Hatimae sasa hoja zote za upinzani zinajibika ‘With high confidence and logic’ ikiwemo suala la Katiba

Hatimae sasa hoja zote za upinzani zinajibika ‘With high confidence and logic’ ikiwemo suala la Katiba

Rahisi kabisa na hiyo itapunguza gharama, kuliko kupeleka rasimu ikajadiliwe na eti bunge la katiba ambalo majority ni CCM. Rasimu ya Warioba ni maoni ya wananchi, na katiba ni ya sisi wananchi. Sasa haya maoni kwa nini tena yakajadiliwe na wabunge wa CCM? Kumbuka, kwa muundo wa bunge la katiba, hata iwe vipi, majority huwa ni CCM, ndiyo maana nasema bunge la katiba la CCM. Wakati wa kuchukua maoni kwa wananchi, hawakua wanawafuata watu kivyama, waliwahoji watanzania.

Rasimu ya Warioba ndiyo katiba bora kwa watanzania.
Uko sahihi mkuu, wananchi wapewe nafasi ya kupiga kura ya maoni tusonge mbele.
 
Mkuu, Tatizo sio CCM, tatizo ni kwamba kwenye jamii yetu kuna watu wengi wa ovyoo, wengine wachawi (hawapendi kuona vitu vikienda)n.k hao ndio wanaojiunga kwenye vyama vya siasa randomly (kwa sababu ndio watu tulio nao). Ndio maana tunasisitiza sana, kwamba pamoja na umuhimu wa kuwa na kiongozi bora ambaye sasa angalau tunaye, ni muhimu tukawekeza vile vile kuibadili jamii ambayo ndio domain.
Ndugu usiyumbe sana. Tatizo kubwa ni CCM.

Cc Vessel
 
Mkuu, hata ukiwa na nguvu, sio kila mahali unatakiwa kutumia nguvu zako. Utumiaji wa nguvu kulazimisha watu wakubaliane na mawazo yako (yawe mazuri au mabaya) huo ni udikteta.

Aidha, Katiba ni maridhiano ya watu/umma (ndivyo inavyopaswa kuwa) sio enforcement ya mtu fulani mwenye nguvu. Tukitaka liwe zao la mwenye nguvu inawezekana, ila hiyo maana yake ni nini?
"Katiba ni maridhiano ya watu" uko sahihi kabisa. Maridhiano ya watu ndiyo hiyo "rasimu ya Warioba"

Hiyo rasimu ilitokana na maoni ya wananchi nchi nzima na ilitumia mabilioni ya pesa. Tusipoteze muda, iletwe ile rasimu tuanzie hapo.

Cc Championship
 
Unamuonea bure JK. Kumbuka yeye ndio aliunda tume ya Warioba na akamchagua kuwa wenyekiti, hivyo alikuwa na total control ya tume. Kwa maana hiyo angataka chake ndio kiwe conclusion, angeiagiza tu tume iandike ripoti kama atakavyo yeye, na tume idai ndio maaoni ya wananchi kisha awaambie wajume waipitishe kwa nguvu moja.

Asingekuwa na sababu ya kuacha tume iandike ripoti asiyotaka halafu awapangie wajumbe cha kusema kupinga ripoti ambayo yeye alikuwa na uwezo wa kuifanya iandikwe atakavyo toka mwanzo.

Hivyo, dhamira yake ilikuwa ipatikane katiba halisi na sio ya kubumba ndio maana yeye akakaa pembeni.
Uko sahihi kabisa. Kikwete alikua na dhamira njema kabisa ya kuwaachia watanzania katiba mpya na bora kabisa, kama ilivyo bora rasimu ya Warioba. Tatizo lilikuja baada ya wajumbe wa bunge la katiba wana CCM, waliona ikipita na kuwa katiba, chama chao kinaingia kaburini. Katika vikao vyao vya chama, wakamwambia JK, mzee wewe unaondoka na utabaki kuwa rais mstaafu, sisi unatuachia nini hiki!!?? Ndiyo ulikua mwanzo wa mtifuano ndani ya bunge la katiba, tukafika tulipofika.

CCM hawataki katiba mpya na hasa zaidi itakayotokana na rasimu ya Warioba.

Cc Championship
 
Unamuonea bure JK. Kumbuka yeye ndio aliunda tume ya Warioba na akamchagua kuwa wenyekiti, hivyo alikuwa na total control ya tume. Kwa maana hiyo angataka chake ndio kiwe conclusion, angeiagiza tu tume iandike ripoti kama atakavyo yeye, na tume idai ndio maaoni ya wananchi kisha awaambie wajume waipitishe kwa nguvu moja.

