Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Ufalme wa mbinguni utausikia mkuu.
😂😂😂😂Bro we muhuni sana.
 
Kijana kashafulishwa vyupi kama vyote ndo akatupwa kama pedi iliyotumika. Tafuteni hela jamani, haha
 
Hilo lishangazi lina kisukari nuhu mziwanda alikuwa hajui akazani lipo safi mwisho ndio hivyo akajikuta anateketea kwenda kucheki akajikuta na yeye anakisukari mwisho ndio kuja kuandika Ile nyimbo ya majonzi
 
Lakini sura ngumu
 
Ndoa za kiislamu zina uzinaa ndani yake.

Mfunge ndoa, mtombane weee, kisha mkichokana muachane. Huu ni ujuha, kumdanganya Mwenyenzi Mungu.

Mnahalalisha zinaa.

Mkichokana, mkaendelea kung'ang'aniana mnakuwa mnamdanganya nani..?!

Dah! Halafu wewe ni Dokta.

Ndio maana ni rahisi sana kuelewa Hoja za kina Mhe. Kishimba na Musukuma kuwa nchi yetu ina Wasomi 'wengi' wajinga sana wasio na maarifa!

Mbali na kukosa maarifa; hawawezi hata kujenga hoja.
Wanaongozwa na hisia, tena hisia za chuki!
 
YALE MADAI YA MANGE KIMAMBI YANAPATA NGUVU SASA
 
Kabla ya kupanda gari inatakiwa uchunguze ni abiria wangapi wameshushwa njian tena kwenye pori la simba wakal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…