kama kweli huyo mama alitoa kauli hiyo, basi hana tofauti na mzee wa muungano... na aminini nawaambia 2shazoea kusikia viongoz wengi sana wa ccm wakiongea wasichokijua mbele ya umma, hawezi sema bajet imepelekwa BRN kabla ya kuajiri walimu kwanza, nahisi angeulizwa hata maana ya BRN ange2peleka kulekule kwa kisiwa cha ZIMBABWE so realbest, a father, sam love na wengine kibao msiloose hope had 20 this month mambo yatakuwa bien!
mpigieni mukoba mmuulize pengine naye anaweza leta lolngolongo zake 0754516612
Realbest wasikupe presha ajira znatoka hta mwez wa tat katkat haufk wala usijali,wanaojifaragua hpa n porojo t kama akina Makuku Rey na baba ake mdogo.