Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Kwa nini ulidhani hivyo? Kwani hakuna mademu wa kibongo walio wazuri hadi ukiona demu mzuri udhanie si mbongo?
Kumbe Kelvin naye alisoma SRSS.
Mi nilisoma O-level pale lakini prolly 8-10 years before him.
She appears not to have much of that typical bantu look in her. At least in my eyes, dude.
Oh yeah...alisoma hapo O-level lakini ilikuwa way after your time ma man. Kama sijakosea ilikuwa ni kutoka '90 - '93.
I love this Natalia. Wanawake tukiendekeza njaa na kutojiheshimu matokeo yake ni vilio.Hii ni ndoa ya kwanza ya kelvin .Hajawahi kuoa sasa nyinyi mnaopiga makelele kwani mliolewa nae .Dating process ndio ilivyo you choose the best .Nyie Wenyewe mmeona chaguo lake MWANAMKE mwenye elimu,katulia,anaheshima,sio mashauzi na majungu mavitenge mtaani ,good family ( morals values ) .Kelvin is from good family too hawezi toka na watu wa magomeni mapipa vingunguti huko msiojua hata ustaarabu ndio maana hajawaoa .Ndio mjue mwamaume mwenye pesa zake na Akili ( kelvin is very intelligent ) .Hawezi oa watoto wa kupenda midundiko,shanga na vi cream fake .Cheki Eleanor alivyo natural banaa ame focus ,yupo exposed angalau kelvin akimwambia tunawageni Leo anaweza entertain sio Nyie matusi na hata kuweka meza kwa mlo hamuwezi mnaleta bakuli la maji badala ya uma na kisu .MTULIE WANAUME WAKIOA WANATUMIA AKILI .We wish kelvin all the best .Akicheat sasa akiwa Kwenye ndoa that will be a problem .Wanaume hawaoi na hawapendi WANAWAKE wenye mashauzi na tamaa za ajabuajabu it's a big turn off .Leo unakutana na Kelvin anakutaka unaanza kutaka kuhudumiwa list ya vitu .Eleanor very independent woman hamwitaji kelvin kwa pesa mnalo Hilo
Alifariki kwa ajali ya gari Tanga (walikuwa wawili kwa gari) akitokea Arusha/Moshi alikuwa na rafiki yake pia mtoto wa Luhanga yeye alifariki baadae hospitali. Alifariki 01/08/2007. alizaliwa mwaka 1978.
Mungu awalaze pema peponi.
Usinuambie Calvin
celebrity siku hizi Makubwa.Mshikaji wangu wazamani huyoo enzi za
mzizima.Hahahaha dah ,amezaa na shoga angu Lola .Nimecheka Leo
Natalia ,Usinuambie Calvin celebrity siku hizi Makubwa.Mshikaji wangu wazamani huyoo enzi za mzizima.Hahahaha dah ,amezaa na shoga angu Lola .Nimecheka Leo
Kamuoa dada mpole sana nilifanya naye stanbic bank. Ila chozi la mwanamke halipotei bure, hivyo vilio alivyoacha vitamkost sanaaaaaaa, namhurumia Huyo dada.
Nlikuwa natafuta habari za nguli wangu bro.twissa nikafikia jf.duh jf kiboko kwa sasa ukitafuta habari za tanzania lazima uangukie jf.
big up jf
Kingereza chako kimejaliwa utege wa nguvu Shosti....
Atatulia bwana.hakuna jipya hata kajichokea ndo maana kaamua kuoa atulie
He he nakwambia huyu kaka angu kutulia bado utanambia tu,natanguliza pole in advance kwa wifi yangu