaka yule kashindwa ndoa.

WE KOMAA NA UNACHOJUA KILICHOTOKEA NA AMANI YAKO YA NDANI!
 
mfano..
kati ya mke/mme wa mtu akionekana vyumba vya wagen/lodge hebu nipe jibu nani ataonekana malaya asilimia kubwa?
Unaona sasa! Unataka kusema mume wa mtu akiwa guest sio malaya ila mke wa mtu akiwa guest ndiye malaya.

Nyie endekezeni tabia zenu hizo ila msisahau wanawake wengi wa siku hizi ndoa haziwababaishi tena waliopo kwenye ndoa.
Labda wale ambao hawajawahi kuolewa ndio wanazitamani na wao wakiingia wanatafuta njia ya kusepa.
 
Hayo mambo ya mwanamke pekee ndie akae kuilinda familia siku hizi hayapo.
Wote tulinde familia mwanamke na mwanaume.

Ndio maana talaka ni nyingi siku hizi sbabu wanawake wengi hawapo tayari kuteseka kwa kigezo cha kulinda familia.

Wote tunawajibu wa kuilinda familia ila hoja ya kusema mke anasaliti sababu mwanaume kazembea mahali, hiyo sio sawa.
Ukianza kutambua madhaifu ya mwenzako na wewe uwe pale kama kufidia alipofeli, familia yako itakuwa salama.

Ila ukitumia kusaliti kama kufidia mme alipofeli, familia itakushinda. Sababu hata huko utakapoenda, mwanaume hatakuwa perfect, kwahiyo napo utasaliti pia. Circle ya usaliti itaendelea.
 
Wanaume mnateteana kuchepuka mnateteana mkiachwa mnateteana.
Hizi cases za cheating zipo nyingi sana. Hata wanawake huwa wanapitia magumu. Ishu ni kwamba jamaa huyu ametoa mustakabali mzima yaliyomkuta, ndio maana tunajadili yaliyomkuta na si hisia kwamba 'hata Wanaume wanacheat na wana vinyongo na kutosamehe'. Ishu sio kutetea, ni kuandika kulingana na aliyoeleza. Hata angekuwa ni mwanamke basi tegemea ungeona comments nyingi tu. Shida unaleta sana hisia za kutaka kuonekana kama anatetewa. Jadili ishu iliyopo jukwaani na sio hisia.
 
Kwanza nikupe pole kwa yote. Pili kama ni mechi ndio kwanzaaaa imeanza. Sikutishi bali uhalisia utauona baada ya hizo siku 45. I wish ningejua tangu awali una moango wa talaka. Ninvekushauri vingine. Muziki upo kwenye mali na watoto.

Kiufupi mkeo wa zamani ndani ya siku hizo 45 anaenda kukusanya ushauri wa kila aina na vumbi litatimka upya. Mahakama bila kesi hakuna mishahara kwa mahakimu na watendaji wengine pamoja na mawakili, hivyo sio wa kucheka nao. Yani ni bora mngetengana na kila mmoja kuishi kivyake. Pengine ingefika siku mkapata ufunuo. Nakupa pole tena. Bado hujachomoka
Akitaka asisumbuane nae , amwachie kila kitu!
Kwani nini bana, mali ni nini over the inner peace.
AKAANZE UPYA! af rahisi kuliko maelezo, mwaka wa 3 tuu na sijawahi kujuta na sitajuta.

Kuhusu watoto wala asigombee mtoto, amwache huyo mama aamue, yani hakuna kitu kizuri kama kujifanya umeshindwa ! WEWE UNAJUA ULICHOSHINDA.

AMPE USHINDI anaotaka!
 
Hizi cases za cheating zipo nyingi sana. Hata wanawake huwa wanapitia magumu. Ishu ni kwamba jamaa huyu ametoa mustakabali mzima yaliyomkuta, ndio maana tunajadili yaliyomkuta na si hisia kwamba 'hata Wanaume wanacheat na wana vinyongo na kutosamehe'. Ishu sio kutetea, ni kuandika kulingana na aliyoeleza. Hata angekuwa ni mwanamke basi tegemea ungeona comments nyingi tu. Shida unaleta sana hisia za kutaka kuonekana kama anatetewa. Jadili ishu iliyopo jukwaani na sio hisia.
Mkasa wa fanton mahali nimeusoma tokea mwanzo na nipo upande wake.