Asingekuwa na sababu ya kuacha tume iandike ripoti asiyotaka halafu awapangie wajumbe cha kusema kupinga ripoti ambayo yeye alikuwa na uwezo wa kuifanya iandikwe atakavyo toka mwanzo.

Hivyo, dhamira yake ilikuwa ipatikane katiba halisi na sio ya kubumba ndio maana yeye akakaa pembeni.

..JK hakutegemea kama tume italeta mapendekezo ya katiba ile, haswa serikali 3.

..alijaza watu wa Ccm katika tume akitegemea watapendeza rasimu inayolinda status quo.

..Warioba, Salim Salim, Butiku, na vigogo wengine wa Ccm ktk tume, walielemewa na maoni ya wananchi kuhusu katiba, na mwisho wakalazimika kuleta rasimu tuliyoiona.
 
..JK hakutegemea kama tume italeta mapendekezo ya katiba ile, haswa serikali 3.

..alijaza watu wa Ccm katika tume akitegemea watapendeza rasimu inayolinda status quo.

..Warioba, Salim Salim, Butiku, na vigogo wengine wa Ccm ktk tume, walielemewa na maoni ya wananchi kuhusu katiba, na mwisho wakalazimika kuleta rasimu tuliyoiona.
Kwa hiyo kumbe tunakubaliana kuwa ndani ya ccm kuna watu wanaoaminika na wanaoweza kufanya kazi kubwa na nzuri kama uliowataja. Kwa hiyo wanaotuambia tatizo ni CCM hawako sahihi kwa mujibu wa maelezo hiyo.

Pili, unataka useme JK angetaka tume tofauti au taarifa tofauti ya tume angeshindwa?
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Ukilinganisha na vyama mbadala vya Tanzania (kibongo kibongo) CCM bado imewaacha vyama vingine kwa mbali sana kwa kila aina ya capacity.

Kinachotakiwa tu ni kujiepusha kuwa kwenye 'comfort zone' na kutengeneza mkaka kabambe wa capacity bulding kwa vijana kwa ajili ya leo na kesho kwani eneo hilo bado halijawekewa mkazo wa kutosha. Kwa mfano kuna hali ya vijana kutokuwa na confidence ya kutosha kujibu hoja zinazojitokeza wakati zinajibika kirahisi tu.
Ni sawa lazima kiwe kikubwa japo tunashangaa kimekaa muda mrefu kikiwa na ukuaji duni sana. Bado kimejaa woga na kutojiamini. Kwa umri wake hakikupaswa kuzaidiwa na vyombo vya dola,kama polisi.
Pamoja na umri wake hakina tofauti na RPF cha Kagame au NRM cha Museveni vya juzi.
Kwa umri wake kisingeogopa katiba mpya,kilitegemewa kuwa kama ANC ya South Africa. Kinavizidi vyama vya upinzani miaka 27.
 
Kwa hiyo kumbe tunakubaliana kuwa ndani ya ccm kuna watu wanaoaminika na wanaoweza kufanya kazi kubwa na nzuri kama uliowataja. Kwa hiyo wanaotuambia tatizo ni CCM hawako sahihi kwa mujibu wa maelezo hiyo.

Pili, unataka useme JK angetaka tume tofauti au taarifa tofauti ya tume angeshindwa?

..kila chama kina watu wazima na watu wa hovyo.

..what matters ni kundi gani kati ya hayo mawili lina sauti ya maamuzi au kauli ya mwisho ktk uendeshaji wa chama.

..kwa mfano, wakati wa awamu ya 5 wakatili na madhalimu ndani ya Ccm waliwazidi nguvu wapenda haki ndani ya chama hicho.

..Au zaidi tunaweza kusema ktk awamu ya 5 wapenda haki ndani ya Ccm hawakuwa tayari kuitetea haki, bali walijikunyata mpaka pale MOLA alipotenda yake.

..Tatizo la Ccm ni utamaduni wao wa kukijali chama chao kuliko nchi.

..Ccm kama chama kime-underperform kwa muda mrefu but somehow kwa kutumia mbinu, hila, na ujanja-ujanja kimebaki madarakani.

..Haya mazoea ya Ccm ndio tatizo kubwa la siasa zetu, na kikwazo cha demokrasi na maendeleo ya nchi yetu.

NB:

..JK alikuwa akiuma na kupuliza kuhusu suala la katiba mpya.

..ila alipoletewa rasimu ya tume ya Warioba akaamua kuuma moja kwa moja.

..Ni mwanasiasa mjanja kwasababu ameweza kusambaza lawama za kukwamisha katiba kwa bunge maalum badala ya kubeba msalaba huo peke yake.

..Ccm walikwenda ktk bunge maalum wakiwa na maelekezo ya kuvuruga na kuikwamisha rasimu na ndio waliokuwa wengi ktk bunge lile.
 
