Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Mkuu pole sana kwa changamoto uliyopitia na hongera sana kwa maamuzi uliyofikia.

Rafiki yangu mmoja alipia haya uliyopitia mpaka kupeana talaka Mahakamani, baada ya miaka mitatu nje ya ulingo wa ndoa hatimae walirudia, sijui ni nani alimdanganya.

Sasahivi jamaa anaisoma namba, ugonjwa wa moyo na Sukari juu, anapitia njia ngumu zaidi ya awali, somtimes wanawake ni scam.

Mkuu, x wife wako hayumo humu jukwaani asome huu uzi? Atapata mawili, matatu ajifunze upya, atajutia sana upuuzi wake.

Siku njema.
Tumeshamwambia mleta mada, akijifanya kuregeza kamba mbeleni kwa kujifanya atamsamehe huyo mwanamke kisa amejifunza, basi ndo utakuwa mwisho wake.
 
Tumeshamwambia mleta mada, akijifanya kuregeza kamba mbeleni kwa kujifanya atamsamehe huyo mwanamke kisa amejifunza, basi ndo utakuwa mwisho wake.
Kuna broh pale kijiweni tunapotafutia mkate yalimkuta,

Iko hivi, yule jamaa alibahatika kujenga kajumba kake kakubwa kubwa tu na miradi miwili mitatu,

Basi mkewe akaanza kutafunwa tafunwa na vijana wadogo mpaka akili zikamuisha akaanza kudai talaka bila sababu ya msingi huku akiaminisha Ummmma kuwa mumewe ana shida sana ,

Yule broh ni wale watu buyu kali kwa siku anaongea maneno 20 imeisha hiyo,
Basi ikaenda wee broh akakubali talaka na mgawanyo wa mali ,

Baada ya taratibu zote ndipo mgawanyo wa mali ukaanza broh akapata washauri pembeni wakampanga,

Basi nyumba ilipopigwa thamani yake na mahakama kwa maana ya nusu kwa nusu yule broh jamaa wakamsaidia hiyo nusu akampa mwanamke,


Aisee hawa viumbe wakatiri mwanamke alitaka kugoma kwa madai anataka nyumba auziwe mtu mwingine ndio wagawame ,

Baada ya kupigwa mkwara mahakamani ndio kukubali kuchukua hela yake nusu,

Broh akaendelea kukaa pale pale mjengoni ,

Yule mwanamke hela zote akazitumbua na vijana wake
Sasa hivi maisha anayoishi aisee KARMA ipo wakuu kabisa kabisa
 
Kuna broh pale kijiweni tunapotafutia mkate yalimkuta,

Iko hivi, yule jamaa alibahatika kujenga kajumba kake kakubwa kubwa tu na miradi miwili mitatu,

Basi mkewe akaanza kutafunwa tafunwa na vijana wadogo mpaka akili zikamuisha akaanza kudai talaka bila sababu ya msingi huku akiaminisha Ummmma kuwa mumewe ana shida sana ,

Yule broh ni wale watu buyu kali kwa siku anaongea maneno 20 imeisha hiyo,
Basi ikaenda wee broh akakubali talaka na mgawanyo wa mali ,

Baada ya taratibu zote ndipo mgawanyo wa mali ukaanza broh akapata washauri pembeni wakampanga,

Basi nyumba ilipopigwa thamani yake na mahakama kwa maana ya nusu kwa nusu yule broh jamaa wakamsaidia hiyo nusu akampa mwanamke,


Aisee hawa viumbe wakatiri mwanamke alitaka kugoma kwa madai anataka nyumba auziwe mtu mwingine ndio wagawame ,

Baada ya kupigwa mkwara mahakamani ndio kukubali kuchukua hela yake nusu,

Broh akaendelea kukaa pale pale mjengoni ,

Yule mwanamke hela zote akazitumbua na vijana wake
Sasa hivi maisha anayoishi aisee KARMA ipo wakuu kabisa kabisa
Yah, Karma is real. Lakini pia wanaume wenye upendo wa dhati tuna tabia ya kumuamini sana mwanamke.

Mwanaume anaingia ktk ndoa kwa kupenda. Yaani kumpenda mwanamke, mwanamke anaingia ktk ndoa baada ya kuona status ya sasa ya maisha ya mwanaume na ijayo pia. Kwahiyo akishazoea yale maisha, kukukana wewe mwanaume mbeleni ni rahisi tu.

Anguko la mwanaume aliyesimama kwa zaidi ya 90% hutokana na mwanamke wake anayempenda.
 
Wakuu heshma kwenu.
Habari za jioni.

Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu 👇👇👇👇


"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.

Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
  • nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
  • leo hii mahakamani, hakimu alikua mwanamke.
Hakika wanawake wametaradadi everywhere, tukiendelea kwa mwendo huu, wanaume twafaaa
😁😁😁😁😁.