Hisia zangu zimekuja katika kumjibu eroni aliposema kwanini ishu kama hizi wanawake huchangii kidogo.
 
mimi ni Ke,
a divorcee mwaka wa 3 huu.
Mtalaka wangu aliniletea hizi hizi za kiwehu, aseeee nilimnyoosha!
Unajua watu hudhani maisha yanaishia kwenye kuoa/kuolewa.
Hapana , far as i love to be loved and to love, i love myself too.
Huwezi kufanya ujinga wote in the life, nikireact unanitishia SHAURI LA MAHAKAMA, ehehehhehee
Mpaka kesho sidhani ile scenario ataisahau.

Naulizwa na hakimu unataka talaka, namjibu yes
mimi aliniwekea kosa la cheating, ilhali yeye ndo anaishi na mwanamke (shauri la talaka lazima liwe na kosa)ahahahahaha nyau yule aliweka na kosa la namtishia uhai(nikamwambia hakimu na mkimuacha msimpe talaka anayotaka siku mtanihukumu kesi ya murder, nilichukia sana kiukweli)
Yani unashtakiwa makosa ambayo yeye ndo anayafanya, afa anakuwahi Baraza la Kata.
AH NILIMFURAHISHA!
Mi nikamwambia hakimu ndio ,(mwanasehria alishanitonya ukitaka hjii kesi iishe fasta kubali kila kosa analoshatki)
So nikakubali kila alichotaka, nyumba sijui nini nini, nikasema na yenyewe siitaki!
Mtoto oh nikitakiwa kulea basi nikae nae , akikaa nae yeye mimi baba nisihusike
Nikamwambia hakimu no worries mi mamake nipewe nitalea mwanangu na sitauliza mia ya mtu.
Ustawi wananiuliza mara mbili mbili, we mama , nawambia jamani mi nisipewe matunzo, naombeni tu mtoto wangu kwa 100%custody.
Jambo likaenda chap kwa haraka.
 
Ukishakua na akili za utu uzima utakuja kuyaelewa haya, kwasasa wewe mdogo angu bado sanaaa, una safar ndefu mnoo kwenye maisha hasa ya mahusiano na zaidi ndoa. Be watchful na kimbia haraka uachane na hii mitazamo toxic ya kijinga ambayo naona ushaanza kuwa nayo. Nimekuonya kama kaka yako, zingatia
Ephen sikiliza wakubwa zako utapata heri duniani soma JF 20:20 πŸ˜‚πŸ˜‚

inasema hivi

"Ukiwa unashauriwa na aliyepitia magumu heri ufuate mazuri yake, ili mtesi wako akija ujue kujikinga na wewe uchunge mdomo yako na matendo yako yasije haribu matunda uyaonayo na kuyapataa"
πŸ˜…
Hii ndio JF 20:20 πŸ˜‚
 
Picha lilipoanza ulionyesha ni jamaa Lia Lia + kulalamika .

Demu utombewe, ukute na picha za utupu, alafu wee ndio ulielie.

Anyway , X Mkeo alijua utazungusha suala la Talaka, Sasa haamini ndo Ivo Kawa mtalikiwa.

Mchepuko wake hawez kumuoa sababu keshazaa watoto wengi, Engine imechoka , na sababu kubwa kabisa ya kutomuoa ni kwamba kashuhudia demu anavunja ndoa yake mwenyewe .

Mwisho, Hongera , kuanza Upya Si ujinga.

Muda mfupi ujao, jiandae Ndugu zake na viongozi wa Dini kuanza kukubembeleza.
Facts
 
Unaona sasa! Unataka kusema mume wa mtu akiwa guest sio malaya ila mke wa mtu akiwa guest ndiye malaya.