Ni sawa lazima kiwe kikubwa japo tunashangaa kimekaa muda mrefu kikiwa na ukuaji duni sana. Bado kimejaa woga na kutojiamini. Kwa umri wake hakikupaswa kuzaidiwa na vyombo vya dola,kama polisi.
Pamoja na umri wake hakina tofauti na RPF cha Kagame.
Kwa umri wake kisingeogopa katiba mpya,kilitegemewa kuwa kama ANC ya South Africa. Kinavizidi vyama vya upinzani miaka 27.
Mkuu tatizo sio Ccm kama chama. Tatizo ni watu. Yaani kuna tatizo la mtu na mtu. Ndio maana mambo yalivyokuwa kipindi cha Magufuli sivyo yalivyo kipindi cha Rais Kama Samia, wakati chama ni kile kile CCM. So hatuna tatizo la chama tuna tatizo la actors.

Na jamii ikiwa na watu wengi wenye la tatizo, inatarajiwa viongozi watakuwa ni reflexion ya jamii hiyo. Sasa hivi tuna Rais bora, laini mwisho wa siku hawezi kufanikisha kila kitu peke yake.

Hivyo ni kweli kuna matatizo mengi tu lakini ni muhimu kuna source na solution sahihi badala ya coment za jumla jumla.
 
Sema kimeanza kubadilika kama tunayoyaona hayana Hila ndani yake,kutoka kuwa Chama Cha kiharamia kuelekeza kuwa Chama Cha siasa.🤔
Wakati maridhiano yakiendelea, wanakiwasha huko NCCR kupitia mtu wao THIRTY.
 
Hofu si kuongozwa kwa nchi, bali hofu ya wana CCM wengi hasa wabunge ambao ndiyo wenye kufanya maamuzi, ni kwamba kama kutakua na demokrasia nzuri, ikifika kipindi cha uchaguzi wengi wao watapoteza majimbo. Kumbuka wengi walibebwa na udictator wa JPM dhidi ya vyama vya upinzani. Kuna majimbo ambayo demokrasia ikirudi na wahusika wa vyama vya upinzani wakagombea, hakuna hata kujiuliza, walioko sasa wa CCM lazima wapoteze. Sasa watu kama hao huwezi kutegemea wapende maridhiano na hali ya siasa inayojengwa sasa na SSH.
Ni sahihi
 
Mkuu tatizo sio Ccm kama chama. Tatizo ni watu. Yaani kuna tatizo la mtu na mtu. Ndio maana mambo yalivyokuwa kipindi cha Magufuli sivyo yalivyo kipindi cha Rais Kama Samia, wakati chama ni kile kile CCM. So hatuna tatizo la chama tuna tatizo la actors.

Na jamii ikiwa na watu wengi wenye la tatizo, inatarajiwa viongozi watakuwa ni reflexion ya jamii hiyo. Sasa hivi tuna Rais bora, laini mwisho wa siku hawezi kufanikisha kila kitu peke yake.

Hivyo ni kweli kuna matatizo mengi tu lakini ni muhimu kuna source na solution sahihi badala ya coment za jumla jumla.
Azizi nakuelewa tatizo ni watu
 
M
Mkuu
Huyo thirty anapambania mageuzi au anasapoti yaliyopo!!?
Ila pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!
 
Mkuu
Tambua ccm imeshikwa pabaya kuhusu KATIBA
Ishu ya KATIBA sio ajenda ya cdm pekee wala wananchi pekee bali ni agenda ya state imechoshwa na sarakasi za ccm ambazo zimeleta mtanziko mkubwa Sana HIVI karibuni state umeona wakati umefika hakuna namna ccm inajitahidi kujinasua kwenye mtego HUO lakini safari hii hakuna uchaguzi bila KATIBA MPYA
Tusubiricc
Ila pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!
ccm
 
Ila pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!
Kuna msemo duniani umeanza kuzoeleka Eti ''Mtu fulani amefanya dhambi kubwa Hadi SHETANI anamshagaa''

Ktk uhalisia SHETANI ndo Chanzo Cha Kila DHAMBI na UOVU wowote unaofanyika Duniani. Asiposhiriki DIRECT basi atatenda INDIRECT kupitia mfumo alioweka.

Turudi TANZANIA, mfumo wa SIASA za TANZANIA ulitoka ndani ya CCM, Kwa kila zuri au baya linalotokea Vyama vya Siasa nchini, CCM inahusika Kwa kuwa IMEJISHIKAMANISHA na Serikali.

KATIBA mpya, itatusaidia kuitenganisha CCM kuingilia mifumo yote ya utendaji wa Serikali moja Kwa moja.
 
Back
Top Bottom