Ogo
Senior Member
- Aug 26, 2013
- 132
- 44
Inasikitisha kuona serikali inashindwa kuwa na mipango ya muda mrefu na mfupi kisha kuweka vipau mbele kisha kupanga matumiz ya fedha. Ila serikali ni kigeugeu sana hebu tuangalie namna ya kufanya huku mtaani hawa hawashindwi kuja na jengne la kuumiza moyo zaidi msiogope hata privete maana iko siku mishara haitatoka je tutaishije...tafakari chukua hatua