Nyie endekezeni tabia zenu hizo ila msisahau wanawake wengi wa siku hizi ndoa haziwababaishi tena waliopo kwenye ndoa.
Labda wale ambao hawajawahi kuolewa ndio wanazitamani na wao wakiingia wanatafuta njia ya kusepa.
Wanaona wanawake wana mioyo ya chuma na wanatakiwa kutendewa kila aina ya unyanyasaji. Wanasahau kuwa hata chuma huwa kinapata kutu with time.
 
Wanaona wanawake wana mioyo ya chuma na wanatakiwa kutendewa kila aina ya unyanyasaji. Wanasahau kuwa hata chuma huwa kinapata kutu with time.
Wakubali tu dunia imebadilika, wanawake wa zamani walikua wakipewa talaka wanasakamwa dunia nxima ilibidi wavumilie mateso ili wasitoke ndoani.

Wanawake wa siku hizi wanajua kutafuta hela, kupewa talaka sio ishu tena hakuna anayekubali kuvumilia mateso.
 
Wakuu heshma kwenu.
Habari za jioni.

Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.

Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
  • nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
  • leo hii mahakamani, hakimu alikua mwanamke.
Hakika wanawake wametaradadi everywhere, tukiendelea kwa mwendo huu, wanaume twafaaa
😁😁😁😁😁.

Anyway,.

Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.

Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"

Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto

Akauliza "unasemaje?"

Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"

Akauliza "umekubaliana na haya yote?"

Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"

Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.

Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.

Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.

Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.

1. Talaka.

Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.

2. Mgawanyo wa mali.

Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.

3. Matunzo ya watoto

Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.

4. Kuishi na watoto.

Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.

Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.

Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"

Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"

Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.

Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.

Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.

PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.

Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.

Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.

Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!

Ikaisha hivyo.

Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.

ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani

SHUKRANI WAKUU.
Usiku mwema
Hawara mtamu kama mtu Γ natunza huyo mke. Ajiachiwa majukumu lazima nae aingie mitini.
Ndiyo maana nikakuandikia kwamba maliza kesi haraka mgawane mali maana aliyekuwa mkeo ni mshali sana angeweza kurudi kimabavu akasema hujampa talaka wewe bado ni mumewe.
Mahakimu ujue nao wanawadharau wanawake wanaong'ang' ana na talaka.
Tayari huyo X wife keshapigwa na kitu kizito.
Atarudi kulia sana.
 
Mkuu mwanamke akishaishiwa hisia kwako ni zaidi ya mnyama.

Na bila shaka anakazwa nje, hilo halina ubishi.

Hapo wewe vaa uso wa mbuzi, mpe separation anayoidai huku ukitabasamu, ili uwe huru uendelee kutafuta maisha.

Unavyozidi kuonyesha bado unamuhitaji unampa nguvu kubwa sana. Na ataitumia kukumaliza - wewe mwanaume huna any legal right / resolve kwenye ndoa, na ndio maana anatumia mkono wa sheria - polisi e.t.c kukumaliza.

Na wewe kukubali kuwa umemdhuru mwili ndio umejaa kwenye mfumo. Ungekana kwamba hujamgusa yasingefika huko. Ungesema kwamba kapigwa huko alikokuwa anachepuka.

NEVER ADMIT GUILT - USIKUBALI KOSA.

Solution: uliza swali moja, anataka nini kifanyike ili kila mtu ashike njia yake? Then mpe anachokitaka kisheria (mawakili mahakamani e.t.c ili na wewe upate mgao wako kidogo.)

Usiulize kuhusu watoto kabisa. Wanakufahamu, watakutafuta.

Once her hold on you is gone hiyo ya kukufanya kila siku chache uende polisi, fanya maisha.

Mwanamke anajua exactly kadi gani azicheze ili mwamba acheze ngoma yake.

Hiyo ni leverage. Jamaa akimnyang'anya leverage huyo mwanamke hana pa kumpigia

Naam,
Imetimia kama ilivyoandikwa. Hongera sana mkuu picha limegeuka starring haamini.
 
Pole na hongera pia. Kwenye hili suala imeonyesha kwamba mkeo ana makosa tangu mwanzo, na talaka kaitaka mwenyewe. Umempa kila kitu anachohitaji ili kuepusha migogoro zaidi.
Nikwambie tu kwamba huko anapokwenda anaenda kukipata cha mtema kuni miaka si mingi.
 
Back
Top Bottom