Anyway,.

Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.

Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"

Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto

Akauliza "unasemaje?"

Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"

Akauliza "umekubaliana na haya yote?"

Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"

Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.

Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.

Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.

Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.

1. Talaka.

Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.

2. Mgawanyo wa mali.

Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.

3. Matunzo ya watoto

Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.

4. Kuishi na watoto.

Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.

Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.

Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"

Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"

Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.

Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.

Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.

PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.

Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.

Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.

Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!

Ikaisha hivyo.

Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.

ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani

SHUKRANI WAKUU.
Usiku mwema
pongezi kwa kumaliza kesi kiume big up sana
 
Wakuu heshma kwenu.
Habari za jioni.

Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu 👇👇👇👇


"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.

Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
  • nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
  • leo hii mahakamani, hakimu alikua mwanamke.
Hakika wanawake wametaradadi everywhere, tukiendelea kwa mwendo huu, wanaume twafaaa
😁😁😁😁😁.

Anyway,.

Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.

Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"

Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto

Akauliza "unasemaje?"

Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"

Akauliza "umekubaliana na haya yote?"

Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"

Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.

Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.

Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.

Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.

1. Talaka.

Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.

2. Mgawanyo wa mali.

Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.

3. Matunzo ya watoto

Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.

4. Kuishi na watoto.

Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.

Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.

Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"

Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"

Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.

Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.

Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.

PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.

Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.

Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.

Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!

Ikaisha hivyo.

Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.

ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani

SHUKRANI WAKUU.
Usiku mwema
Mmbo ni ya moto hivi na hamsemi
 
Pole sana kaka, kila nifikili kuhusu swala la watoto huwa nakosa nguvu, sijui kwanini ila itakuwa ngumu kuishi mbali na watoto wangu. Ndoa za sasa Mungu aturehemu tu. Binafsi nitaoa tu kikombe hiki hakiwezi kuniepuka.
Sasa jiulize huyo mwanamke ni kiumbe cha namna gani mpaka aone ni bora mwenzie aishi bila watoto ila yeye aishi nao.
 
Wanaume mkishamzalisha mtu tena mtoto zaidi ya 1 huwa mna vitabia vyenu ambavyo mnaviendekeza mkijua wanawake hawana pa kwenda.
Mwanaume cku zote anapambana awe na family bora na kuitunza.. Ataanzaje kumdharau mwanamke wa ndan alie mtiifu kwake na mwaminifu?

Mwanamke akikuzalia watoto anajua amefka sasa ko ataanza kuleta vitabia fulan iv, Akijua amefka na mwanaume huna pakwenda koz kuna watoto. Tena usiombe kama kuna MAKARATASI YA NDOA, ni KIFUNGO
 
Dunia ina mambo wewe hii.
Tulitengana, sasa akaanza kuishi na mtu.
Akarudi kuwa turudiane , nikampa masharti aondoe aliyekuwa anaishi naye.
Akasema kamuondoa, only tu kujua alitaka iwe double life as mi nilishaanzisha mji mwingine.
Nikawaka, akaniwekea mkwara wa shauri la mahakama, akijua nitarudi nyuma as si unajua tena wanawake wengi wa kitanzania na ndoa!
Mi nikakanyagia wese, wakamshauri asiendelee nikafuatwa nishuke niombe msamaha ili asinitaliki, nikawambia nyie we banaa hii ngoma iende ikienda!
nikasubiriwa nishuke, nikaaawambia lets meet mahakamani
Akapeleka shauri mahakamani ni mashtaka ya kubambika, akijua nitaona aibu tuyasuluhishe.
Nikamwambia we twende tu unachotaka na mi ndo nataka!
Mashtaka yote nikayakari,(mind you ni uongo)
Madai yote anayotaka kuhusu mali, watoto na talaka nikayaridhia.
Akajua nitasanda ndani ya siku 45, zikaisha
siku ya hukumu nikaenda na nikapokea hukumu.
nikatoka zangu pale Temeke, nikapita kula nikatafuta sehemu nikaliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nkarudi nyumbani, nikaomba likizo!
Nkajiruhusu kuumia, nikalia mno ila sio kuwa najutia bali hasira ya kuonewa
Mwisho nikakubali , na maisha yanaendelea!

With no regrets,
af sio kitu sijui cha miaka 5, ilikuwa na miaka 16.
Hiyo ya kuishi na mwanamke mwingine alizingua sana, hakuna kitu inauma kama usaliti. Maumivu yake hayaelezekei. Niliwahi pitia scenaria ya kusalitiwa, unaweza ukakaa chumbani ukawa unataja tu jina la mpenzi wako bila sababu. Maumivu yanaambatana na stress za hali ya juu hasa ukikumbuka ulivyojitoa kumpenda.
 
