Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Hujawahi kuona wanaume wanaocheat kwa ndoa zao kukicha..kumbuka hizo tabia za mtu na tabia ni km ngozi....na kuna watu wanaoa ili kuwafurahisha wazazi wao

Tena wanaocheat enzi Zhao walikuwa walokole.wamejulia k uzeeni.hivi Huyu twisa no kaka yake kiki zimba?
 
Bongo kweli raha..we bwana unamuona kazaa na watu kama watatu bado na wewe unataka kutia mguu haya maisha ya movie sijui yataisha lini..mhona kina twisa wako wengi mjini..
kwani kuzaa ni ugonjwa au sumu kaka? Mi sijali hayo
 
Back
Top Bottom