Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Nasema hainaga ushemejiii tunakula... haina ushemeji tunakulaga..
Zamu ya nani leo?
zamu ya man fongo, zamu yako itakuja usijari baharia wangu...
 
Nasema hainaga ushemejiii tunakula... haina ushemeji tunakulaga..
Zamu ya nani leo?
zamu ya man fongo, zamu yako itakuja usijari baharia wangu...
Mpaka vijana wa 2000 watasongesha gurudumu
 
ROMY 3D NI KIJANA WANGU SIJUI KILIMKUTA NINI MPAKA KUTULIA KWA SHILOLE .AU LABDA ALITAFUTA UNAFUU WA MAISHA NA MTELEZO .LAKINI SHILOLE AKAONEKANA HELA ANAIJUA SANA.
 
Ndoa za kiislamu nyepesi sana, mahari 20,000 na harusi laki 1 unafunga ndoa na kibaya zaidi anaweza kuoa leo kesho akaacha, akaoa mwingine.
Bora kuliko ndoa ya kigalatia mke na mume hawapendani, wanaishi kama miroboti, kutwa kuchwa ni wanapishana bafuni kwa zamu kupiga punyeto kwa wale wanaojifanya walokole
N awale wengine ni kudanga na kuambukizana ukimwi, na kama takwimu zinavyoonyesha wahanga wa ukimwi wengi ni wagalatia
 
jieshimu wewe babu,acha kuongea ujinga ndoa makubaliano baina ya pande mbili na mnaposhindwa uislam haukufanya ndoa kuwa kifungo chamaisha uteseke mpaka ufe.acha kuongea upumbavu
 
Sasa mkuu unataka muachane kwa chuki na fujo!?
Kama watu maelewano hakuna ndani kiasi upendo umefutika,mwaishi pamoja kwa munajili upi!?
Bora mtengane kiamani kiroho safi.
Kwanini mnaweza achana kwa amani kwanini mstatue tofauti zenu kwa amani?
 
Mapenzi ya kupokezana, hatari sana
 
Kwa elimu ya madrasa upo sahihi. Subiri muda ufike, upande ndege iliyotengenezwa na makafiri ukampige mawe shetani. Labda akili yako itakaa sawa siyo kwa povu ulioandika.
Kunywa maji mengi
 
Kwa elimu ya madrasa upo sahihi. Subiri muda ufike, upande ndege iliyotengenezwa na makafiri ukampige mawe shetani. Labda akili yako itakaa sawa siyo kwa povu ulioandika.
Kunywa maji mengi
Typical kutapika mataputapu ukishalooa
Wewe na ukoo wenu wote hakuna anaefikia elimu yangu na tena sio ya vyuo vyenu vya jalalani
 
Typical kutapika mataputapu ukishalooa
Wewe na ukoo wenu wote hakuna anaefikia elimu yangu na tena sio ya vyuo vyenu vya jalalani
Jifunze kuandika vizuri. Bila makafiri hata hiyo elimu usingeipata. Wewe una elimu gani ya kunitisha mimi? 😁😁😁😁 Chuo chenyewe mnacho kimoja cha Morogoro tena cha kupewa na mitaala ya elimu ya hicho chuo ni ya makafiri😁😁 Hospital hamna hata moja😁😁😁😁
Kwa dini yako ungekuwa Sharifu majini au unauza dawa za kienyeji kwenye maeneo ya misikitini. Washukuru makafiri
 

Mbuzi wewe, hao unaowaita makafiri hata huyo yesu pimbi mungu mtu hawamjui na wala hawaamini hiyo dini ya mashoga kenge wewe
Mporipori unafikiri wenye hio elimu walikuwa wagalatia mavi kama wewe
Hawa ndio nimesomea elimu yao UK, na tena sio Teku sijui kcmc au Saut kwa walokole mavi wenu
Hawahawaamini ugalatia.....
Newton-Atheist
Einstein-Atheist
Hawkins- Atheist

Sasa mbuzi jike wewe, tuweke ligi hapa ya elimu ya sayansi na uhandisi na wewe
Tuanze na swali la form 4 kilaza wewe
Tafuta mtiririko wa nguvu ya umeme yaani Currents kwenye huu mfumo , I1, I2 na I3
Huu ndio mfumo unaotumka kwenye ki redmi chako kila unavyobonyeza kila alphabeti na kujua unaandika mataputapu au pumba gani ?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…