Moja ya kitu kinanitoa machozi mpaka sasa ni watoto wangu. Ila nimeamua acha nikubali lolote litakalojili juu yao angalau kwa hii miezi 6 ya mwanza mpaka mwaka. Kila jambo linahitaji muda, hayawez yote kuwa resolved kwa wakat mmoja.
Nitapata ufumbuzi tu bila shaka. Acha akae nao kwanza maana si ndio anachotaka, wala sitashindania watoto.
But after sometime najua nitakapowataka ,atakua ame learn a lesson na nitawapata kirahis bila nguvu wala shuruba.
Ujue wawili ni wawili tu, hata asiposema akaendelea kukomaa like she handles everything bila tabu, ila najua kuna somo atajifunza tu
Huyo anashindana na Mungu, sasa Mungu akitaka amtandike mtu huwa anamuinua juu kisha anamdondosha. Hilo anguko linakuwa ni zito. We subiri muda utakuja kukupa majibu.
 
Hiyo ya kuishi na mwanamke mwingine alizingua sana, hakuna kitu inauma kama usaliti. Maumivu yake hayaelezekei. Niliwahi pitia scenaria ya kusalitiwa, unaweza ukakaa chumbani ukawa unataja tu jina la mpenzi wako bila sababu. Maumivu yanaambatana na stress za hali ya juu hasa ukikumbuka ulivyojitoa kumpenda.
ahahahahhahhaa nilijifunza kutokujilaumu kwa kumpenda mtu!
 
Safi sana. Pia ungechukua ushauri wa jamaa yako yule ingependeza.
Mimi pia yalikuta halafu ndugu wa mke wanamsapoti kishenzi.
Mara ya kwanza akaenda nikarudisha. Mara ya pili ameenda nimepiga kimya.
Mjinga amebeba na watoto wote 4. Sema sababu watoto ni wakubwa najikuna ada TU mengine atajua mwenyewe.
Nilikunywa pombe nusu nife alivyoondoka mara ya pili, nikaanguka nikapasua uchogo halafu Niko mwenyewe. Uzuri niliangukia kibarazani ila sababu ya mtungi sikujua niliangukaje. Ile siku ya sensa ile 2022.
Ninaishi na wapangaji pia so mdada mmoja akanispoti ndio kupiga kelele maana nilizima zaidi ya lisaa na madamu yamejaa kama ng'ombe amechinjwa.
Nimepelekwa KCMC bado nimezima, majirani ndugu wote walijua ndio natangulia hivyo. Kuingizwa kwnye MRI scanner pale fuvu halijapasuka.
Vipimo vingine, spine na kila kitu fresh.
Pigwa nyuzi nne pale sijui 5 sikumbuki.
Sasa hivi toka 2022 am free as a Wandering Jew .
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Halafu wakizeeka Sasa from 60 kuendelea wengi sana wanajutia maamuzi waliyoyafanya from 28 hapo kundelea. Unavunjaje ndoa kwa maneno ya majirani😂🤣🤣😂🤣🤣🙌🙌
View attachment 3234799
aisee pole sana ila hako ka-ujumbe ka kwenda mahakani kusubiria kwa nje made my day, thanks mkuu
 
Kwa nini ulichelewa kumuacha?
Unadhani kukubali kuwa imeisha ni swala la kuamka tu na kusema basi.
Ehehehehh, mi huwa nawasikiliza watu wanaodhani swala la kuachana na mwe
una uhakika moyo una amani mkuu,...kama kuna tatizo usisite kuniungisha MAPANGA yaliyoNOLEWA kabisa.... thanks in advance..🙏🙏
eiissh!
Ya nn sasa?
 
Huu ndo uanaume malizana nae na utainjoy sana, uko huru, kumbuka kwa Mimi kuwa na migogoro sipendelei Bora nimpe vitu vyote, hapo nakupa big up ndugu, kwanza watoto unao, pili hakuna majukumu zaid ya hiyo 150,000, ,na komea hapo usiongeze Kaa tulia enjoy, kama utafikiria kuoa baadae Rafiki usiende kwa wataftaji, chagua kuku wa kienyeji mrembo kazi yake kupika kupakua ajirembe kwa ajili Yako tu, ambaye si mjuaji asiye na makuu, mkuu umaskini hauishi utaendelea kuwepo zaid na zaaid, usimtoe mke wako nje kufanya kazi kazi fanya wewe hudumia familia, ona mgao umepita na bado jukumu la kulea ni lako, yeye pesa zake ni za nini? Ndo maana waerevu tunasema Mwanamke Kaa nyumbani hutaki huo ndo mwisho wetu, ndugu chagua kuku wa kienyeji utafaidika.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kula, kuvaa, kulala, watoto wa kutosha. Hawezi tena kuthamini ndoa.
 
Back
Top Bottom