Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Tutajua tu,japo wao walitapeliwa kwa pete c wajua tena wadada wa mjini mkivikwa pete mibichwa hiyo mpk kina cc mwatudharau eti tutawapotezea mda.....

Sasa jamani ukivalishwa Pete so inabidi utulie.
 
Hujawahi kuona wanaume wanaocheat kwa ndoa zao kukicha..kumbuka hizo tabia za mtu na tabia ni km ngozi....na kuna watu wanaoa ili kuwafurahisha wazazi wao

Tena wanaocheat enzi Zhao walikuwa walokole.wamejulia k uzeeni.hivi Huyu twisa no kaka yake kiki zimba?
 
Bongo kweli raha..we bwana unamuona kazaa na watu kama watatu bado na wewe unataka kutia mguu haya maisha ya movie sijui yataisha lini..mhona kina twisa wako wengi mjini..
kwani kuzaa ni ugonjwa au sumu kaka? Mi sijali hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…